Marekani waongeza muda wa kupata visa ya Marekani kwa watanzania hadi kuwa miezi Sita

Marekani waongeza muda wa kupata visa ya Marekani kwa watanzania hadi kuwa miezi Sita

Kwa mujibu wa Ernest B. Makulilo wa EBM SCHOLARS kwa sasa muda wa kuprocess visa ya kwenda Marekani kwa raia wa Tanzania ni miezi Sita.

Kwa lugha nyepesi ni ukiomba visa ya kwenda Marekani leo utapokea majibu ya maombi yako baada ya miezi Sita (Februari 2024)

View attachment 2706482
Vikwazo huanza taratiib
 
Sasa Kama tunashida sana ya Dola bora tuondowe Shiling kwenye mzunguko wetu tuingize US Dola ndiyo iwe inatumika kwenye Maisha yetu ya kila siku!!
Dola tayari inatumika, kwenye ada za shule za private sehemu nyingi wanalipa kwa dola, Intwrnational School of Tanganyika mpaka website yao wameweka ada kwa US dollars, kwenye real estate kodi sehemu nyingi wanalipa kwa dola. Sehemu nyingi za kitalii wanalipa dola.

Halafu hapohapo serikali imepiga marufuku matumizi ya dola kwenye malipo Tanzania.
 
IMG_0504.jpg


For Passport, Visa Applications & Appointment..
Call us on:255787308831
WA Contact: BRYTE SKY LINKS
Office: White Beach Park, Tanki Bovu, Mbezi Beach,
Dar es Salaam, Tanzania.
 
Mmh umewahi kumsikia akaongea ung'eng'e? Mtu utashangaa huyu jamaa kweli pamoja na kuishi mbele miaka na miaka hiki ndo kiingereza anaongea?
Anaongea kingereza cha ovyo kweli yaani mtu amekaa US miaka mingi ila wapi
 
Back
Top Bottom