Marekani watoa sharti kwa Qatar kwamba HAMAS wafukuzwe mara moja kama watakaidi azimio la sasa la Israel

Marekani watoa sharti kwa Qatar kwamba HAMAS wafukuzwe mara moja kama watakaidi azimio la sasa la Israel

Jibu swali

Si ndiyo Paulo atakuwa kasema uongo au vipi?
1. Mheshimiwa, ww unataka maswali yako yajibiwe ilhali ww hutaki kujibu kile unachoulizwa.
2. BTW; nI Mamlaka gani inayotupa Uwezo (mimi na wewe) wa kumhukumu Paulo kuwa ni mwongo au vinginevyo?
3. Nimekuuliza ww ni wa Imani gani hutaki kujibu.
Angalizo:Tafadhali, jitahidi na ww pia kujibu yale unayoulizwa sio kung'ang'ania ujibiwe wewe tu.
 
Mara hii umeukumbuka uzi maana umejiona kuwa unalishwa matango pori kwenye shule ya kanisa ,
Kimbia lakini Paulo kasema gays hawatoingia ufalme wa Mungu kinyume na ulivyoandika
Utambuwe , Eunuch ni gays
Eunuch hata hujui maana yake kwa sababu elimu uliyonayo haikuwezeshi kufahamu mambo kama hayo. Wewe ni kukariri Quran tu ndiyo unafahamu. Bure kabisa.
 
Jifunze wewe kunitajia eunuch mmoja katika kanisa lenu kwa tafsiri hiyo uliyoiandika , labda wewe ??
Nimeshakwambia kwamba kuna tofauti kubwa kati ya "Eunuch Vs Homosexual" sasa kama huelewi basi sina namna ya kuweza kukuelewesha zaidi ya hapo.

There is no way I can subdue the Madrassat Effect.
 
Nimeshakwambia kwamba kuna tofauti kubwa kati ya "Eunuch Vs Homosexual" sasa kama huelewi basi sina namna ya kuweza kukuelewesha zaidi ya hapo.

There is no way I can subdue the Madrassat Effect.
Hilo ndiyo jina la eunuck mmoja kanisani mwenu?
 
Eunuch hata hujui maana yake kwa sababu elimu uliyonayo haikuwezeshi kufahamu mambo kama hayo. Wewe ni kukariri Quran tu ndiyo unafahamu. Bure kabisa.
Ndio Paulo kawaingiza gays hapo kwenye ufalme wa Mungu?
 
1. Mheshimiwa, ww unataka maswali yako yajibiwe ilhali ww hutaki kujibu kile unachoulizwa.
2. BTW; nI Mamlaka gani inayotupa Uwezo (mimi na wewe) wa kumhukumu Paulo kuwa ni mwongo au vinginevyo?
3. Nimekuuliza ww ni wa Imani gani hutaki kujibu.
Angalizo:Tafadhali, jitahidi na ww pia kujibu yale unayoulizwa sio kung'ang'ania ujibiwe wewe tu.

Wapi nimemhukumu Paulo???

Jibu swali

Si ndiyo Paulo atakuwa kasema uongo au vipi?
 
Ndio Paulo kawaingiza gays hapo kwenye ufalme wa Mungu?
We mjahidina kila mada ya wenzako we unatia habari za ushoga tu na kufanya watu waongelee ushoga badala ya mada husika.
Acha kuhalibu mada za watu.
Anzisha mada yako ya ushoga ili watu wachangie.
Kama hujui kutofautisha kati ya hanithi na shoga unaonekana huna kitu kichwani.
Mahanithi hata mtaani kwako wapo hao ndio aliowazungumzia Yesu.
Hao hata jeshini hawatakiwi.

Jinsi unavyouzungumzia ushoga kwenye kila mada za wenzako inaonekana hata wewe ni shoga mzoefu.
 
We mjahidina kila mada ya wenzako we unatia habari za ushoga tu na kufanya watu waongelee ushoga badala ya mada husika.
Acha kuhalibu mada za watu.
Anzisha mada yako ya ushoga ili watu wachangie.
Kama hujui kutofautisha kati ya hanithi na shoga unaonekana huna kitu kichwani.
Mahanithi hata mtaani kwako wapo hao ndio aliowazungumzia Yesu.
Hao hata jeshini hawatakiwi.

Jinsi unavyouzungumzia ushoga kwenye kila mada za wenzako inaonekana hata wewe ni shoga mzoefu.

Ndio Paulo kawaingiza gays hapo kwenye ufalme wa Mungu?
 
Kwani nimeandika umeongelea kanisa?
Jibu swali ,
Unaweza kuniambia jina la towashi mmoja tu katika kanisa lenu ?
Au kiswahili kimeanza kukupiga chenga?
Dogo,
Mbona unauliza maswali ya kiquma?
Kwani wewe huna mdomo uende ukaulize huko?

Umeshaambiwa eunuchs ni hanithi, hawawezi kupiga miti. Kama unatafuta basha au waseng.e nenda Zanzibar, wamejazana huko
 
Dogo,
Mbona unauliza maswali ya kiquma?
Kwani wewe huna mdomo uende ukaulize huko?

Umeshaambiwa eunuchs ni hanithi, hawawezi kupiga miti. Kama unatafuta basha au waseng.e nenda Zanzibar, wamejazana huko

Wewe hata ile Aya hujaisoma , au Itakuwa wewe ndiye eunuch kwenye kanisa lenu
 
We mjahidina kila mada ya wenzako we unatia habari za ushoga tu na kufanya watu waongelee ushoga badala ya mada husika.
Acha kuhalibu mada za watu.
Anzisha mada yako ya ushoga ili watu wachangie.
Kama hujui kutofautisha kati ya hanithi na shoga unaonekana huna kitu kichwani.
Mahanithi hata mtaani kwako wapo hao ndio aliowazungumzia Yesu.
Hao hata jeshini hawatakiwi.

Jinsi unavyouzungumzia ushoga kwenye kila mada za wenzako inaonekana hata wewe ni shoga mzoefu.
Nanukuu: "Anzisha mada yako ya ushoga ili watu wachangie".
Huyu mtu Ameelekezwa sana ila tunashangaa na kukerwa mno anashupalia Ushoga kwenye mada za wenzake. Nadhani huyu hayuko sawa huko Upstairs.
 
Dogo,
Mbona unauliza maswali ya kiquma?
Kwani wewe huna mdomo uende ukaulize huko?

Umeshaambiwa eunuchs ni hanithi, hawawezi kupiga miti. Kama unatafuta basha au waseng.e nenda Zanzibar, wamejazana huko
Mkuu samahani; Hivi huyu Dogo (Ja...na) ni Me au Ke? Mbona amekuwa king'ang'anizi hivyo?. Inawezekana kabisa keshaharibika huyo.
 
1 Corinthians 6:9 hapo Paulo kawaingiza mashoga mbinguni?
Corinthians 6:9
New International Version
9 Or do you not know that wrongdoers will not inherit the kingdom of God? Do not be deceived: Neither the sexually immoral nor idolaters nor adulterers nor men who have sex with men.
*******************************************
Mbona unakuwa kama mropokaji.? Nani kasema kawaingiza mbinguni..!!!
 
Ndio Paulo kawaingiza gays hapo kwenye ufalme wa Mungu?
Gay anaoa mke kama kawaida.
Yesu aliwazungumzia mahanithi ambao hawawezi kuoa mke kwakuwa wamezaliwa mahanithi na wengine wamehasiwa na watu na wengine labda walipata ajali nk.
Kufanya ugay ni dhambi ndio maana paulo kawazungumzia hao ma gay.
Yesu aliwaongelea mahanithi na sio mashoga
Unapenda sana kuuzungumzia ugay hadi unatia mashaka.
 
Mkuu samahani; Hivi huyu Dogo (Ja...na) ni Me au Ke? Mbona amekuwa king'ang'anizi hivyo?. Inawezekana kabisa keshaharibika

Mkuu samahani; Hivi huyu Dogo (Ja...na) ni Me au Ke? Mbona amekuwa king'ang'anizi hivyo?. Inawezekana kabisa keshaharibika huyo.
Huyo ni Me, ila kwa jinsi anavyoongea humu haina mashaka kabisa yeye ni Gay kamili.
Hawezi kuchangia mada bila kuongelea Ushoga.
Ndivyo wanavyo jitangaza.
 
Gay anaoa mke kama kawaida.
Yesu aliwazungumzia mahanithi ambao hawawezi kuoa mke kwakuwa wamezaliwa mahanithi na wengine wamehasiwa na watu na wengine labda walipata ajali nk.
Kufanya ugay ni dhambi ndio maana paulo kawazungumzia hao ma gay.
Yesu aliwaongelea mahanithi na sio mashoga
Unapenda sana kuuzungumzia ugay hadi unatia mashaka.
Ulisoma kitabu kipi ambacho Yesu akitoa maelezo ya hayo maneno yako uliyoyaandika ?
Yaani hanithi sio shoga ?? unajua miaka ya mpaka mwishoni mwa 70s mtu anayefumuliwa alikuwa haitwi shoga. Kiswahili , shoga ni marafiki baina ya wanawake.
Hanithi ndio lugha ikitumika kwa hawa Leo tunaowaita mashoga
 
Huyo ni Me, ila kwa jinsi anavyoongea humu haina mashaka kabisa yeye ni Gay kamili.
Hawezi kuchangia mada bila kuongelea Ushoga.
Ndivyo wanavyo jitangaza.

Na huyo mliyemfanya mungu aliyeongea ushoga kwenye biblia pamoja na Paulo wake watakuwa nani ? Na wao wakijitangaza??
 
Back
Top Bottom