Miezi sita naenda Mars na Elon Musk?Kwa mujibu wa Ernest B. Makulilo wa EBM SCHOLARS kwa sasa muda wa kuprocess visa ya kwenda Marekani kwa raia wa Tanzania ni miezi Sita.. kwa lugha nyepesi ni ukiomba visa ya kwenda Marekani leo utapokea majibu ya maombi yako baada ya miezi Sita ( Februari 2024)
Warudishieni kikumbo na wao kuja Serengeti ,Kilimanjaro, Zanzibar etc wasubiri visa miezi sita.Na hiyo miezi Sita ni kupewa majibu kama umekubaliwa au lah. Tetesi = Marekani wamechukizwa na kitendo cha baadhi ya viongozi wa Africa walio hudhuria kwenye kikao na Put-OUT.
Thubutu yake!!! Nani ktk Afrika hii wa kumpandishia kibesi marekani like that??Warudishieni kikumbo na wao kuja Serengeti ,Kilimanjaro, Zanzibar etc wasubiri visa miezi sita.
Tuone kama hawajapunguza jeuri.
Miaka kadhaa nyuma, kuna siku dada yangu mdogo alikuwa anataka kutoka Tanzania kuja likizo kutusalimia ndugu zake US. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuja US.
Alivyofika ubalozi wa US kuomba visa, yule Counselor anayetoa visa akawa anamuuliza maswali invasive. Yani yale ya kuhakiki kama atarudi, ana kazi, na mengine mengi ya kizushi zaidi waziwazi kabisaaa.
Yule dada akili zake anavyozijua mwenyewe, alivyoona maswali ya kijinga yanazidi, akamuwakia yule Counselor.
Akamwambia I am offended by your presumptuos and invasive questions. Naghairi safari sasa hivi, nipe passport yangu. Huko Marekani nakwenda kusalimia tu ndugu zangu, si safari ya lazima sana.
Yule Counselor akastuka sana, inaonekana ilikuwa kitu cha ajabu sana kupata Mtanzania anayeweza kuji assert hivyo.
Hapo hapo yule Counselor akaanza kumuomba msamaha yule dada yangu mdogo. Akamgongea visa.
Kuanzia siku hiyo, yule dada akawa anakuja na kutoka Marekani anavyotaka. Mpaka sasa hivi kachoka mwenyewe safari za likizo Marekani.
Labda Tanzania tunatakiwa kuji assert zaidi kama alivyofanya huyo dada yangu mdogo, kufanya some sort of reciprocity.
Tatizo ni kwamba, reciprocity works among equals. Sisi kama tunahitaji sana hela za watalii wa Kimarekani, kuwalazimisha wangojee miezi sita kuja kutalii wataghairi na kwenda sehemu nyingine.
Na sisi Tanzania tunaona hatuwezi ku afford kukosa hela za watalii wa Kimarekani.
Inabidi tuwakubalie wachukue visa on arrival Tanzania.
Hatuwezi fanya hivyo, tunahitaji waje kwa wingi nchini tupate hizo US dollars......Warudishieni kikumbo na wao kuja Serengeti ,Kilimanjaro, Zanzibar etc wasubiri visa miezi sita.
Tuone kama hawajapunguza jeuri.
Miaka kadhaa nyuma, kuna siku dada yangu mdogo alikuwa anataka kutoka Tanzania kuja likizo kutusalimia ndugu zake US. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuja US.
Alivyofika ubalozi wa US kuomba visa, yule Counselor anayetoa visa akawa anamuuliza maswali invasive. Yani yale ya kuhakiki kama atarudi, ana kazi, na mengine mengi ya kizushi zaidi waziwazi kabisaaa.
Yule dada akili zake anavyozijua mwenyewe, alivyoona maswali ya kijinga yanazidi, akamuwakia yule Counselor.
Akamwambia I am offended by your presumptuos and invasive questions. Naghairi safari sasa hivi, nipe passport yangu. Huko Marekani nakwenda kusalimia tu ndugu zangu, si safari ya lazima sana.
Yule Counselor akastuka sana, inaonekana ilikuwa kitu cha ajabu sana kupata Mtanzania anayeweza kuji assert hivyo.
Hapo hapo yule Counselor akaanza kumuomba msamaha yule dada yangu mdogo. Akamgongea visa.
Kuanzia siku hiyo, yule dada akawa anakuja na kutoka Marekani anavyotaka. Mpaka sasa hivi kachoka mwenyewe safari za likizo Marekani.
Labda Tanzania tunatakiwa kuji assert zaidi kama alivyofanya huyo dada yangu mdogo, kufanya some sort of reciprocity.
Tatizo ni kwamba, reciprocity works among equals. Sisi kama tunahitaji sana hela za watalii wa Kimarekani, kuwalazimisha wangojee miezi sita kuja kutalii wataghairi na kwenda sehemu nyingine.
Na sisi Tanzania tunaona hatuwezi ku afford kukosa hela za watalii wa Kimarekani.
Inabidi tuwakubalie wachukue visa on arrival Tanzania.
Naam. Na hapo ndipo tatizo lilipo. Kuna power structure imetupa disadvantage kubwa sana mpaka inabidi tukubali tu kuwa wadogo.Hatuwezi fanya hivyo, tunahitaji waje kwa wingi nchini tupate hizo US dollars......
Huyu dadako niwakishua period!Warudishieni kikumbo na wao kuja Serengeti ,Kilimanjaro, Zanzibar etc wasubiri visa miezi sita.
Tuone kama hawajapunguza jeuri.
Miaka kadhaa nyuma, kuna siku dada yangu mdogo alikuwa anataka kutoka Tanzania kuja likizo kutusalimia ndugu zake US. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuja US.
Alivyofika ubalozi wa US kuomba visa, yule Counselor anayetoa visa akawa anamuuliza maswali invasive. Yani yale ya kuhakiki kama atarudi, ana kazi, na mengine mengi ya kizushi zaidi waziwazi kabisaaa.
Yule dada akili zake anavyozijua mwenyewe, alivyoona maswali ya kijinga yanazidi, akamuwakia yule Counselor.
Akamwambia I am offended by your presumptuos and invasive questions. Naghairi safari sasa hivi, nipe passport yangu. Huko Marekani nakwenda kusalimia tu ndugu zangu, si safari ya lazima sana.
Yule Counselor akastuka sana, inaonekana ilikuwa kitu cha ajabu sana kupata Mtanzania anayeweza kuji assert hivyo.
Hapo hapo yule Counselor akaanza kumuomba msamaha yule dada yangu mdogo. Akamgongea visa.
Kuanzia siku hiyo, yule dada akawa anakuja na kutoka Marekani anavyotaka. Mpaka sasa hivi kachoka mwenyewe safari za likizo Marekani.
Labda Tanzania tunatakiwa kuji assert zaidi kama alivyofanya huyo dada yangu mdogo, kufanya some sort of reciprocity.
Tatizo ni kwamba, reciprocity works among equals. Sisi kama tunahitaji sana hela za watalii wa Kimarekani, kuwalazimisha wangojee miezi sita kuja kutalii wataghairi na kwenda sehemu nyingine.
Na sisi Tanzania tunaona hatuwezi ku afford kukosa hela za watalii wa Kimarekani.
Inabidi tuwakubalie wachukue visa on arrival Tanzania.
Marekani siyo mbinguni! Pole mnaoshobokea marekani!! Marekani ni duniani tu hapa hapa kama ilivyo burundi!!Kwa mujibu wa Ernest B. Makulilo wa EBM SCHOLARS kwa sasa muda wa kuprocess visa ya kwenda Marekani kwa raia wa Tanzania ni miezi Sita.. kwa lugha nyepesi ni ukiomba visa ya kwenda Marekani leo utapokea majibu ya maombi yako baada ya miezi Sita ( Februari 2024)
Huyu dadako niwakishua period!
Mshana Jr somo lako limeeleweka. Mwamba kiranga sasa anajua nini maana ya nyota.Halafu ukimuona basi, hata huwezi kumfikiria huyu anaweza kufanya hivyo.
Wale ma Counselor ubalozini tatizo lao kubwa ni watu wanaotaka kuzamia kimoja Marekani.
Na huyu dada alikuwa anajiamini kabisa kwamba yeye anakuja likizo kusalimia wiki chache, kisha anarudi nyumbani, na nyumbani ana kazi yake nzuri inamngoja, ana strong family ties, in fact angetaka kuishi Marekani mimi ningemfanyia mpango wa green card ya familia, alikuwa hataki mwenyewe anasema haitakiwi wote tukae huku Marekani, familia inahitaji watoto Tanzania pia, sasa akaona maswali yote haya invasive ya nini? Akawa anataka kughairi safari.
Mpaka leo nikimkumbushia na kumdadisi alifikiria nini kusema vile anacheka sana.
Hapo nilijifunza kitu kikubwa sana kuhusu human dignity.
Kumbe wale ma Counselor Wamarekani nao wanajua human dignity ni nini, na kuna maswali mengine yakivuka mpaka ukawarudisha kwenye mstari kama una principle wanakuelewa mpaka kukuomba msamaha wenyewe.
Msijaribu kugeza lakini, kila mtu na "nyota" yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Warudishieni kikumbo na wao kuja Serengeti ,Kilimanjaro, Zanzibar etc wasubiri visa miezi sita.
Tuone kama hawajapunguza jeuri.
Miaka kadhaa nyuma, kuna siku dada yangu mdogo alikuwa anataka kutoka Tanzania kuja likizo kutusalimia ndugu zake US. Ilikuwa ndiyo mara yake ya kwanza kuja US.
Alivyofika ubalozi wa US kuomba visa, yule Counselor anayetoa visa akawa anamuuliza maswali invasive. Yani yale ya kuhakiki kama atarudi, ana kazi, na mengine mengi ya kizushi zaidi waziwazi kabisaaa.
Yule dada akili zake anavyozijua mwenyewe, alivyoona maswali ya kijinga yanazidi, akamuwakia yule Counselor.
Akamwambia I am offended by your presumptuos and invasive questions. Naghairi safari sasa hivi, nipe passport yangu. Huko Marekani nakwenda kusalimia tu ndugu zangu, si safari ya lazima sana.
Yule Counselor akastuka sana, inaonekana ilikuwa kitu cha ajabu sana kupata Mtanzania anayeweza kuji assert hivyo.
Hapo hapo yule Counselor akaanza kumuomba msamaha yule dada yangu mdogo. Akamgongea visa.
Kuanzia siku hiyo, yule dada akawa anakuja na kutoka Marekani anavyotaka. Mpaka sasa hivi kachoka mwenyewe safari za likizo Marekani.
Labda Tanzania tunatakiwa kuji assert zaidi kama alivyofanya huyo dada yangu mdogo, kufanya some sort of reciprocity.
Tatizo ni kwamba, reciprocity works among equals. Sisi kama tunahitaji sana hela za watalii wa Kimarekani, kuwalazimisha wangojee miezi sita kuja kutalii wataghairi na kwenda sehemu nyingine.
Na sisi Tanzania tunaona hatuwezi ku afford kukosa hela za watalii wa Kimarekani.
Inabidi tuwakubalie wachukue visa on arrival Tanzania.
Najua ulichomaanisha. " nyota" umemaanisha kukejeli imani za kiswahili kwamba kilicho tokea kwa dada ako waswahili wanaweza kuki describe kama ilikuwa " nyota" yake lakini wewe huamini kama ilikuwa "nyota" ila ni vile watu wa ubalozi walikuwa impressed na ujasiri wa dada ako.Mkuu,
Nil8jua tu mtashikia bango hapo.
Wewe ndiye hujui tofauti ya nyota na "nyota".
Jifunze kusoma kwa ufahamu.