Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 5,181
- 6,813
Marekani anahitaji madini ya Ukreini kwa udi na uvumba zelensiky kazingua kuyatoa,katika hizi akijichanganya anaweza kuuawa hayo madini lazima marekani atayachukua kwa namna yoyote ile!! US kukutana na Rusia huenda wanataka kuweka mikakati ya kuigawana ukreini