Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Kwani shida iko wapi? Ungekuwa ww ni Mkristo Mkatoliki ningekujibu vizuri zaidi. Lakini itoshe tu nikwambie NDIYOOO.
Kwa hivyo Paulo ni muongo aliposema kuwa hawatoingia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani shida iko wapi? Ungekuwa ww ni Mkristo Mkatoliki ningekujibu vizuri zaidi. Lakini itoshe tu nikwambie NDIYOOO.
Naongelea Netanyahu.Kumbe yule mwanawe aliyekimbia yuko kwao Miami ??
eunuch
/ˈjuːnək/
noun
a man who has been castrated, especially (in the past) one employed to guard the women's living areas in an Asian court.
an ineffectual person.
"a nation of political eunuchs"
******************************************
Shida ni kwamba watu hamtaki kusoma na hiyo elimu ya madrasat haina faida yoyote katika dunia hii ya sasa na ndio maana watu mnabaki siku zote kulalamika kwamba mko wachache kwenye ajira mbalimbali zinazohitaji elimu dunia na utamchukuaje mtu umuweke kwenye ajira inayohitaji taaluma eg Engineer, Teacher, Accountant, Physician, Legal Officer, IT Specialist nk wakati yeye kasomea madrassa tu..😯😯
Naongelea Netanyahu.
Jifunze kwanza uelewe maana ya neno "Eunuch as opposed to the word Homosexual" ndio urudi uandike. Madrasat hailipi, unaona sasa.Wewe unayesoma Sunday school , Vipi hapa tena ??
there are those who choose to live like eunuchs for the sake of the kingdom of heaven. The one who can accept this should accept it.”
Deuteronomy 23:1-6 No eunuch is to enter the congregation of GOD.
Jifunze kwanza uelewe maana ya neno "Eunuch as opposed to the word Homosexual" ndio urudi uandike. Madrasat hailipi, unaona sasa.
NB: Please, avoid washing your dirty linen in public.
Sorry,Point of order: Uzi huu unaihusu Marekani wametoa sharti kwa Qatar.......Kwa hivyo Paulo ni muongo aliposema kuwa hawatoingia
Mkuu, Nashangaa sana. Wanadhani Elimu ni lelemama na Ajira ni za mgawo kama Wale jamaa wanavyogawa nyama za mbuzi na kondoo bure.eunuch
/ˈjuːnək/
noun
a man who has been castrated, especially (in the past) one employed to guard the women's living areas in an Asian court.
an ineffectual person.
"a nation of political eunuchs"
******************************************
Shida ni kwamba watu hamtaki kusoma na hiyo elimu ya madrasat haina faida yoyote katika dunia hii ya sasa na ndio maana watu mnabaki siku zote kulalamika kwamba mko wachache kwenye ajira mbalimbali zinazohitaji elimu dunia na utamchukuaje mtu umuweke kwenye ajira inayohitaji taaluma eg Engineer, Teacher, Accountant, Physician, Legal Officer, IT Specialist nk wakati yeye kasomea madrassa tu..😯😯

Sorry,Point of order: Uzi huu unaihusu Marekani wametoa sharti kwa Qatar.......
Kwa heshima ya uzi huu; Hii hoja tunayoijadili mm na ww iko nje ya mada.
Lakini nikujibu kwa kifupi tu kwamba Paulo sio msemaji au mwamuzi wa ni Nani watakaoingia.
Kaa kama ulivyo.Mara hii umeukumbuka uzi maana umejiona kuwa unalishwa matango pori kwenye shule ya kanisa ,
Kimbia lakini Paulo kasema gays hawatoingia ufalme wa Mungu kinyume na ulivyoandika
Utambuwe , Eunuch ni gays
Ondoa hapo Russia, huwa hakubaliani na magaidi.Wakifukuzwa wataenda Iran, Yemen au Rusia
Kaa kama ulivyo.
Mkuu; Amini unachokiamini na kwa namna unavyotaka kuamini.Ndiyo Itakuwa Paulo Si muongo?
Si ndiyo Paulo atakuwa kasema uongo au vipi?Mkuu; Amini unachokiamini na kwa namna unavyotaka kuamini.
Wewe unasemaje hapo? Nini maoni yako au mtizamo wako? Halfu mkuu, Naomba uniambie wewe ni wa Imani ipi ili nisije nikawa najadiliana na the wrong person.Si ndiyo Paulo atakuwa kasema uongo au vipi?
Ni wapi nimeongelea mambo ya Kanisa?Kwa tafsiri hizo ulizotoa unaweza kunipa jina la towashi mmoja tu katika kanisa lenu?
Kwani nimeandika umeongelea kanisa?Ni wapi nimeongelea mambo ya Kanisa?
Wewe unasemaje hapo? Nini maoni yako au mtizamo wako? Halfu mkuu, Naomba uniambie wewe ni wa Imani ipi ili nisije nikawa najadiliana na the wrong person.
Broo; Huyu mheshimiwa anatatizo la Tautology - anachomekea swali ndani ya maswali. Hayuko focused ktk majadiliano -anahamisha magoli.Ni wapi nimeongelea mambo ya Kanisa?