US aliingia pakistan(a nuclear state),akamchomoa Osama karibu na jeshi la Pakistan na hawakushtuka mpaka marekani alipowataarifu,Marekani akiamua kumchukua ayatollah muda wowote anaotaka anaweza.
Israel kwa kutumia ndege ya kimarekani F-35 aliingia Iran last year akapiga picha maeneo sensitive ya Iran akaondoka na wala radar hazikumuona!US ni next level.
Sa US ana F22 raptor ana F35 ataogopa Tomcat f14??
Israel anazitumia maeneo yasiyo na hatari huko Gaza na baadhi ya sehem za Syria tena za Israel zipo customized.
Israel saivi ni mwendo wa modified F15 striking eagle , F16 Falcon and 35
Sent using Jamii Forums mobile app
Saivi wanalipwepa hili tukio wanasema "OLE WAKE AGUSE ARDHI YA IRANI"Yenyewe huwa yanapigaga mayowe "death to america" huku yakichoma vitambaa. Leo kamanda mkiu wa vikosi vya ulinzi wa mapinduzi komandoo na generali kauliwa kama kuku. Yaani wamemgeuza vipande vya nyama fasta; wamarekani hawanaga mipasho wala maandamano ya kuchoma vitambaa wao ni actions tu tena actions za maana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati F35 ya Israel ilishaingia Iran na kupiga picha vituo vya Irani na kusababisha kamanda kufukuzwa kazi nakupa linki.Sasa ww kwa mfano ata kama wana F35 itaenda kushambulia vipi anga za Iran? Wakati new model drone ambayo eti wanasema haionekani ilichakazwa ata haijaingia kwenye anga la Iran?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ni justify kipi Sasa?Uongo mtupu,mliambiwa mlete credible source ku-support hii kitu mkala kona.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati F35 ya Israel ilishaingia Iran na kupiga picha vituo vya Irani na kusababisha kamanda kufukuzwa kazi nakupa linki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Israeli Air Force's F-35 Stealth Fighter Went Into Iran's Airspace:
July 22, 2019 Topic: Security Blog Brand: The Buzz Tags: Iran Military Technology WorldF-35 Stealth And someone was fired for it. By Dario Leone As we have already explained, in May 2018 the IAF revealed that it has used its stealth fighters in combat operations, making Israel the first...www.jamiiforums.com
Mwite asome hio link hapo juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka ni justify kipi Sasa?
Huwa nafurahi sana Iran ikipigwa na washirika wake,kwasababu ni mtu muovu mno nyuma ya pazia ya wema
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaa mkuu kwa hio unataka kusema hao Izrail Waliingia kwenye anga la Iran na kupiga picha bila ya rada za waajemi kuziona? Yaani Waliingia alaf wasishambulie maadui zao? Acheni utani banaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
This Iranian Commander Kept Secret That Israeli F-35 Stealth Fighters Had Violated Iran AirspaceAaaaaa mkuu kwa hio unataka kusema hao Izrail Waliingia kwenye anga la Iran na kupiga picha bila ya rada za waajemi kuziona? Yaani Waliingia alaf wasishambulie maadui zao? Acheni utani banaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo ni kuspy sio kushambulia we jamaa mbona una-urge kama std7???Aaaaaa mkuu kwa hio unataka kusema hao Izrail Waliingia kwenye anga la Iran na kupiga picha bila ya rada za waajemi kuziona? Yaani Waliingia alaf wasishambulie maadui zao? Acheni utani banaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaanza kukimbia mada mezani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeah kwa sababu anapinga ndoa za jinsia moja, Makafir mna kazi kweli aiseee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati F35 ya Israel ilishaingia Iran na kupiga picha vituo vya Irani na kusababisha kamanda kufukuzwa kazi nakupa linki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Israeli Air Force's F-35 Stealth Fighter Went Into Iran's Airspace:
July 22, 2019 Topic: Security Blog Brand: The Buzz Tags: Iran Military Technology WorldF-35 Stealth And someone was fired for it. By Dario Leone As we have already explained, in May 2018 the IAF revealed that it has used its stealth fighters in combat operations, making Israel the first...www.jamiiforums.com
[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312] soma hiyo iliripotiwa na vyombo vya Kiarabu vya Lebanon
Unaanza kukimbia mada mezani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukitafakari hiyo tweet vizuri utaelewa Marekani wako kimaslahi Zaidi pia uelewe No one has achieved greatness by playing it safeTramp anaanza kuharisha, muoga sana huyu babu [emoji23][emoji23]View attachment 1311179
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mkuu ukibishia hadi Al jazeera sa we sikuweziKuripotiwa kwa vyombo vya Kiarabu vya Lebanon haimaanishi kuwa ni kweli, hii dunia sasa kuna propaganda nyingi sana mkuu, huko Lebanon pia kuna vyama vinawachukia Iran as well as meddle east kwa ujumla
Sent using Jamii Forums mobile app
Lengo ni kuspy sio kushambulia we jamaa mbona una-urge kama std7???
Sent using Jamii Forums mobile app
EINSTEIN112,
sasa tunasubiri Iran "ijitutumue" kuanzisha vita na USA! Iran umepata mwanya wa kumpiga USA, itumie nafasi hii kumpiga maana ulikuwa unatamani such an opportunity to offer itself!
Alafu wameenda kupiga picha mifumo ya ulinzi wa anga ya kirusi,mitambo imesinzia ndindindi utadhan ililetwa kulala😆😆😆Lengo ni kuspy sio kushambulia we jamaa mbona una-urge kama std7???
Sent using Jamii Forums mobile app