Marekani: Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote

Marekani: Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote

Kabisa upo sahihi ulaya au marekani usithubutu kuoa ,tunamuonea huruma sana ngolo kante its just the matter of time, akiacha kucheza ndio atajua lile lishangazi lake la kizungu lipo kwa ajili gani
kupitia mastaa weusi walioko ulaya na marekani unapata picha ya ulimbukeni na uduni wa akili wa watu weusi. mimi kwa kweli kwanza sina taste na whites..nikiwa naye basi ni kwa lengo la kunivusha tu kimaisha au aanze yeye kunizimikia kweli na awe mkisu.
 
Dah Jamaa self made hafu anatokes fala anachukua tu mali kizembe.
hakuna cha kuyaonea huruma hayo majinga meusi. yanaishi nchi inaruhusu prenup kwanini usitumie? pili, wakiwa na pesa wanaona weusi wenzao mavi wanakimbilia weupe. tatu, mengi yakifanikiwa hata weusi wenzao hawawapigi tafu. ni mafala sana ma mtu meusi
 
Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.

Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi

Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake

Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo

Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani

Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa

Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭

Pia, Soma: Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Wewe nia yako ni kutaka watu wakate tamaa kuoa. Hawakati ng'oo! Vikao vya harusi ndiyo vinazidi.
 
Demu wake kmmmk wazungu
FB_IMG_1727899782533.jpg
 
Ni shida sana na tunakokwenda watu wataacha kuoa kwa kuogopa kwa haya wanayoyaona ya kila siku yanayotokea ndoa za sasa asilimia kubwa zimejaa tamaa na mauaji ya kila siku tunayoyasikia
Exactly! Watu wataogopa kuoa, lakini hata kama wakioa wataogopa kufanya maendeleo ya pamoja. Hii dunia imemnyima mwanaume haki, haki zote zimekuwa za mama na mtoto. Na hata sheria nyingi zinam favor mama na mto
 
Back
Top Bottom