Marekani nchi tajiri ,lakini sensa yao inasema kuna masikini milioni 48!

Marekani nchi tajiri ,lakini sensa yao inasema kuna masikini milioni 48!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
1661259542775.png

1661259769306.png

1661259996832.png

1661260109987.png


Marekani ni nchi tajiri na yenye maguvu.

Lakini sensa yao iliyoendeshwa na Idara ya Cencus Bureu(kama sensa yetu) imeonyesha kuwa hii nchi ya watu karibia milioni 330, ina watu masikini kabisa kufikia milioni 48.

Na kwa Marekani ukiwa masikini basi heri ya Tanzania.

Masikini wa Marekani hawana nyumba wala makazi na huweka vibanda vya kuishi barabarani.

Huku kwetu ingalau Matonya ana kwao Sukamahela, Dodoma na anaweza kurudi kwenye ardhi yake.

Sensa yetu ituonyeshe hali ya umasikini vile vile ili fedha na mipango ya serikali ijulikane ambako inapaswa kuelekezwa.
 
Hii mzee lazima uwe umeiva kwenye topocs za Welfare Economics

Kuna mambo ya absolutely and relative poverty

Na kumbuka kila nchi ina namna yake ya kutafsiri umaskini

Wengi wanaoitwa maskini sio maskini na wengi wenye tablets na vishikwambi wanajionaga matajari lakini ni upepo yaan hewa kabisa
 
(45/331)*100%=13.6% maana yake karibu asilimia 87 ya raia wake ni tajiri
sisi huku kama raia wanaomudu kutumia mtandao wa jamiiforum hawazidi 10m katika taifa lenye raia karibu milion 70 nadhani hapo ndio shida inapoanzia.
 
View attachment 2332476
View attachment 2332485
View attachment 2332489
View attachment 2332492

Marekani ni nchi tajiri na yenye maguvu.

Lakini sensa yao iliyoendeshwa na Idara ya Cencus Bureu(kama sensa yetu) imeonyesha kuwa hii nchi ya watu karibia milioni 330, ina watu masikini kabisa kufikia milioni 48.

Na kwa Marekani ukiwa masikini basi heri ya Tanzania.

Masikini wa Marekani hawana nyumba wala makazi na huweka vibanda vya kuishi barabarani.

Huku kwetu ingalau Matonya ana kwao Sukamahela, Dodoma na anaweza kurudi kwenye ardhi yake.

Sensa yetu ituonyeshe hali ya umasikini vile vile ili fedha na mipango ya serikali ijulikane ambako inapaswa kuelekezwa.
Wito wangu kwa Watanzania wote, kama huna kazi sema sina kazi, mambo ya kusema wewe ni mkulima au mfanyabiashara au umejiajiri hayataleta majibu sahihi kwa serikali. Ni lazima tuijulishe serikali ukubwa wa tatizo la uhaba wa ajira, na umasikini kwa ujumla
 
Hii mzee lazima uwe umeiva kwenye topocs za Welfare Economics

Kuna mambo ya absolutely and relative poverty

Na kumbuka kila nchi ina namna yake ya kutafsiri umaskini

Wengi wanaoitwa maskini sio maskini na wengi wenye tablets na vishikwambi wanajionaga matajari lakini ni upepo yaan hewa kabisa
Nimeweka picha kwa ulinganisho, sasa hapo tuambie kama kulala kwenye tenti la makaratasi Marekani kuna ubora katika umasikini.
Welfare Economics ni kitu umejifunza tu bila kuelewa maana yake halisi.
 
Kiongozi
Nimeweka picha kwa ulinganisho, sasa hapo tuambie kama kulala kwenye tenti la makaratasi Marekani kuna ubora katika umasikini.
Welfare Economics ni kitu umejifunza tu bila kuelewa maana yake hali

Nimeweka picha kwa ulinganisho, sasa hapo tuambie kama kulala kwenye tenti la makaratasi Marekani kuna ubora katika umasikini.
Welfare Economics ni kitu umejifunza tu bila kuelewa maana yake halisi.
Kwani picha uliyoweka ndio maskini wote wa marekani wapo hivyo?
Umaskini unatofautiana kati ya mahali na mahali, wakati na wakati, jamii na jamii, kipindi kwa kipindi
HAKUNA maana pekee na yenyewe tu ya umaskini. Kila jamii ima maana yake wamapofika mahali pa kutafsiri umaskini si picha zako hizo
 
View attachment 2332476
View attachment 2332485
View attachment 2332489
View attachment 2332492

Marekani ni nchi tajiri na yenye maguvu.

Lakini sensa yao iliyoendeshwa na Idara ya Cencus Bureu(kama sensa yetu) imeonyesha kuwa hii nchi ya watu karibia milioni 330, ina watu masikini kabisa kufikia milioni 48.

Na kwa Marekani ukiwa masikini basi heri ya Tanzania.

Masikini wa Marekani hawana nyumba wala makazi na huweka vibanda vya kuishi barabarani.

Huku kwetu ingalau Matonya ana kwao Sukamahela, Dodoma na anaweza kurudi kwenye ardhi yake.

Sensa yetu ituonyeshe hali ya umasikini vile vile ili fedha na mipango ya serikali ijulikane ambako inapaswa kuelekezwa.
Topics zingine sio za watu wajinga, zinatakiwa at least Akili ya kati.

Sasa Usa kusema poverty unafikiri hawana nyumba nk. Sio kweli. Huenda wana nyumba na mpska ajira ila kipato chao ni chini ya figure fulani waliyo kubaliana.

Hizo picha ni za homeless
 
Kiongozi



Kwani picha uliyoweka ndio maskini wote wa marekani wapo hivyo?
Umaskini unatofautiana kati ya mahali na mahali, wakati na wakati, jamii na jamii, kipindi kwa kipindi
HAKUNA maana pekee na yenyewe tu ya umaskini. Kila jamii ima maana yake wamapofika mahali pa kutafsiri umaskini si picha zako hizo
Unakaribishwa kuutafsiri umasikini kulingana na injili yako?
 
Sensa yetu ituonyeshe hali ya umasikini vile vile ili fedha na mipango ya serikali ijulikane ambako inapaswa kuelekezwa
Haya ni maneno tu na yatabakia kwenye kanga. Unataka kusema umasikini upo kwasabb idadi ya masikini haijulikani?

Huko Marekani ambako teknolojia ya kuhesabu na kutambua idadi ya watu wao kwann umasikini haujatoweka?
 
Masikini wa marekani unaweza Kuta
Ana jiko la umeme na gas,
Ana freezer,
Watoto Kila mtu Ana kitanda Chake,
Kuna gari ya kuendea sokoni n.k.

Ila Kuna wale wazamiaji ambao wao wanaamini kuwa marekani ni nchi yenye utafutaji rahisi, badala yake wanajikuta wanaishia kuwa jobless, homeless
 
Masikini wa marekani unaweza Kuta
Ana jiko la umeme na gas,
Ana freezer,
Watoto Kila mtu Ana kitanda Chake,
Kuna gari ya kuendea sokoni n.k.

Ila Kuna wale wazamiaji ambao wao wanaamini kuwa marekani ni nchi yenye utafutaji rahisi, badala yake wanajikuta wanaishia kuwa jobless, homeless
Nyie ndio watu msioelimika mnaofikiri kila mzungu ni tajiri.
Nakupa hiyo picha ya poor whites in America halafu unionyeshe hilo gari, cooker na vitanda vya vono vilipo.
1661263466438.png
 
Masikini wa marekani unaweza Kuta
Ana jiko la umeme na gas,
Ana freezer,
Watoto Kila mtu Ana kitanda Chake,
Kuna gari ya kuendea sokoni n.k.

Ila Kuna wale wazamiaji ambao wao wanaamini kuwa marekani ni nchi yenye utafutaji rahisi, badala yake wanajikuta wanaishia kuwa jobless, homeless

Umeandika tu au. Mmeshafika nje Jamani. Maskini analala barabarani , freezer anatoa wapi Sasa mkuu?
 
Mkuu usilinganishe definition ya Wamarekani kuhusu umaskini na def. ya waafrika, Definition ya mwafrika kuhusu Ni mtu ambaye anaishi chini ya dola Moja kea siku,Sasa dola Moja Ni sawa sawa na Tsh 250.

Ninachojua maskini wa marekani wanamudu bajeti ya zaidi ya dola Moja kwa siku,in maana wao Wana unafuu kuliko maskini wa kiafrika.

Maskini wa Marekani anaweza akawa na tv ya 32 inch ndani, gas cooker,friji ndogo, feni na vitu vingine ambavyo maskini wa kiafrika hawezi kuwa navyo.
 
Kuna makala nilisoma kuwa mji wa San Francisco unamuhesabu mtu yeyote single anayelipwa chini ya dola za Kimarekani 100,000 kwa mwaka kama masikini ambaye amefikia kiwango cha kusaidiwa na serikali.

Sasa hivi poverty level ni $82,000 kwa mtu mmoja na $117,000 kwa familia ya watu wanne.

Ina maana ukiwa na mke/ mume na watoto wawili na mkeo/ mumeo hana kazi, na wewe una kazi unalipwa $117,000 mji wa San Francisco unakuhesabu wewe masikini unayetakiwa kusaidiwa na serikali.

Poverty can be relative.

 
Wito wangu kwa Watanzania wote, kama huna kazi sema sina kazi, mambo ya kusema wewe ni mkulima au mfanyabiashara au umejiajiri hayataleta majibu sahihi kwa serikali. Ni lazima tuijulishe serikali ukubwa wa tatizo la uhaba wa ajira, na umasikini kwa ujumla
Sasa mkuu pisi kali imekuja hapo kama karani....unaanzaje kuiambia huna kazi?
 
Back
Top Bottom