MAREKANI: Watanzania Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

MAREKANI: Watanzania Diamond, Harmonize na DJ D-Ommy washinda tuzo za Afrimma 2016

Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.

Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.

Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.

Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.


View attachment 418988
Source?
 
ha ha ha ndicho kilichobakia hiko ha ha ha
962d7445869fb7372ec05065ac168f41.jpg

[emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi kweli ni halali hii mkuu!!?
 
Hizi taasisi za kimataifa ipo siku zitatoa na tuzo ya kula mashonde!!!
Maana tuna kiu sana ya tuzo.
 
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.

Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.

Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.

Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.


View attachment 418988
kwenye list mbona KIBAKULI HAYUPO.. au anasubiri tuzo za mombasa
 
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.

Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.

Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.

Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.


View attachment 418988
Huyu Harmonise si ndie aliambiwa hajui kuimba kwenye Bongo star search?
 
hongera kwao...najivunia mafanikio yao kama vijana wenzangu wa kitanzania.
 
Back
Top Bottom