Marekani yalalamikiwa ajali iliyomuua Rais wa Iran!

Tatizo lako hujielewi na utabaki hujielewi, ungejielewa usinge watukuza wazungu ambao wanakuibia Mali zako afu unaenda kwao kama vile mkimbizi πŸ˜„

Miafrika sijui lini mtajielewa.
Miafrika ni mipumbavu inalalamika kuibiwa miaka yote. Ni mzazi mpumbavu ambaye analalamika kuibiwa halafu analala mlango wazi. Anaenda kuwaomba waliomuibia au anawaleta wamfanyie kazi nyumbani kwake. Wewe ni akina Chief Mangungo wa Msovero. Unadhani una akili then unadhihilisha huna.
 
We kweli mjinga hivi kuna mtu anasahau history yake yani jitu jizi limekuibia afu linakupa mkate unalilamba mikono πŸ˜„

Utabaki hivyo hivyo na ujinga eti umesoma, kwanza kumbukumbu huna utakuwa vipi una akili wewe.

Umasahau ulicho fundishwa, ni sawa sawa na yule aliye sahau history yake.

We mtukuze mzungu sababu ya ujinga wako, mzungu asili yake ni jambazi ndio mana yuko kila kukicha kutengeneza silaha ili arudi kuwatawala tena, kwa sababu ya ujinga wenu.
 
Ni wao ?
 
Hahaha hata sisi tunawashinda kumbe, ndege zetu tunatengeneza wenyewe.
Hawa kila kitu wanan nunua, usikute hata mitungi ya plutonium waliyonayo walinunua tu.
 
Hawa wazee wa barakashea tatizo Elimu
Ushabiki wa kijinga Vichwani weupe sana
 

You are a division 5. I remember that time you vilaza wanted to be acknowledged as division 5. Hii nchi imepitia changamoto nyingi sana. 😁
 
Na majambazi haswa!
 
unazima transponder unakwenda gizani, huko gizani ndio mashetani yanaishi, RIP Raisi, hata wale macaptain wa U-boat ingekuwa wanaakili za leo Newyork na America zingekuwa kaburini.
 
Nimesikitika Sana Raisi wa Irani kuuliwa kihuni huni
 
Waarabu na wazaramo wanafanana Kwa kila kitu
mwarabu akikutawala anatawala mpaka ubongo wako fikiria wasudan kaskazini(wanajiita waarabu)wanawalazimisha wasudan kusini waongee kiarabu kwa lazima.Angalia sehemu walizopita watawaliwa hawana utambulisho wao kama waafrika.Lugha,mavazi,vyakula huvitukuza vya mwarabu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…