STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,633
- 16,586
Iran ana njia nyingi sana ambazo anatumia kuuza mafuta yake, Anauza kwa Turkey, China, India na nchi nyingi sana, baadhi ya nchi za Ulaya zinanunua mafuta ya Iran kwa masharti, so Tramp hakufanikiwa ile 0% ya kutokuuza mafuta alioitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda utuambie Iran anafikishaje mafuta yake sokoni.
Anaji besiege mwenyewe njaa ikimnukia msiseme kuwa hicho (njaa) sio kichapo cha USA.
Sent using Jamii Forums mobile app