Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Qatar na UAE hakuna masikiniJamii isiyo na watu masikini ni Wayahudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Qatar na UAE hakuna masikiniJamii isiyo na watu masikini ni Wayahudi
Hata tza tukiwa na viongozi wanaothink Hawawezi kuwepoQatar na UAE hakuna masikini
Una uhakika hao sio wakimbizi wa kutoka Mexico na Jamaica?Nimeweka picha kwa ulinganisho, sasa hapo tuambie kama kulala kwenye tenti la makaratasi Marekani kuna ubora katika umasikini.
Welfare Economics ni kitu umejifunza tu bila kuelewa maana yake halisi.
usilinganishe chizi/mlukwa akili na maskini akili timamu.....asa mtu analala baranarani na baridi lile huoni anatafutwa??katoroka Hosp.ya vichaa....kwanini mnapenda tuwatafunie kila kitu?Umeandika tu au. Mmeshafika nje Jamani. Maskini analala barabarani , freezer anatoa wapi Sasa mkuu?