Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Marekani: Spika wa Bunge, Nancy Pelosi anaweza kusababisha vita kali kati ya China na Marekani

Bado nakuambia China ya wakati huo siyo China ya leo!! Kama vile USSR ya 1990 siyo sawa na Urusi ya leo!! China ni mbabe wa kiuchumi duniani!! Huwezi kuiwekea vikwazo vya kiuchumi kama ilivyowekewa urusi vinginevyo uchumi wa dunia unakwama wote!!
Hata usibishane naye, eti wageni wakahamishwa kwenda Nagasaki....
 
Chini yachimba mkwara zaidi: Yasema haitakaa kimya kuona heshima ya mamlaka yake ikidfhalilishwa na imejiweka tayari kujibu mapigo!

"We would like to tell the US once again that China is standing by, and the Chinese People's Liberation Army will never sit idly by. China will take resolute responses and strong countermeasures to defend its sovereignty and territorial integrity," Foreign Ministry spokesman Zhao Lijian told reporters, when asked about the fallout from Pelosi leading a congressional delegation to Taipei.
Kinchomgharimu Mchina anatumia sana diplomasia ndiyo Marekani inamdharau. Masuala tofauti tofauti China inafanyiwa ndivyo sivyo na Marekani wanabaki kutumia diplomasia.

Huo upuuzi Marekani hawezi kuufanya kwa Russia, North Korea wala Iran. Ili China ajenge uzio wa Marekani kumheshimu afanye kweli. Awalipue na huo msafara wake. Lolote liwe! Amini Amerika haitofanya lolote! Kwa sababu anajua kuna vichaa wataunganisha nguvu na madhara makubwa atayapata kwake.
 
Hiki kibibi ambacho kimekaribia kuhitimisha maisha yake hapa duniani kinaweza kusababisha maelfu ya watu wakiwemo watoto na vijana kufariki kama kitaendelea na chokochoko chake cha kulazimisha kuingia Taiwan kinyume na matakwa ya China ambayo ndiyo mmiliki halali wa Taiwan. China ilishaionya Marekani kuwa kama kibibi hicho (Nancy Pelosi) kitaamua kutaka kuingia Taiwan kinguvu basi Marekani itakuwa inataka kuchezea moto na lazima itaungua. Tishio hilo liliifanya Ziara ya Pelosi kutokuwa na kituo cha Taiwan kwenye ziara yake ya mashariki ya mbali.

Cha kushangazwa leo jioni Marekani imetangaza kuwa anatazamiwa kuingia Taiwan kesho jumanne!! China imesema imeziagiza ndege zake kukesha zikikizunguka kisiwa cha Taiwan kuhakikishga kuwa Pelosi hatii mguu wake Taiwan!! Marekani imesema inaelekeza meli zake zilizoko karibu na maeneo hayo zielekee huko ili kumlinda Pelosi!! Sijui hili picha litaishaje, lakini waswahili walisema mzaha mzaha hutumbua usaha1! Wote Pelosi na Biden ni wazee na hawana kiu kubwa sana ya kuendelea kuishi lakini kiburi cha kutaka kuonesha umwamba dhidi ya China inaweza kupelekera vita ya tatu ya dunia!! Mungu aepushe balaa hilo!!

Pelosi to visit Taiwan – CNN​

The top US official will be staying overnight in Taipei, the news network reports
CNN has confirmed from sources both in the US and in Taiwan that US House Speaker Nancy Pelosi plans to visit the self-governed island this week, despite objections from Beijing, which considers the island part of its territory.

A Taiwanese official said that Pelosi is expected to spend the night in Taiwan, but didn’t offer any details about the time of her expected arrival. A US official said the Pentagon was “working around the clock” to ensure the speaker's safety. Both spoke on condition of anonymity.

Maoni yangu: Marekani anatishia tu wala Pelosi hatothubutu kuingia Taiwan. Ikitokea kweli Pelosi akaingia Taiwan na China ikaingia baridi kutekeleza kitisho chake, China itadharaulika mbele ya dunia na mbele ya Marekani milele!! Japo China kukubali kudharaulika ndio itakuwa wokovu wa dunia kuepushwa na vita kuu ya tatu kwa sasa!!

View attachment 2311328
Kibibi hicho kinataka kuiletea balaa wakati chenyewe kimeshaifaidi dunia kwa miaka 82!!

View attachment 2311330

View attachment 2311333
Kibabu Biden cha miaka 79 chenyewe kimeshaifaidi dunia kwa miaka 79 kinataka kuleta kizazaa duniani kisababishe watoto wadogo na vijana kwa maelfu wapoteze maisha ili mradi tu kionekane kibabe mbele ya China!! Dunia ikipinge hiki kibibi na hiki kibabu kwa nguvu zote!! Wawaache na wenzao wafikishe ile miaka waliyofikia wao!!
China hana nguvu ya kumtisha USA vile CIA wamewachezeshaa mchezo wachina kumbe walikuwa wana test mitambo yao yakijasus na wamejuwa china ni kopo lina piga kelele sasa wamguse waone kitu USA atawafanya.. yani Putn huyo wachina. Watawabanika kama nyama
 
Pelosi anaingia Taiwan na China atabaki kulaan tu by the way sio mara ya kwanza kwa Speaker wa US kwenda hapo au high US ranking official kwenda taiwan
Kauli yako ina asilimia nyingi za ukweli. Asilimia chache naziweka kwenye nukta hii: Ikiwa China kweli ikiwa inataka USA iweze kumheshimu kinguvu ya kijeshi inambidi afanye kweli kama Iran ilivyolipua kambi za USA nchini Iraq. Au kama kipindi cha Nikita Sovieti ya zamani walilipua ndege vita kipindi cha John F. Kennedy. Na asiwe na maneno mengi kama North Korea; kwa hapo anaweza kufanikiwa. Ila mimi bado simwamini Mchina namuona anaweza akasanda.
 
Kinchomgharimu Mchina anatumia sana diplomasia ndiyo Marekani inamdharau. Masuala tofauti tofauti China inafanyiwa ndivyo sivyo na Marekani wanabaki kutumia diplomasia.

Huo upuuzi Marekani hawezi kuufanya kwa Russia, North Korea wala Iran. Ili China ajenge uzio wa Marekani kumheshimu afanye kweli. Awalipue na huo msafara wake. Lolote liwe! Amini Amerika haitofanya lolote! Kwa sababu anajua kuna vichaa wataunganisha nguvu na madhara makubwa atayapata kwake.
Kuna maana pia kwenye diplomasia, janja janja ya magharibi sio tu kukuingiza kwenye vita na kukushusha kiuchumi ndio plan yao pia. Hivyo sometimes China naye anakua mjanjajanja kwa kukwepa mbinu chafu za western ila trust siku USA akivuka mstari mwekundu patachimbika pia no matter nani atashinda ila itabaki kuwa ni uhatibifu mkubwa.
 
China kikaragosi kilichotengenezwa na USA baada ya kuruhusiwa kuingia kwenye WTO na free market economy anapata wapi ubavu wa kutunishiana ubavu na Marekani , hivi unadhani Marekani ni Burundi nyie wajinga sio ? ,Hivi mnalojua hili jitu linaloitwa USA au ?
Acha ujinga Mkuu, kwani USA ni Malaika hadi aishi milele zote kiushindani kwa kila kitu duniani?
 
Kuna maana pia kwenye diplomasia, janja janja ya magharibi sio tu kukuingiza kwenye vita na kukushusha kiuchumi ndio plan yao pia. Hivyo sometimes China naye anakua mjanjajanja kwa kukwepa mbinu chafu za western ila trust siku USA akivuka mstari mwekundu patachimbika pia no matter nani atashinda ila itabaki kuwa ni uhatibifu mkubwa.
Nakubaliana na wewe pia!

Ngoja tuone kwa kesho itakuwaje!
 
Back
Top Bottom