Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Hawa nao hawajifunzi kila siku
Kikishaumana ndio wanaanza kujiliza Liza Africa Kuna watoto wakali sana ,waje kuoa huku watulieKabisa upo sahihi ulaya au marekani usithubutu kuoa ,tunamuonea huruma sana ngolo kante its just the matter of time, akiacha kucheza ndio atajua lile lishangazi lake la kizungu lipo kwa ajili gani
kupitia mastaa weusi walioko ulaya na marekani unapata picha ya ulimbukeni na uduni wa akili wa watu weusi. mimi kwa kweli kwanza sina taste na whites..nikiwa naye basi ni kwa lengo la kunivusha tu kimaisha au aanze yeye kunizimikia kweli na awe mkisu.Kabisa upo sahihi ulaya au marekani usithubutu kuoa ,tunamuonea huruma sana ngolo kante its just the matter of time, akiacha kucheza ndio atajua lile lishangazi lake la kizungu lipo kwa ajili gani
Bongo raha,mnaachana mke habebi hata kijikoBlack American star waache uzwazwa wakuje kuoa huku Africa ,Kuna Mali safi sana zipo south Africa ,Eswatin ,tanzania na Nk ,
Lasivyo wazungu watawafirisi vyote na Sheria zao za Ajabu ajabu
hakuna cha kuyaonea huruma hayo majinga meusi. yanaishi nchi inaruhusu prenup kwanini usitumie? pili, wakiwa na pesa wanaona weusi wenzao mavi wanakimbilia weupe. tatu, mengi yakifanikiwa hata weusi wenzao hawawapigi tafu. ni mafala sana ma mtu meusiDah Jamaa self made hafu anatokes fala anachukua tu mali kizembe.
Wewe nia yako ni kutaka watu wakate tamaa kuoa. Hawakati ng'oo! Vikao vya harusi ndiyo vinazidi.Muigizaji maarufu wa Marekani Tyrese Gibson ameangua kilio kikali baada ya mke wake Samantha Lee kushinda kesi ya talaka na kuchukua mali zote za jamaa ikiwemo jumba lake na binti yao kisha mwanamke huyo kurudiana na ex wake wa zamani.
Unaambiwa Tyrese amepigwa marufuku kukanyaga kwenye nyumba hiyo mpaka aalikwe tu na amepewa ruhusa ya kumuona mwanae mara 3 tu kwa mwezi
Mke wa Tyrese amesema alikubali kuolewa na Tyrese sababu ya umaarufu tu ila hakuwa na hisia nae kimapenzi hata kidogo na wakati wote akiwa na Tyrese alikuwa akifanya mawasiliano na huyo ex wake
Anasema ex wake ndio mwanaume waliyependana kwa dhati japo hakuwa na pesa wala umaarufu ila hisia zake zote daima zilikuwa kwa njemba huyo
Unaambiwa saiv huyo jamaa anaishi nyumba ya Tyrese na mke wa Tyrese (mtalaka), mwamba anafinyia kwa ndani
Tyrese kapoteza kila kitu, wanawake mna matukio sio poa
Jamaa amelia mno aisee 😭😭😭😭
Pia, Soma: Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Raha kinoma ,mahakimu wenyewe wanaongeka akipeleka kesi mpaka uamuzi utoke kashapigwa pesa ya kutosha na Bado anawez asipate chochoteBongo raha,mnaachana mke habebi hata kijiko
Ilikuwaje 😄😄?!wacha yamkute real nigga 50 Cent alimshauri akakaza fuvu. aende akaoshe vyombo vya Ludacriss
Ilikuwaje?!50 Cent alishamkanya asiwapende wanawake wa kizazi hiki
Ilikuwaje?!
Exactly! Watu wataogopa kuoa, lakini hata kama wakioa wataogopa kufanya maendeleo ya pamoja. Hii dunia imemnyima mwanaume haki, haki zote zimekuwa za mama na mtoto. Na hata sheria nyingi zinam favor mama na mtoNi shida sana na tunakokwenda watu wataacha kuoa kwa kuogopa kwa haya wanayoyaona ya kila siku yanayotokea ndoa za sasa asilimia kubwa zimejaa tamaa na mauaji ya kila siku tunayoyasikia
Namkumbuka jamaa kwnye waist deep na black & blue aliua sana,,, hats off to 50centDemu wake kmmmk wazungu
View attachment 3114162