huna unacho kijua we gaidi wa msufini endelea kula kichapo apo muanze kulia lia na hashtag za #prayforYemenWe shoga tulizana mambo ya kanisani usitulete hapa, ngojea American atakutangazia kama kisha zamishiwa alidhani kupiga Yemen afu atakimbia 😄
Hao ni nyanya tuu.Waturuki nao wamesogeza meli zao kivita karibu ya Ghaza:
View: https://youtu.be/szv0oh0XeH0?si=_xxYW_WlRcAFThrE
Kwa hiyo bibi yetu FaizaFoxy anaugulia maumivu?Uingereza ni dola (empire) kongwe iliyotawala dunia kabla ya Marekani kuibuka miaka ya 1940s kuwa na nguvu kijeshi.
Uingereza ilitawala nchi nyingi ikiwemo Yemen, USA n.k na ina jeshi la majini lenye taarifa za kintelejensia za kijeshi za makoloni yake ilizokusanya miaka mingi na kutumika inapobidi, kama sasa dhidi ya Yemen.
Kitengo kimojawapo cha jeshi la Uingereza ni NID intelejensia ya kamandi ya jeshi la majini kilichoundwa 1912 ina hazina tosha ya taarifa za vichochoro, mapango, vilima, milima, mito, jangwa n.k kumpata na kumpiga adui kisawa sawa.
Hivyo vitengo vyao NID na ONI vya mataifa hayo mawili humulika mienendo, mipango na njama za adui ili itapofika haja ya mapambano wanakuwa wameshakukuelewa ndani nje
View: https://m.youtube.com/watch?v=XHjkCqOj8vA
Huyo ndo target kubwa. Katia viburi Waarabu wote, kuwa Mungu yupo kwa ajili yao. Ajabu.Long overdue, kubwa la magaidi ya dini, Iran linatafutwa sasa liseme kitu...
Hivi wewe mumeo unampikia saa ngapi?Kwa kichapo walichotembeza Wayemeni juzi na jana kwa meli za Kimarekani na kituo cha kijasusi cha Uingereza, ningeshangaa wasingeshambuliwa.
Naona sasabWamsrekani na Waingerezanwamewekwa wanapotakiwa, wasubiri na wao kudunguliwa meli zao.
Wayemeni Hawana historia ya kusalimu amri kabisa.
Wewe bibi huna zuri hata moja. Juzi Kati ulikuwa unatetea DP world kampuni ya wavaa vipedo na makobazi wenzako wawekeze bandari ya Dar. Bidhaa na meli za DP world zinapita Red Sea. Marekani iko pale kuhakikisha usalama wa meli na bidhaa, wewe unapinga!Naonesha kilinachoendelea tu, msidhani ni madogo haya.
Rais BIden wa Marekani amethibitisha kuwa Majeshi ya Marekani na Uingereza yamefanya mashambulizi dhidi ya kikundi cha Houthi nchini Yemen
Rais Biden amesema mashambulizi hayo ni kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya kikundi hicho cha Houthi ndani ya Red Sea
≈==============
UK Prime Minister Rishi Sunak said Houthi attacks could not be allowed to stand and Britain had taken "limited, necessary and proportionate action in self-defence."
British and US forces have launched an attack on Houthi targets in Yemen after the Iranian-backed group defied a warning to stop targeting ships in the Red Sea.
Yemeni press agency, SABA reported attacks took place in the capital, Sana'a, and the governorates of Sa'dah, Hodeidah, Taiz, and Dhamar.
Three explosions were heard in the country's capital of Sana'a, according to eyewitnesses.
US officials said the strikes had been carried out by warship-launched Tomahawk missiles, as well as fighter jets and a submarine.
In a statement issued shortly after the attacks, US President Joe Biden said: "These targeted strikes are a clear message that the United States and our partners will not tolerate attacks on our personnel or allow hostile actors to imperil freedom of navigation in one of the world's most critical commercial routes."
Chanzo: Sky News
We kila muislam ni gaidi ndio kanisani mnafunzwa hivyo 😄huna unacho kijua we gaidi wa msufini endelea kula kichapo apo muanze kulia lia na hashtag za #prayforYemen
Hivi UK walitawala Dunia nzima ipi? ambayo haina nchi za Ukraine na Russia? Au Russia walichukua ramani zao za vichochoro kutoka Ofisi za NID na ONI?...njama za adui ili itapofika haja ya mapambano wanakuwa wameshakukuelewa ndani nje
Eti ISSA bin Maryam atahukumu !! Ninyi ndio mbumbumbu ambao hamuutaki ukweli,ISSA hawezi kuwa Mungu ,ISSA ni nabii huo uungu mnaompa mmeutoa wapi enyi wafarasiyo!Umejiandaaje Dada yangu dhidi ya siku ya hukumu ambayo Issa bin Maryam atahukumu ulimwengu? Chaguo lako ni sasa. Amua sasa kumuamini yeye. 😀😃😄😁😆
marekani ametumia hadi submarines kupigana na wahouth !? Sasa ziara ya waziri wa mambo ya nje wa marekani huko mashariki ya kati ilikuwa na lengo gani wakati marekani na washirika wake ndio wanazidisha kuupanua mgogoro wa mashariki ya kati? Marekani ni mwoga sana sasa akae mkao wakutulia asubiri majibu makali
Hiyo ni bandari ya Yemen baada ya kupigwa na makombora ya Tomahawk.Yemen kisha zamisha meli ya kimarekani chezea Yemen hawa wajinga
Uzuri mmeandika wenyeweEti ISSA bin Maryam atahukumu !!
Inaonekana ushoga kwako ni sifaWe shoga tulizana mambo ya kanisani usitulete hapa, ngojea American atakutangazia kama kisha zamishiwa alidhani kupiga Yemen afu atakimbia 😄
Yemen kaishasema wazi yeye anapigana kupinga mauaji ya kimbari Gaza anachofanya sasa hivi muendelezo wa kuzamisha meli na kurusha makomboro Marekani yeye wao waendelee kushambulia kutoka kwenye meli zao nchi yeyote itakayotoa ardhi yake kushambulia Yemen itakuwa halal ya Yemen.Wameisha zamisha meli ya kimarekani.
Hahhahaha unajifariji JF Re sea imechafuka hamna kampuni itapeleka meli zake wewe upo Chanika na Tecno yako unajiandikia fikra zako😂Maeneo yaliyopigwa nchini Yemen kuanzia 12 January 2024
View attachment 2869212
Bandari ya Hodeidah pwani ya Red Sea (bahari nyekundu) Yemen, na mji mkuu Sanaa makombora yatua.
View attachment 2869217
N.B
17 December 2023
Maoni ya wanaJF kutoka maktaba:
Hao mgambo na serikali ya Yemen hawana ubavu wa kuzuia meli, ugaidi wao utakomeshwa ndani ya muda mfupi.
Sheria za bahari za kimataifa zinaifanya Yemen na wahuni mambo wa Houthi kujiweka ktk nafasi ya kupata vipigo toka mataifa yenye uwezo wa kuhakikisha sheria za bahari kimataifa zinaheshimiwa.
Muda siyo mfupi US, Denmark n.k vikosi vyao vya majini vitaanza kuwashughulikia kama HAMAS inavyopigwa muda huu.
Tufts University
https://sites.tufts.edu › chapter-six
Chapter 6: Maritime Security, Convention on the Law of the Sea
Maritime security supports an international order that is maintained through rule of law, and relies upon clear regulation of, and adherence to, the ...
Yaani nyie hangaikeni weee ila hakuna meli itakayopita kwenda israhell yaani hakuna
View: https://m.youtube.com/watch?v=VOVKZFVwo8s
Hao wawili ndiyo wakuu wa njia zote za usafiri wa meli katika bahari. Ukitaka himaya (empire) basi uwe na uwezo wa kuleta nidhamu ya meli kupita bila bughudha za wahuni kama wa Yemen n.k
Bila wao maharamia wengi wangeteka na kufanya dunia huwezi kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Historia kupitia Empire of the Seas inatupa picha kamili umuhimu wa kuwepo mataifa ya kibabe kushurutisha nidhamu na hivyo biashara ziweze kufanyika
View: https://m.youtube.com/watch?v=j1-OxNSjmh0