Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Putin yule jamaaa yupo full ni hatariKuna uwezekano mkubwa kwa hii vita kusambaa zaidi katika maeneo ya mashariki ya kati, dalili zinaonyesha ndani ya wiki kadhaa Israel huenda ikaanza kushambulia mpaka mataifa rafiki ya Palestina yanayohisiwa kufadhili kikundi cha Hamas na Hezbulah
Sasa si aende akawasaidie ndugu zake na washirika wake Hamas wanachapika?Marekani ni kelele tu kama.Israel hajawahi ingia vita yoyote peke yake hebu nipeni wapi Israel na US walingia vita peke yao bila msada.
Iran ndio kabisa hamuogopi America