STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Labda utuambie Iran anafikishaje mafuta yake sokoni.
Anaji besiege mwenyewe njaa ikimnukia msiseme kuwa hicho (njaa) sio kichapo cha USA.
soon Iran itapambana na natural calamity it could be a strong earthquake or Locusts swam,
Marekani itawapa msaada wa chakula na uokoaji upon request.
Amekusanywa vitongetonge vya tunyama kama vya fungo aliyekanyagwa na lorry kipumbuiko.
D. D. D. D hapo nimeelezea kama kuchambua maoni yangu, pia hawatosema kama wanaharisha kwa sababu wanaogopa, sjui hii JF ww ni mgeni, fuatilia JF International news utaniona comments zangu nyingi na baadhi ya members ili uzoee mkuu, Tim us wa kibongo wananielewa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna taarifa zisizo rasmi kua kuna Mashehe wa Kitanzania wanaenda kushiriki Msiba wa Solemani pale Iran
Nafkiri ww ni member mpya humu mkuu, so unakaza misuli kwa kunipinga [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
IRAN Kaguswa Na Marekani Wapi [emoji23][emoji23][emoji23]US Hawez Kumgusa IRAN Ila Anaweza Kuwagusa Wairan...
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran has promised to retaliate for the killing of a key military commander in a US airstrike.
One place is particularly vulnerable: the Strait of Hormuz, off Iran's southern coast: Iran could disrupt shipping through the Strait of Hormuz. Here's why that matters
HAKUNA MAMELI YALIOPITA STRAIT OF HORMUZ MPAKA SASA, INAONEKANA MELI ZINAHOFIA, NA F14 ZA IRAN ZIKO TAARI MIPAKANI, MUFUTA YAMEPANDA 4% MPAKA SASA
Sent using Jamii Forums mobile app
Brother mbona processor yako iko Low kuelewa small issues 😊😊😊Wamesema was "seen as"??? Umeielewa hiyo mzee? Ngoja nikusaidie kwa kukupa Mfano: Yaani ni kama unavomzungumzia Makonda kwa Tanzania, lkn haina maana kuwa Makonda ana cheo kuliko CDF.
Kifupi ni kuwa, Gen. Qasim kamandi yake ilikuwa ni nyeti mno kiasi ilimpa access ya moja kwa moja kuripoti kwa Khamenei sometimes bila kupita kwa Mkuu wa Jeshi. Kamandi yake ilikuwa ni nyeti kwasababu inahusisha ops zote za Iran nje ya mipaka kwaajili ya usalama wa Iran na kupngeza influence ya Iran pale middle east.
Nadhani umeelewa angalau kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamehamia kwenye biological warfare na nature calamities bila wengine kutambua. Inapigwa Snow magari yote yanafukiwa na snow baridi ya hatari Kama waliyokumbana nayo wajerumani kule Russia kwenye WW2 askari wanashindwa hata kushika dudu zao ili wakojoe ni full kutetemeka miezi minne hamjaomba misada tu hapo!
Kama kungekuwa na mafuta ya magendo bei ya mfuta ingeporoka, kanuni hii inanishawishi kuwa si china wa india anayenunua mafuta ya magendo.Iran ana njia nyingi sana ambazo anatumia kuuza mafuta yake, Anauza kwa Turkey, China, India na nchi nyingi sana, baadhi ya nchi za Ulaya zinanunua mafuta ya Iran kwa masharti, so Tramp hakufanikiwa ile 0 ya kuuza mafuta alioitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sifa kuu ya Soleiman ni General asiyekaa ofisini japo KU na hadhi kubwa yeye hobby yake kubwa ni kwenye war line.yeye ofisi yake ni kule kwenye uwanja wa Vita na ni mtu aliyekoswa koswa mara nyingi Sana kote Syria na Iraq na kwake ni fahari kuanguka ktk harakati za Vita na sio ofisini hao ndio walioifanya Iran ikawa Iranhao wairan ni wajinga sana, hicho kidude kilichomshambulia General kilikuwa angani pamoja na hiyo ndege sasa walishindwaje kumanage situation ya kakitu kuwa angani jirani na ndege iliyobeba mtu sensitive namna hiyo?
To mourn a soldier who used to cause families to waill in grief is absurd. They are drinking using the same cup.Ushauri wangu kwa TRUMP na Khamenei. they have provoked each other beyond the normal limits. They need to cool off.
Trump should be asked to leave ma la lago immediately, because he seems to like instructing strikes while golfing there.
Khamenei needs to humble himself and allow enough time for Soleiman's family to pass through this difficulty period. At this point Khamei needs to avoid talking to Putin, the Americans are no longer thinking properly.
Acha ujinga ndugu vita sio kitu rahisi kama unavyo fikiria.Ndio reality hiyo ungeniambia China au Russia ungekuwa na points lkn Iran. Mmarekani ni hatari zaidi ya uijuavyo. Wanaweza wakakupiga na earthquake ya 8.5 magnitude kamji kako kote kakalala chini ukaanza kuhangaika na raia wako ukamsahau huyo generali. Unakumbuka Iran mlikuwa mnalialia Israel anazuia mvua isije kwenu? Usidhani naipenda sana US lkn naongelea uhalisia
Kama kungekuwa na mafuta ya magendo bei ya mfuta ingeporoka, kanuni hii inanishawishi kuwa si china wa india anayenunua mafuta ya magendo.
Kupanda kwa bei ya mafuta kwa 50% nchini Iran kulisababisha maandamano Teheran, a vivid indicator that the regime is struggling.
Regime change outcry is beeping louder.
Kama hawauzi mafuta wanaiendeshaje nchi yao? au inaendeshwa kwa kodi za tra ya jiwe?Labda utuambie Iran anafikishaje mafuta yake sokoni.
Anaji besiege mwenyewe njaa ikimnukia msiseme kuwa hicho (njaa) sio kichapo cha USA.
Sawa Baba Wewe mwerevuAcha ujinga ndugu vita sio kitu rahisi kama unavyo fikiria.
Hata jeshi dhaifu kama la kwetu haliwezi kupingwa kwa siku moja.
Jamaa unapenda vita kwa ajili ya kumaliza ubishi? You are not serious bro. Vita ni kitu kibaya sana, kisikie kwa jirani yako.US alishasema "All Options Are On The Table" na too Bad War Monger Himself Michael Bolton hayupo mbona mambo yangenoga............Ila Binafsi natamani Saaaaana Saaaana IRAN aanzishe Vita na US tumalize Ubishi.
Ni suala la kusubiri na kuona.Mafuta yatachukuliwa na hakuna mtu wa kuchomoa betri.