brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
ha ha ha ngoja wakusikie wenyewe team kibakuli mimi simoJamani tatizo ni kuwa wakat mtangazaj ana taka amtangaze Ali Kiba kuwa kashinda tuzo, mic ilizimwa. Ndio jamaa hakutajwa kwa kuwa harmonize alikuwa nyuma ya jukwaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ha ha ha ngoja wakusikie wenyewe team kibakuli mimi simo
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
ha ha ha ndicho kilichobakia hiko ha ha ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ebu acha team Kiba tufarijiane bhana maana si kwa kusema huko
Source?Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.
Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.
Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.
View attachment 418988
ha ha ha ndicho kilichobakia hiko ha ha ha
Wewe kweli HUJUI MUZIKI,ungejua angefahamu wanaimba nini.Jamani labda mi sijui mziki asa hawa wanaimba nini
Kweli mkuu wasafi wana nyota vijana wameanza juzi sasa hivi wanakwea pipa kupiga show nje ya tz na tuzo za kimataifa zinawafata wakongwe bado wanazungushwa na coastar ya ruge hapa hapa bongo kweli kutangulia sio kufika!Ukikaa karibu na waridi lazima Unukie🙄
daah hapo kwa kiba nimecheka sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi kweli ni halali hii mkuu!!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]daah hapo kwa kiba nimecheka sana
kwenye list mbona KIBAKULI HAYUPO.. au anasubiri tuzo za mombasaDiamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.
Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.
Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.
View attachment 418988
Ha ha ha ha hapo sawaaHahahaha nimeiiba hapo juu hahaha
Huyu Harmonise si ndie aliambiwa hajui kuimba kwenye Bongo star search?Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.
Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.
Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.
View attachment 418988
nimeshangaa sana huyo changudoa kushinda hamfikii hata theluthi V moneyHivi huyo Cheusi Mangala Akothee anaimba nini, wamemnyima bure tuzo Vannesa
Yaan yule sura mbaya yule we mwache tu ila iko siku yake ataangukia puanimeshangaa sana huyo changudoa kushinda hamfikii hata theluthi V money