Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Marekani imemfukuza balozi wa Afrika Kusini nchini Marekani na kumwelezea kuwa ni mtu asiyekubalika Marekani.
Chief Secretary wa Marekani, Marco Rubio amesema kuwa Balozi Ebrahim Rasool wa Afrika Kusini, ni mtu anayeendekeza siasa za ubaguzi wa rangi, na anayemchukia Rais Trump, na kwamba balozi huyo hawezi kukaribishwa Marekani. Rubio ameyaandika hayo kwenye mtandao wa X, akisema kuwa hawana cha kujadiliana na mtu kama huyo, na sada balozi huyo anachukuliwa kuwa ni persona non grata.
Habari kamili:
ALJAZEERA
US Secretary of State Marco Rubio has called envoy Ebrahim Rasool a “race-baiting politician” who hates the US and President Donald Trump.
“South Africa’s Ambassador to the United States is no longer welcome in our great country,” Rubio said in a post on social media platform X.
“We have nothing to discuss with him and so he is considered PERSONA NON GRATA,” Rubio said.
Chief Secretary wa Marekani, Marco Rubio amesema kuwa Balozi Ebrahim Rasool wa Afrika Kusini, ni mtu anayeendekeza siasa za ubaguzi wa rangi, na anayemchukia Rais Trump, na kwamba balozi huyo hawezi kukaribishwa Marekani. Rubio ameyaandika hayo kwenye mtandao wa X, akisema kuwa hawana cha kujadiliana na mtu kama huyo, na sada balozi huyo anachukuliwa kuwa ni persona non grata.
Habari kamili:
ALJAZEERA
US declares South Africa’s ambassador persona non grata
US Secretary of State Marco Rubio has called envoy Ebrahim Rasool a “race-baiting politician” who hates the US and President Donald Trump.
“South Africa’s Ambassador to the United States is no longer welcome in our great country,” Rubio said in a post on social media platform X.
“We have nothing to discuss with him and so he is considered PERSONA NON GRATA,” Rubio said.