dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
kwani ukikubali THAAD imeletwa kuisaidia IronDome iliyofeli kuzuia makombora ya hezbollah na Iran utapungukiwa nini...IronDome imefeli pakubwa tuVita ni ushirika mkuu wala sio sifa kufanya peke ako, mbona irani kapewa S-400 na baba yake Russia?