Marekani waongeza muda wa kupata visa ya Marekani kwa watanzania hadi kuwa miezi Sita

watakuwa wamemuona majaliwa urusi wakaamua kuweka vikwazo. tunachotakiwa kufanya sasa ni kujiunga mazima na russia ili wachoke kabisa.
 
Mkuu unaamini katika nyota? Ila kutokana na hzo emoji za kucheka,labda you are just playing! But am curious.
 
Explain kk!
Nikiandika nyota, maana yake ni kitu ninachokisema mimi.

Nikiweka kwenye quotations "nyota" maana yake nanukuu kauli za watu, dhana sijaikubali binafsi, kitu so called, nimekiweka hapo kufikisha ujumbe lakini mimi si changu, sijakikubaki hivyo, naripoti, lakini, ni njia rahisi ya kufikisha ujumbe.
 
Sijatoka bure leo. Najifunza sana almost katika kila andiko lako. Shukrani.
 
Ubishi dunia hii ni muhimu sana. Ukilegea wanakukula nyama. UK iliwahi kuziletea za kuleta ndege za Nigeria. Wanigeria wakapiga marufuku British Airways kukanyaga kwao. Waingereza wakajirudi wakayamaliza. USA ilipiga marufuku parachichi za Mexico. Wamexico nao wakapiga marufuku mahindi ya USA kuingia Mexico. Ikabidi wakae wayamalize. Sisi hapa hata kumwita balozi na kumpigia kelele sidhani kama tunaweza.
 
Mimi ninafikiri Tanzania ikifanya ubishi hii jeuri itapungua.

Tatizo watu waoga sana.
 
Na hiyo miezi Sita ni kupewa majibu kama umekubaliwa au lah. Tetesi = Marekani wamechukizwa na kitendo cha baadhi ya viongozi wa Africa walio hudhuria kwenye kikao na Put-OUT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…