Vikwazo huanza taratiibKwa mujibu wa Ernest B. Makulilo wa EBM SCHOLARS kwa sasa muda wa kuprocess visa ya kwenda Marekani kwa raia wa Tanzania ni miezi Sita.
Kwa lugha nyepesi ni ukiomba visa ya kwenda Marekani leo utapokea majibu ya maombi yako baada ya miezi Sita (Februari 2024)
View attachment 2706482
Dola tayari inatumika, kwenye ada za shule za private sehemu nyingi wanalipa kwa dola, Intwrnational School of Tanganyika mpaka website yao wameweka ada kwa US dollars, kwenye real estate kodi sehemu nyingi wanalipa kwa dola. Sehemu nyingi za kitalii wanalipa dola.Sasa Kama tunashida sana ya Dola bora tuondowe Shiling kwenye mzunguko wetu tuingize US Dola ndiyo iwe inatumika kwenye Maisha yetu ya kila siku!!
wana akili sana ila wameshindwa kujiajiriAlizamia huko kitambo amekuwa huko na aliwahi kuhudumu kama kweli jeshi la Marekani ukoo wao wanaakili sana kaka zake ni profesa hapo mlimani na dada yao pia
USSR
Prof Alexander makulilo sio ndiye VC academic pale UDOM kama sijakoseaAlizamia huko kitambo amekuwa huko na aliwahi kuhudumu kama kweli jeshi la Marekani ukoo wao wanaakili sana kaka zake ni profesa hapo mlimani na dada yao pia
USSR
Mmh umewahi kumsikia akaongea ung'eng'e? Mtu utashangaa huyu jamaa kweli pamoja na kuishi mbele miaka na miaka hiki ndo kiingereza anaongea?1. Huyu mwamba ana kiingereza kizuri na kimenyooka.
2. Hakika diaspora mnaupiga mwingi Sana. Hakika vijana tuna mengi ya kujifunza kwenu.
Anaongea kingereza cha ovyo kweli yaani mtu amekaa US miaka mingi ila wapiMmh umewahi kumsikia akaongea ung'eng'e? Mtu utashangaa huyu jamaa kweli pamoja na kuishi mbele miaka na miaka hiki ndo kiingereza anaongea?
Wenye IQ kubwa hawawezi kujiajiri. Wana reasoning nyingiwana akili sana ila wameshindwa kujiajiri
wana akili sana ila wameshindwa kujiajiri
Ila kuna watu mnajua kujoke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣makulilo anaongea English ya kiha yule1. Huyu mwamba ana kiingereza kizuri na kimenyooka.
2. Hakika diaspora mnaupiga mwingi Sana. Hakika vijana tuna mengi ya kujifunza kwenu.