Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Miafrika ni mipumbavu inalalamika kuibiwa miaka yote. Ni mzazi mpumbavu ambaye analalamika kuibiwa halafu analala mlango wazi. Anaenda kuwaomba waliomuibia au anawaleta wamfanyie kazi nyumbani kwake. Wewe ni akina Chief Mangungo wa Msovero. Unadhani una akili then unadhihilisha huna.Tatizo lako hujielewi na utabaki hujielewi, ungejielewa usinge watukuza wazungu ambao wanakuibia Mali zako afu unaenda kwao kama vile mkimbizi π
Miafrika sijui lini mtajielewa.
We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono πMiafrika ni mipumbavu inalalamika kuibiwa miaka yote. Ni mzazi mpumbavu ambaye analalamika kuibiwa halafu analala mlango wazi. Anaenda kuwaomba waliomuibia au anawaleta wamfanyie kazi nyumbani kwake. Wewe ni akina Chief Mangungo wa Msovero. Unadhani una akili then unadhihilisha huna.
wanafiq wakubwaWanawachukia marekani ila wanatumia vitu vya wamarekani
Ni wao ?Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Hahaha hata sisi tunawashinda kumbe, ndege zetu tunatengeneza wenyewe.Katika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
Hawa wazee wa barakashea tatizo ElimuKatika hali ya kushangaza waziri wa mambo ya nje wa zamani wa Iran Javad Zarif ameilalamikia Marekani kwa ajali ya Helikopta iliyosababisha kifo cha Rais wao Ebrahim Raisi.
Javad anasema ajali hii ni matokeo ya vikwazo vya muda mrefu vya Marekani ambavyo vinawazuia kupata ndege/ helicopter na vipuri vyake na kwamba tukio la ajali hii litasajiliwa kama uhalifu mwingine wa Marekani dhidi ya raia wa Iran.
Kumbe huwa tanadanganywa sana humu tunapoambiwa Iran ni wakali wa teknolojia "tech" ilihali hata vipuri vya ndege na helicopter vimewashinda.
We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono π
Utabaki hivyo hivyo na ujinga eti umesoma, kwanza kumbukumbu huna utakuwa vipi una akili wewe.
Umasahau ulicho fundishwa, ni sawa sawa na yule aliye sahau history yake.
We mtukuze mzungu sababu ya ujinga wako, mzungu asili yake ni jambazi ndio mana yuko kila kukicha kutengeneza silaha ili arudi kuwatawala tena, kwa sababu ya ujinga wenu.
Wanaweza.Hao wazayuni wenyewe wanaweza kuzitengeneza hizo helicopter
Huhuhu, kawapa creditHao jamaa hakuna kitu wanajua zaid ya kuchinjana tu
Hahahahaha, wabongo rahisi kuwadanganya ukiingiza na kimombo!Mkuu uko deep sana. Ulipomtaja Stuxnet nimekuelewa vizuri
Hahahahahahahaha eti Dunia hiiiHalafu anatokea mtu anasema USA anawaogopa waasi wa houth... Dunia hii....
Na majambazi haswa!We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono π
Utabaki hivyo hivyo na ujinga eti umesoma, kwanza kumbukumbu huna utakuwa vipi una akili wewe.
Umasahau ulicho fundishwa, ni sawa sawa na yule aliye sahau history yake.
We mtukuze mzungu sababu ya ujinga wako, mzungu asili yake ni jambazi ndio mana yuko kila kukicha kutengeneza silaha ili arudi kuwatawala tena, kwa sababu ya ujinga wenu.
Acha utani !!!Waarabu na wazaramo wanafanana Kwa kila kitu
Wanafiki sana nyie. Hamuitaki marekani ila helicopter yake mnatumia. Lazima mdedi.
mbona yeye anatuchukia afu anapenda pesa ya warabu [emoji1]
Nimesikitika Sana Raisi wa Irani kuuliwa kihuni huniMwaka jana Iran aliingiza zaidi ya $450milion kutokana na kuuza drone kwenye nchi mbali mbali, sasa unataka waache kutengeneza hizo pesa utakuja kuwapa ww?
Nchi yako isiyo tengeneza drone na kufanya mambo ya maana inatengeneza hercopiter zinazo julikana kwa jina gani?
Kwann usimshauri Marekani kwanza haache kutumia matrion ya fedha kutengeneza silaha badala yake ahudumie mahomeles yaliyo jazana kwenye miji yake?
Hiyo Iran unayo sema haifanyi mambo ya maana inatengeneza na kuuza za viwandani zenye thamani ya $50 bilion kila mwaka,nchi isiyo wekeza kwenye mambo ya maana ina ubavu huo?
mwarabu akikutawala anatawala mpaka ubongo wako fikiria wasudan kaskazini(wanajiita waarabu)wanawalazimisha wasudan kusini waongee kiarabu kwa lazima.Angalia sehemu walizopita watawaliwa hawana utambulisho wao kama waafrika.Lugha,mavazi,vyakula huvitukuza vya mwarabu!Waarabu na wazaramo wanafanana Kwa kila kitu
Kwani wewe hukusoma hata Form IV ukapata D mbili?Hahahahaha, wabongo rahisi kuwadanganya ukiingiza na kimombo!