masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Ww tumia akili yako Mungu awezi pigwa makofi ayo maandiko ni kituko cha karne alafu unaleta vipacha vya uyo muarabu ndio ujinga gani huo?dogo tunajadil Maandiko au toka kichwani mwako [emoji15] nimekuwekea John 1:1-3 then Jn 1:14 nitakufundisha tena kwamba Mungu wangu Ana Uwezo, Atakalo Huwa na Hana Mshauri! Na nimekuwekea ayat ya wewe muislamu allah anakuagiza uyaamini Hayo Maandiko [emoji117] View attachment 778794 kama shababi ogelea kwenye Hayo Maandiko [emoji4] ndio sababu waarabu wenye deen yao wanawaona wasio waarabu kihivyi [emoji117] View attachment 778798
Uliza uchambuliwe.Huyu Mama lazima atiwe adabu [emoji117] View attachment 776506 [emoji4]
Halafu shida ya wakristo mnauakisi uislam mzima kwa kuangalia juu juu.Na kweli hii dini imejengwa na matabaka. Lakini ukirsto wetu wenyewe hatuna matabaka kabsaa. Tukianza na mashoga na masagaji kwetu wanatimiza upendo wa bwana, na kwa kuwa wanatimiza upendo ndio tukauhalalisha na ni rukhsa kuoana.
Makahaba kwetu ni binadamu na wanastahili upendo na kuheshimu kazi yao . Na wale wanaofanya picha za ngono hata kama wanaingiliana kinyume na maumbile haina dhambi kwetu ile ni kazi tunawaita "porn stars" na hata zile picha za wenzetu wengine wanaonyesha picha za wanawake wakifanya ngono na wanyama yote ile ni kazi tu na si dhambi kabsaaa.
Hata hii vita mataifa ya wakristo wazungu wanapowapiga mabomu waarabu na kuua malaki na mamilioni ni rukhsa wabaya ni wale wanaojaribu kujilinda au kutetea haki zao kwa wao kupigana nao hao tunawaita magaidi.
AHIDA YENU MNANUKUU AYA KM MNANUKUU MAANDIKO YA PASSED LIKE A SHADOW.Nashangaa ilimu Islam unaita propaganda [emoji15] haya sio maagizo ya allah kwenda kwa wauminiView attachment 776641 kwa hiyo unaniaminisha maagizo Hayo ya allah kwa waumini waisilamu ni propaganda [emoji15] nyinyi waislam dirisha dogo hamjitambui [emoji12]
Ukatoliki wako unakusaidia nini sasa kama lugha unayotumia ndiyo hii ?Akha.
We ukipandwa na nyegge huna hata adabu
Hawa nao walimnyanyasa nani??AHIDA YENU MNANUKUU AYA KM MNANUKUU MAANDIKO YA PASSED LIKE A SHADOW.
UNAPONUKUU AYAH UNAPASWA KUJUA KWANN ILISHUSWA,MLENGWA WAKE NA HIKMA YAKE.
NINYI VYOTE HVYO HAMVIJUI.
WAISLAM WALINYANYASWA SANA MAKKAH NA WAABUDU MASANAM ILA ALLAH AKIWAKATAZA WASIPIGANE BALI AKAWAAMURU WAHAME.
MPK HAPO UTAJUA UISLAM NI DINI YA AMANI.
WALIANZA KURUHUSIWA KUPIGANA KUANZIA VITA YA BADRI ILI KUTETEA UISLAM NA KUPATA NGAWIRA KM FIDIA YA MALI WAKIZOPORWA MAKKAH.
ALLAH AMEWAHIMIZA WAISLAM JIHADI KWA SABABU YA KUULINDA UISLAM NA KUKATAZA UDHALIMU。
NA JIHAD INAPIGANWA VIWANJA MAALUM HAIRUHUSU KUUA WATOTO WALA KINAMAMA WALA KUHARIBU MALI.
NA JIHADI HAIPIGANWI ILI KULAZIMISHA WATU WASILIMU.
UNLIKE WAKRISTO MAKATOLIKI WALIUA MPAKA VICHANGA HUKO SHAM.
ILA UISLAM ULIPIGANA JIHAD KUANGUSHA UONGOZI AMA UTAWALA WA KIDHALIMU KM WA KIKATOLIKI .
NA HAUKULAZIMISHA WATU KUSLIMU.
MTUME SHAM ALIISHI MPK NA WAYAHUDI NA HAKUWAFANYA KITU.
HAMUUJUI UISLAM NINYI.
KATIKA HIZO AYAH MUNGU NDIPO ALIPORUHUSU KUPIGANA JIHADI ILA PALE TUTAKAPOANZWA
Wanao fanya uvu huo sio Wafuasi wa Yesu bro!Na kweli hii dini imejengwa na matabaka. Lakini ukirsto wetu wenyewe hatuna matabaka kabsaa. Tukianza na mashoga na masagaji kwetu wanatimiza upendo wa bwana, na kwa kuwa wanatimiza upendo ndio tukauhalalisha na ni rukhsa kuoana.
Makahaba kwetu ni binadamu na wanastahili upendo na kuheshimu kazi yao . Na wale wanaofanya picha za ngono hata kama wanaingiliana kinyume na maumbile haina dhambi kwetu ile ni kazi tunawaita "porn stars" na hata zile picha za wenzetu wengine wanaonyesha picha za wanawake wakifanya ngono na wanyama yote ile ni kazi tu na si dhambi kabsaaa.
Hata hii vita mataifa ya wakristo wazungu wanapowapiga mabomu waarabu na kuua malaki na mamilioni ni rukhsa wabaya ni wale wanaojaribu kujilinda au kutetea haki zao kwa wao kupigana nao hao tunawaita magaidi.
mchambuzi tuchambulie hapa!Uliza uchambuliwe.
Usibebe maneno huko kanisani ukayaweka kichwani directly.
Nakupa hikma ya hiyo ayah.
Hikma yake ni kwamba mwanaume km baba wa familia kuna njia za kuzifuata anapomuonya mkewe.
kwanza amuonye kwa kauli.
Asiposikia amuonye kwa kumuekea vikwazo km kumuhama kitanda au kutokumsemesha km bado hajarekebishika huyo mwanamke basi amchape tofautisha kuchapa na kupiga.
Amchape ikifikia stage mpk mwanamke anachapwa haelewi huyo sikio ka kufa apewe talaka.
Hizo ndio hikma zake sawa kijana?
UISLAM HAUJAFINDISHA KUMPIGA MWANAMKE AU KUMNYANYASA.
MSIKALISHE MATAKO KANISANI MKALISHANA UONGO NA PUMBA
hahahaaaaa akikujibu nitag mkuu
unapaswa kujua katika quran kuna ayah zinazojitosheleza na kuna ayah zinazoshabihiana.mchambuzi tuchambulie hapa!
Jee mwanaume akimkosea adabu mwanamke muumini naye alipize kisasi ili awe na Uhai kama alivyo agiza allah??
[emoji116][emoji116]
وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
[emoji23][emoji23][emoji23]
KWANZA HAPA HATUZUNGUMZII KUHUSU AFGHANISTAN HIYO NI KESI NYINGINE.Hawa nao walimnyanyasa nani??
[emoji116][emoji116]
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
(AT-TAWBA - 29)
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Nenda afghanistan ukapate raha!
maana waisilamu wanaokimbia kule hawataki raha!
Hawa nao walimnyanyasa nani??KWANZA HAPA HATUZUNGUMZII KUHUSU AFGHANISTAN HIYO NI KESI NYINGINE.
TULIA DAWA IKUINGIE SAWA KIJANA?
UKIMALIZA HAPA NDIO ULETE MADAI YA AFGHANISTAN AMBAYO YAMEKAA KIMLENGWA WA SIASA.
Hiyo ayh inazungumzia vita ya tabuk.
Kwanza kama kawaida niwakumbushe waislam hatupigani mpk tuchokozwe.
Kisa cha kushuka hii ayah ni vita ya waislam dhidi ya utawala wa Roman catholic ambao ulikita mizizi mpk syria mpk sham.
waroma walikua wanatokea syria wakija makkah kuvamia.
Ndipo ikashuka ayah ya 28 ambapo Allah alisena tusiruhusu makafiri wasogelee msikiti mtakatifu wa makkah na tusiwaue mpk watuanze.
Ikifuatiwa na ayah ya 29 uliyoleta Allah akaamuru tukapigane na wasioamini bimaana ilikusudiwa dola ya kirumi na tukiwashinda tuwaeke chini ya utawala wetu na tuwalipishe kodi.
Na ndivyo mtume alivyofanya akifunga safari mpk tabuk mji uliopo kat ya madina na Damascus.
Kwasabab tawala zingine za wakristo zilisalimu amri mtume aliishia Tabuk na akaishi nao kwa amani hakuwalazimisha wasilimu bali aliwalipisha kodi tu .
Na Hakuna asiyetambua km warumi walikua makatili wakiua hovyo na kuvamia hovyo.
Leta ayah nyingine.
MSICHOKE KULETA.
mchambuzi tuchambulie hapa!unapaswa kujua katika quran kuna ayah zinazojitosheleza na kuna ayah zinazoshabihiana.
Bimaan huwezi kupata maana kamili mpk ufate mlolongo wake.
Ulitakiwa uanze na ayah ya 178 ambayo maelezo yake yanashabihiana na ayah ya 179 ulioleta.
178 Allah anatwambia waislam kwamba tuna haki ya kulipiza kisasi kwa waliouawa mwanaume kwa mwanaume,mwanamke kwa mwanamke na atakayesamehewa na nduguze wa aliyeuawa basi alipe kwa wema.
179 Allah anatwambia kwa kulipiza kisasi sisi binadam tutakua nao uhai mzuri .
Bimaana kisasi kinafunza kwamba km alivyoumia uliyemuulia nduguye basi nawe wapaswa pitia yale yale ili ujue thamani ya uhai.
Alqiswas haq mtume kasema kisasi ni haki ya aliyetendwa.
KUMBE NAONGEA NA FALA ANAELAZIMIASHA UJUAJI?Hawa nao walimnyanyasa nani??
[emoji116][emoji116]
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
(AT-TAWBA - 29)
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Nenda afghanistan ukapate wepesi!
maana waisilamu wanaokimbia kule hawataki wepesi!
Hapo allah ameagiza wapigwe na kulipishwa kodi ya jizya!
Sababu ya wao kupigwa ni Hozi!;
1-Hawamuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho!
2-Hawaharimishi alivyo haramisha mungu!
3-Hawaishiki deen ya haqi!
Hizo sababu na bla bla ulizo jibu ziko wapi kwenye hiyo ayat??
Hamkawiagi kukosoa qauli za haqi za mungu wenu!
au unamgeza muhammad?!
NAKUSISITIZA AYAH YA 179 HAIJITOSHELEZI MPK UISHABIHISHE NA 178.mchambuzi tuchambulie hapa!
Jee mwanaume akimkosea adabu mwanamke muumini naye alipize kisasi ili awe na Uhai kama alivyo agiza allah??
[emoji116][emoji116]
وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii aya inajitosheleza!
Naenda na akili zako!; Hizi ayat zinashahabiana!
[emoji116][emoji116]
وَبِكُفْرِهِمْ وَقَوْلِهِمْ عَلَىٰ مَرْيَمَ بُهْتَانًا عَظِيمًا
(AN-NISAAI - 156)
Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa,
وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا الْمَسِيحَ عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ اللَّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ۚ وَإِنَّ الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ ۚ مَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ إِلَّا اتِّبَاعَ الظَّنِّ ۚ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًا
(AN-NISAAI - 157)
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.
Hivyo basi Ukubaliane na mimi leo Kisa cha kukusudiwa kukatwa Yesu kilikuwa cha Utotoni! Ukubwani Yesu Aliteswa, Akafa, kisha Kufufuka!
Nakualika lunch kogogo sambusa tupate kitimoto na chachandu ya uhakika ushushie na ka-laga bardii kanatoa jasho?
Alihamdulilah![emoji106][emoji123]View attachment 1897747
Unaweza ukanambia vigezo vya ayah kushabihiana?mchambuzi tuchambulie hapa!
Jee mwanaume akimkosea adabu mwanamke muumini naye alipize kisasi ili awe na Uhai kama alivyo agiza allah??
[emoji116][emoji116]
وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii aya inajitosheleza!
Naenda na akili zako!; Hizi ayat zinashahabiana!
[emoji116][emoji116]
وَبِكُفْرِهِمْ وَقَوْلِهِمْ عَلَىٰ مَرْيَمَ بُهْتَانًا عَظِيمًا
(AN-NISAAI - 156)
Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa,
وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا الْمَسِيحَ عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ اللَّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ۚ وَإِنَّ الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ ۚ مَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ إِلَّا اتِّبَاعَ الظَّنِّ ۚ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًا
(AN-NISAAI - 157)
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.
Hivyo basi Ukubaliane na mimi leo Kisa cha kukusudiwa kukatwa Yesu kilikuwa cha Utotoni! Ukubwani Yesu Aliteswa, Akafa, kisha Kufufuka!
Nakualika lunch kogogo sambusa tupate kitimoto na chachandu ya uhakika ushushie na ka-laga bardii kanatoa jasho?
Alihamdulilah![emoji106][emoji123]View attachment 1897747
Umekosea pakubwa ayah ya 156 haishabihiani na 157.mchambuzi tuchambulie hapa!
Jee mwanaume akimkosea adabu mwanamke muumini naye alipize kisasi ili awe na Uhai kama alivyo agiza allah??
[emoji116][emoji116]
وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ
[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii aya inajitosheleza!
Naenda na akili zako!; Hizi ayat zinashahabiana!
[emoji116][emoji116]
وَبِكُفْرِهِمْ وَقَوْلِهِمْ عَلَىٰ مَرْيَمَ بُهْتَانًا عَظِيمًا
(AN-NISAAI - 156)
Na pia kwa kufuru zao na kumsingizia kwao Maryamu uwongo mkubwa,
وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا الْمَسِيحَ عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ اللَّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـٰكِن شُبِّهَ لَهُمْ ۚ وَإِنَّ الَّذِينَ اخْتَلَفُوا فِيهِ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ ۚ مَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ إِلَّا اتِّبَاعَ الظَّنِّ ۚ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًا
(AN-NISAAI - 157)
Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu, bali walifananishiwa tu. Na hakika walio khitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini.
Hivyo basi Ukubaliane na mimi leo Kisa cha kukusudiwa kukatwa Yesu kilikuwa cha Utotoni! Ukubwani Yesu Aliteswa, Akafa, kisha Kufufuka!
Nakualika lunch kogogo sambusa tupate kitimoto na chachandu ya uhakika ushushie na ka-laga bardii kanatoa jasho?
Alihamdulilah![emoji106][emoji123]View attachment 1897747
Ndipo Allah alipoamuru wapigwe vita.Hawa nao walimnyanyasa nani??
[emoji116][emoji116]
قَاتِلُوا الَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَلَا بِالْيَوْمِ الْآخِرِ وَلَا يُحَرِّمُونَ مَا حَرَّمَ اللَّهُ وَرَسُولُهُ وَلَا يَدِينُونَ دِينَ الْحَقِّ مِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ حَتَّىٰ يُعْطُوا الْجِزْيَةَ عَن يَدٍ وَهُمْ صَاغِرُونَ
(AT-TAWBA - 29)
Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii.
Nenda afghanistan ukapate wepesi!
maana waisilamu wanaokimbia kule hawataki wepesi!
Hapo allah ameagiza wapigwe na kulipishwa kodi ya jizya!
Sababu ya wao kupigwa ni Hozi!;
1-Hawamuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho!(kwasababu siyo waislamu)
2-Hawaharimishi alivyo haramisha Allah(kwasababu walikua wanahalalisha mauaji mpk ya watoto na kulazimisha ukatoliki)