antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Si wangenunua ma chopa ya Urusi hata kama siyo bora, lakini walau yangekuwa mapya?Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Umepatia bro😆😆😆Waarabu na wazaramo wanafanana Kwa kila kitu
USA, huwa wana msemo wao, wakikutaka lazima tu watakupata haijarishi ni lini, ni suala la muda tu!! Japo sina maana kuwa wao ndio wamehusika kwenye hili😂😂😂Ha ha ha! Urusi ni mzalishaji mkubwa ndege na helicopter. Kwanini hawakutumia za Urusi? Hawa jamaa kwa malalamiko kama mke mwenza; uswahili hadi kwenye mambo serious.
Hamna adui nyie ndio maana mpaka vijiti vya kuchokonolea meno mnaletewa, vyoo kwa msaada wa USNajibu kwa niaba yake, tumewekeza kwenye kilimo cha mahindi na maharage,tunapata sembe na dona aafi kwa matumizi ya familia zetu,hatununui kwa adui yetu,atatuuzia yenye sumu, a begger is no chooser.
Wanawachukia wamarekani?Wanawachukia marekani ila wanatumia vitu vya wamarekani
Kwa hiyo USA walikua wanamtaka Rais wa Iran ?USA, huwa wana msemo wao, wakikutaka lazima tu watakupata haijarishi ni lini, ni suala la muda tu!! Japo sina maana kuwa wao ndio wamehusika kwenye hili😂😂😂
Wapi nimesema kuwa walikuwa wanamtaka? Ila cha ajabu iran wameiomba USA, iwasaidie kwenye uchunguzi wa ajari hiyo!!Kwa hiyo USA walikua wanamtaka Rais wa Iran ?
Je kwa kumpata huko,hiyo itabadilisha Nini katika mahusiano mabaya yaliyokuwepo kati ya USA na iran?
Au Rais huyo aliekufa ndio chanzo Cha mgogoro uliokuwepo kati ya USA na Iran?
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Aiseee hatari sanahuwezi kuvimbisha muscles na USA kama hauna technolojia yako mwenyewe, Iran anapaswa kujitafakari kwanza kabla ya kuvimbiana na hawa watu vinginevyo watamsambaratika maana muscles zake ni ndogo Sana na anahitaji miaka mingi sana kujipanga.
USA na UK wanahistoria ndefu sana za mapambano na uzoefu wa kimedani, fitina, propaganda, uvumilivu nk.
Kama waliweza kuisambaratisha Nazi na Germany ya Hitler yenye kila kitu kuanzia watu wenye akili,maarifa, nguvu, teknolojia nk, wakamsambaratisha Japan aliyekuwa Giant wa Pacific na kila kitu akaitengeneza mwenyewe bila kumtegemea mtu kuanzia ndege, aircraft carrier, long range missiles, submarines nk, lakini alikaa.
Iran ni nchi, na kwa namna ambavyo wana mwelekeo walio nao wasiishie tu kwenye Drones na makombora waangalie na kwenye maeneo yote yawahusuyo.Wewe umewekeza kwenye nini? maana Iran kawekeza kwenye Drone
Cc StuxnetHelcopta ni Made in USA aina ya Bell.Made in 1979.. Spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa awawezi pata. Uhenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka Stuxnet like Virus , time imefika wakachomoa Betri
Hapo unatulisha matango pori. Wala hujui historia, isipokuwa unawagwaya sana UK na USA. Aliyemsambaratisha Hitler ni Red Brigade ya USSR (Jeshi Jekundu la Umoja wa Kisoveiti) chini ya Rais wao Stanley.huwezi kuvimbisha muscles na USA kama hauna technolojia yako mwenyewe, Iran anapaswa kujitafakari kwanza kabla ya kuvimbiana na hawa watu vinginevyo watamsambaratika maana muscles zake ni ndogo Sana na anahitaji miaka mingi sana kujipanga.
USA na UK wanahistoria ndefu sana za mapambano na uzoefu wa kimedani, fitina, propaganda, uvumilivu nk.
Kama waliweza kuisambaratisha Nazi na Germany ya Hitler yenye kila kitu kuanzia watu wenye akili,maarifa, nguvu, teknolojia nk, wakamsambaratisha Japan aliyekuwa Giant wa Pacific na kila kitu akaitengeneza mwenyewe bila kumtegemea mtu kuanzia ndege, aircraft carrier, long range missiles, submarines nk, lakini alikaa.
Halafu anatokea mtu anasema USA anawaogopa waasi wa houth... Dunia hii....Ila pia wana ujinga fulani, hizo akili za kutengeneza drones za kurusha toka Iran hadi Israel si wangezitumia kufanya mambo ya maana, ni kama vile Kiduku wa Korea Kaskazini alivyojikita kutengeneza na kulipua mabomu na makombora baharini huku raia wake wengi wanakufa njaa na wamejaa minyoo.
Red army walitokea mashariki to Berlin.Hapo unatulisha matango pori. Wala hujui historia, isipokuwa unawagwaya sana UK na USA. Aliyemsambaratisha Hitler ni Red Brigade ya USSR (Jeshi Jekundu la Umoja wa Kisoveiti) chini ya Rais wao Stanley.
SPEAR???? SI WANGEKUJA HATA KUNUNUA KWA WAMASAIHelcopta ni Made in USA aina ya Bell.Made in 1979.. Spare kwa sababu ya Vikwazo vya USA walikuwa awawezi pata. Uhenda waliuziwa spear za Black market watu wakaweka Stuxnet like Virus , time imefika wakachomoa Betri
Umepaniki kwa issue ndogo sana. Us ana visima vya mafuta ila hachimbi. Unajua why? Usa huanza kutumia vitu vya wengine kwanza akitunza vyake ndo maana ana visima vya mafuta gallons and gallons lakini ananunua kwa waarabu.Nyie muwe mnatumia akili kuongelea point alicho kusudia hio Helicopter wao walinunua US kwa hio spare usizuie sababu unapo zuia spare ama unirudishie pesa yangu, kuliko kuniuzia ndege haina spare.
Walipo nunua hizo Helicopter America aliwambia hawezi kuwauzia spare.
Mbona US ananunua technology kutoka China au Japan kwanini asitengeneze.
Mbona Israel anatumia technology mpa za India kwanini asitengeneze.
Wavaa misalaba akili zenu ziko njia panda kama misalaba yenu 😄
Kwanini US ananua Gas ya Mrusi nawakati anayo haha kaimbeni kanisani zile kwaya zenu afu mjitekenye humo humo kanisani.
Ni Stalin siyo Stanley. Ila mengine yote uko sawaHapo unatulisha matango pori. Wala hujui historia, isipokuwa unawagwaya sana UK na USA. Aliyemsambaratisha Hitler ni Red Brigade ya USSR (Jeshi Jekundu la Umoja wa Kisoveiti) chini ya Rais wao Stanley.