Marekani yalalamikiwa ajali iliyomuua Rais wa Iran!

Marekani yalalamikiwa ajali iliyomuua Rais wa Iran!

Tatizo lako hujielewi na utabaki hujielewi, ungejielewa usinge watukuza wazungu ambao wanakuibia Mali zako afu unaenda kwao kama vile mkimbizi 😄

Miafrika sijui lini mtajielewa.
Miafrika ni mipumbavu inalalamika kuibiwa miaka yote. Ni mzazi mpumbavu ambaye analalamika kuibiwa halafu analala mlango wazi. Anaenda kuwaomba waliomuibia au anawaleta wamfanyie kazi nyumbani kwake. Wewe ni akina Chief Mangungo wa Msovero. Unadhani una akili then unadhihilisha huna.
 
Miafrika ni mipumbavu inalalamika kuibiwa miaka yote. Ni mzazi mpumbavu ambaye analalamika kuibiwa halafu analala mlango wazi. Anaenda kuwaomba waliomuibia au anawaleta wamfanyie kazi nyumbani kwake. Wewe ni akina Chief Mangungo wa Msovero. Unadhani una akili then unadhihilisha huna.
We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono 😄

Utabaki hivyo hivyo na ujinga eti umesoma, kwanza kumbukumbu huna utakuwa vipi una akili wewe.

Umasahau ulicho fundishwa, ni sawa sawa na yule aliye sahau history yake.

We mtukuze mzungu sababu ya ujinga wako, mzungu asili yake ni jambazi ndio mana yuko kila kukicha kutengeneza silaha ili arudi kuwatawala tena, kwa sababu ya ujinga wenu.
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Ni wao ?
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Hahaha hata sisi tunawashinda kumbe, ndege zetu tunatengeneza wenyewe.
Hawa kila kitu wanan nunua, usikute hata mitungi ya plutonium waliyonayo walinunua tu.
 
Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.

Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.

Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Hawa wazee wa barakashea tatizo Elimu
Ushabiki wa kijinga Vichwani weupe sana
 
We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono 😄

Utabaki hivyo hivyo na ujinga eti umesoma, kwanza kumbukumbu huna utakuwa vipi una akili wewe.

Umasahau ulicho fundishwa, ni sawa sawa na yule aliye sahau history yake.

We mtukuze mzungu sababu ya ujinga wako, mzungu asili yake ni jambazi ndio mana yuko kila kukicha kutengeneza silaha ili arudi kuwatawala tena, kwa sababu ya ujinga wenu.

You are a division 5. I remember that time you vilaza wanted to be acknowledged as division 5. Hii nchi imepitia changamoto nyingi sana. 😁
 
We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono 😄

Utabaki hivyo hivyo na ujinga eti umesoma, kwanza kumbukumbu huna utakuwa vipi una akili wewe.

Umasahau ulicho fundishwa, ni sawa sawa na yule aliye sahau history yake.

We mtukuze mzungu sababu ya ujinga wako, mzungu asili yake ni jambazi ndio mana yuko kila kukicha kutengeneza silaha ili arudi kuwatawala tena, kwa sababu ya ujinga wenu.
Na majambazi haswa!
 
unazima transponder unakwenda gizani, huko gizani ndio mashetani yanaishi, RIP Raisi, hata wale macaptain wa U-boat ingekuwa wanaakili za leo Newyork na America zingekuwa kaburini.
 
Mwaka jana Iran aliingiza zaidi ya $450milion kutokana na kuuza drone kwenye nchi mbali mbali, sasa unataka waache kutengeneza hizo pesa utakuja kuwapa ww?
Nchi yako isiyo tengeneza drone na kufanya mambo ya maana inatengeneza hercopiter zinazo julikana kwa jina gani?

Kwann usimshauri Marekani kwanza haache kutumia matrion ya fedha kutengeneza silaha badala yake ahudumie mahomeles yaliyo jazana kwenye miji yake?

Hiyo Iran unayo sema haifanyi mambo ya maana inatengeneza na kuuza za viwandani zenye thamani ya $50 bilion kila mwaka,nchi isiyo wekeza kwenye mambo ya maana ina ubavu huo?
Nimesikitika Sana Raisi wa Irani kuuliwa kihuni huni
 
Waarabu na wazaramo wanafanana Kwa kila kitu
mwarabu akikutawala anatawala mpaka ubongo wako fikiria wasudan kaskazini(wanajiita waarabu)wanawalazimisha wasudan kusini waongee kiarabu kwa lazima.Angalia sehemu walizopita watawaliwa hawana utambulisho wao kama waafrika.Lugha,mavazi,vyakula huvitukuza vya mwarabu!
 
Back
Top Bottom