Marekani na Uingereza wafanya mashambulizi dhidi ya Kikundi cha Houthi nchini Yemen

Marekani na Uingereza wafanya mashambulizi dhidi ya Kikundi cha Houthi nchini Yemen

rafiki yangu Captain Fire nilishamuelekeza na ana jadili kwa staha.

Defense ya mwisho ya mtu kushindwa unapo mprovoke hisia zake huwa ni kutukana na ndicho ulichofanya wewe.
Umeshindwa vbaya kuendeleza kujadiliana, Mimi sikutishi ila nakuambia ukweli.
Embu endelea kutukana tuone.
Ila watu hua wana moyo sana kwakweli
Yaani katika hali yeyote ile iwayo unaanzaje kumtukana mtu yaani hata kama unamjua ama humjui
 
Marekani na mke wake wao ndiyo wameshambulia Yemen leo wanatangaza vita vimeisha😂😂

Wanalazimisha kuwa nchi nyingi zimeshiriki shambulio la jana Yemen kahoji hizo nchi kama zimeshiriki vita zimekataa.

Yemen kasema tuone kama kuna Meli itapita Red Sea.
 
Anakurushia jini ukiendelea kutukana 🤣🤣
Kwanza majini hakuna ni stori tu.
ILA mimi nitapenda watu wajadili bila matusi inapendeza sana.

Mkuu Nelson,
Ukienda kutazama nyuzi za miaka ya 2008 na mpaka 2010 huwezi kukuta haya matusi hovyo hovyo kama sasahiv.
At the end of the time sisi wote ni Watanzania huenda unamtukana bwana utam au Ritz au Faiza kumbe ni jirani yako na siku ukiumwa wanakubeba.
 
Hulali bi mdashi. Sasa mnajitafutizia mtemi mwingine wa Maneno yaani Uturuki baada ya mtemi na mbabe wenu Hauth toka Yemen kuanza kubinywa korodani. Jamaa ambao hata mlo mmoja kwao ni ngumu analeta kiburi na kujifanya mjuaji. Kwisha habari yao sasa na wao wanaishi kama panya kama wanavyofanya wenzao HAMAS.
Chunga kauli Houthi sio maskini kama udhaniavyo.
Yemeni toka vita ziishe wamekua wanafanya economic progression.
Pia Uturuki sio sawa na hayo mataifa usemayo muulize Russia kilimkuta nini alipoisaidia Armenia kuishikilia Nagorno karabakh ikiwa Azerbaijan ni mshirika wa uturuki.
Russia walipoteza zaidi ya askari 600.
Turkiye achana nao.
 
Naona umeamuwa kutuwekea picha ya mama yako na shangazi yako ili uwasaidie kutangaza biashara.
Hapana mkuu, the first half is for Allah and the other half is for Abdullah!
 
kama marekani sio muoga angekuwa anaenda mwenyewe vitani, mbona kila analofanya anawashirikisha wenzake !?
Anakwambia eti nisuala la kimataifa😀🤣😀

Wakati huo huo Russia kupewa drones mbili tatu na iran wanasema super power wa mchongo

Kumuelewa T14 Armata unatakiwa ujitoe kabisa akili
 
Rais BIden wa Marekani amethibitisha kuwa Majeshi ya Marekani na Uingereza yamefanya mashambulizi dhidi ya kikundi cha Houthi nchini Yemen

Rais Biden amesema mashambulizi hayo ni kulipa kisasi dhidi ya mashambulizi ya kikundi hicho cha Houthi ndani ya Red Sea
≈==============

UK Prime Minister Rishi Sunak said Houthi attacks could not be allowed to stand and Britain had taken "limited, necessary and proportionate action in self-defence."

British and US forces have launched an attack on Houthi targets in Yemen after the Iranian-backed group defied a warning to stop targeting ships in the Red Sea.
Yemeni press agency, SABA reported attacks took place in the capital, Sana'a, and the governorates of Sa'dah, Hodeidah, Taiz, and Dhamar.

Three explosions were heard in the country's capital of Sana'a, according to eyewitnesses.

US officials said the strikes had been carried out by warship-launched Tomahawk missiles, as well as fighter jets and a submarine.

In a statement issued shortly after the attacks, US President Joe Biden said: "These targeted strikes are a clear message that the United States and our partners will not tolerate attacks on our personnel or allow hostile actors to imperil freedom of navigation in one of the world's most critical commercial routes."

Chanzo: Sky News
Tegemeeni wider escalation hapo.
Iran ilishapeleka meli vita mbili ghuba ya Baab al mandib.
Tegemeeni majibu makali kama alofanya Hizbollah Mullat na Gelilee Israel.
Msidhani hayo makombora mawili ndio mumewaweza.
 
Marekani na mke wake wao ndiyo wameshambulia Yemen leo wanatangaza vita vimeisha😂😂

Wanalazimisha kuwa nchi nyingi zimeshiriki shambulio la jana Yemen kahoji hizo nchi kama zimeshiriki vita zimekataa.

Yemen kasema tuone kama kuna Meli itapita Red Sea.
Americant hana akili na shost yake Uingereza

Tunawakumbusha tu kwamba houthi wamesema hakuna meli itakayopita kuelekea ama kutoka israhell

Sasa kama vita imeisha ama wameshamaliza kuishambulia tunaomba meli ziendelee kwenda na kutoka israhell hem tuone 😀
 
Shida unachanganya mambo. Hakuna taifa linaloishambulia Yemen kwani ni kanchi kamaskini ka kiarabu ila kufunga kwao shughuli za Baharini ndio kilichosababisha haya.

Juzi nilimsikia Mkurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(PTA) akielezea madhara yanayosababishwa na hao Hauth kwenye uchumi wa Tanzania kwa kuzuia na kushambulia meli zinazopita ukanda huo. Hii ni sawa, waache kushambulia meli za mizigo na kufanya uharamia wa Baharini kwani madhara yake ni makubwa kwenye uchumi wa Duniani.
Baab al mandib inapitisha 12% ya mizigo ya meli kidunia.
hiyo ni asilimia ndogo sana kuathiri uchumi wa dunia.
Inayoathirika ni Israel na Western nations labda pamoja na Misri.
Hivi unajua kwa kasi inayoenda nayo Yemen baada ya miaka miwili itaizidi Tanzania kiuchumi?
 
Tegemeeni wider escalation hapo.
Iran ilishapeleka meli vita mbili ghuba ya Baab al mandib.
Tegemeeni majibu makali kama alofanya Hizbollah Mullat na Gelilee Israel.
Msidhani hayo makombora mawili ndio mumewaweza.
Waswahili ndio mambo yenu, ni tambo tu hamna lolote. Mnaongea utafikiri nyie ndio mnapigana kwenye vita kumbe nyie vita vyenu ni kwenye keyboard ⌨️🎹😂😂😂
 
Ndoto ya mchana, hakuna nchi hapo ya kuleta vita vya tatu vya dunia. Vita vya tatu viletwe na magaidi...???? That will never happen.
Magaidi halisi ni USA wanaotumia geopolitical means kufanya resource looting/exploitation katika mataifa yanayoinuka ado ado kiuchumi.
Huwezi kuita watu wanaotetea asili yao na ardhi zao magaidi na ukaacha waharibifu wa dunia wanaolinda maslahi yao kwa damu za wengine.
 
Back
Top Bottom