Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Duuuh [emoji848]Yakishakuwa mawili ni kimataifa, au unataka useme ni kitaifa, au ili iwe mataifa inabidi yaanzie mangapi kwa idadi?
Jambo likishakuwa la Kenya na Burundi tiyari ni la kimataifa.
@ITR pitia juu huko nilimuuliza swali langu halaf jibu ndio hili [emoji1787][emoji3][emoji1787]Yakishakuwa mawili ni kimataifa, au unataka useme ni kitaifa, au ili iwe mataifa inabidi yaanzie mangapi kwa idadi?
Jambo likishakuwa la Kenya na Burundi tiyari ni la kimataifa.
🤣🤣🤣eti special relationship ni muoga awezi ana vingi vya kupoteza.Wenyewe wanasema kuwa wana "Special Relationship"
Marekani ameshambulia alafu unamuita muoga, akili gani hizi. Muoga gani anakushambulia.marekani ametumia hadi submarines kupigana na wahouth !? Sasa ziara ya waziri wa mambo ya nje wa marekani huko mashariki ya kati ilikuwa na lengo gani wakati marekani na washirika wake ndio wanazidisha kuupanua mgogoro wa mashariki ya kati? Marekani ni mwoga sana sasa akae mkao wakutulia asubiri majibu makali
Ata kiongozi wa Houthi amesema meli wanazozuia zinazotoka na kwenda israel zingine zinapita bila shida na ni ukweli ulio wazi izo meli ndio zinazopeleka mizinga na silaha zinazoenda kuua kaka na dada zao wa palestina wanahaki ya kuzuia, houthi hawajqkurupuka tu kufanya wanachofanya. Na anachofanya US &UK kuulinda kwa nguvu zote huo ushoroba wa kupitisha maangamizi kwa wapalestina.Uk ina athirika kivipi wakati wahuthi wanashambulia meli zenye uhusiano na Israel tu?
Ww sema wameenda kuilinda meli za Israel baada ya wao kushindwa kuzilinda.
Watajibu nini hao magaidi?! Labda wajilipue kuwahi mabikira huko peponiKumbukeni wahuthi hawa jajibu hivyo ni vizuri kuwa na akiba ya maneno.
Kwa hiyo magaidi wa Houthi wakiachwa waendelee kuzuia meli za mizigo kupita ndiyo bei za dizeli na petroli zitashuka?4. Ngoja tuone bei ya za diesel na petrol zitakavyo kuwa soon.
Houthi wawe na ulinzi wa anga ni jeshi la nchi gani kwani [emoji848][emoji848][emoji848]Marekani ameshambulia alafu unamuita muoga, akili gani hizi. Muoga gani anakushambulia.
Houthi mara zote wanashambulia meli za Marekani wanaambulia patupu, wametumiwa guided missiles, jets zikadondosha mabomu hawana ulinzi wa anga. Marekani akae mkao gani wa kula kwa hao walalahoi si anawachakaza tu.
Ata kiongozi wa Houthi amesema meli wanazozuia zinazotoka na kwenda israel zingine zinapita bila shida na ni ukweli ulio wazi izo meli ndio zinazopeleka mizinga na silaha zinazoenda kuua kaka na dada zao wa palestina wanahaki ya kuzuia, houthi hawajqkurupuka tu kufanya wanachofanya. Na anachofanya US &UK kuulinda kwa nguvu zote huo ushoroba wa kupitisha maangamizi kwa wapalestina.
Litakuwa ni jambo la kimataifa au wewe kimataifa unataka yaanzie mataifa mangapi?Duuuh [emoji848]
Kwamba iran na oman wakikubaliana hormuz straight isitumike watakua wako sawa sababu ni kimataifa?
Mabeberu Wamejipanga Wenzetu Wako Mbali Na Wana WajuziNgumu sana kuzamisha aircraft carrier, ina ulinzi kuzidi nchi. Ni kisiwa kinachoelea kikilindwa kwa nguvu zote. Sababu 5 kwa uchache ktk nyingi kuelezea ulinzi mkali usioweza kupenya kukaribia msafara wa aircraft carrier ni hizi :
View: https://m.youtube.com/watch?v=hB-SbqZCQAc
Waislam wapi waliungana kuanzisha Islamic state na waliungania wapi wakati wanaanzisha hio Islamic stateLitakuwa ni jambo la kimataifa au wewe kimataifa unataka yaanzie mataifa mangapi?
Oman na Iran si ni mataifa mawili tofauti. Au wewe wingi wa neno taifa inabidi uwe na idadi ya nchi ngapi ndio uite mataifa?
Kuhusu kuwa sawa au kutokuwa sawa hilo ni suala lingine. Wapi uliambiwa jambo likiwa la kimataifa ni lazima liwe sawa? Waislamu walipoungana kutengeneza Islamic State lilikuwa suala la kimataifa na halikuwa sahihi.
Sasa kujitapa na makelele yote ya nini. Kama sio jeshi la nchi kiherehere cha nini kuleta kisebengo kwenye biashara za kimataifa. Kwahiyo ulitaka wasipigwe kisa sio jeshi la taifa na halina AD systems 😂.Houthi wawe na ulinzi wa anga ni jeshi la nchi gani kwani [emoji848][emoji848][emoji848]
Hahaha..Uzuri mmeandika wenyewe
Muhammad (ﷺ) said, "By Him in Whose Hands my soul is, surely (Jesus,) the son of Mary will soon descend amongst you and will judge mankind justly (as a Just Ruler);.....Sahih al-Bukhari 3448
Tupo yemen kwanza ningehamisha mimi mada ungeanza kulia lia ooh unakimbilia hukoSasa kujitapa na makelele yote ya nini. Kama sio jeshi la nchi kiherehere cha nini kuleta kisebengo kwenye biashara za kimataifa. Kwahiyo ulitaka wasipigwe kisa sio jeshi la taifa na halina AD systems 😂.
Ni sawa na Hamas walivyoua Waisraeli mkashangilia. Israel ilivyojibu mkalalamika kwanini inashambulia Gaza watoto na wanawake watakufa, kwani Hamas haikujua Gaza kuna watoto na wanawake wakati inachimba mahandaki na kujificha kwenye majengo ya raia.
Sheria hizohizo zinaruhusu meli zinazobeba bidhaa kuelekea nchi zilizovamia wengine kuzuiliwa kufikishwa zinapokwenda.Maeneo yaliyopigwa nchini Yemen kuanzia 12 January 2024
View attachment 2869212
Bandari ya Hodeidah pwani ya Red Sea (bahari nyekundu) Yemen, na mji mkuu Sanaa makombora yatua.
View attachment 2869217
N.B
17 December 2023
Maoni ya wanaJF kutoka maktaba:
Hao mgambo na serikali ya Yemen hawana ubavu wa kuzuia meli, ugaidi wao utakomeshwa ndani ya muda mfupi.
Sheria za bahari za kimataifa zinaifanya Yemen na wahuni mambo wa Houthi kujiweka ktk nafasi ya kupata vipigo toka mataifa yenye uwezo wa kuhakikisha sheria za bahari kimataifa zinaheshimiwa.
Muda siyo mfupi US, Denmark n.k vikosi vyao vya majini vitaanza kuwashughulikia kama HAMAS inavyopigwa muda huu.
Tufts University
https://sites.tufts.edu › chapter-six
Chapter 6: Maritime Security, Convention on the Law of the Sea
Maritime security supports an international order that is maintained through rule of law, and relies upon clear regulation of, and adherence to, the ...
Wewe naona umeandika vizuri sana.Andika vizuri au qchapo qimequingia?
waache ujinga waje wamalizie reli yetu kwanza watapigwa nicheke...Waturuki nao wamesogeza meli zao kivita karibu ya Ghaza:
View: https://youtu.be/szv0oh0XeH0?si=_xxYW_WlRcAFThrE
Faiza wewe ni mwanamke mzuri ila shida ni kwenye kuongea pointWewe naona umeandika vizuri sana.
Wayemeni washasema, Marekani, Uingereza na washirika wake sasa wameyakanyaga. Wasubiri majibu tu.