Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Ndio apo yani kaka mtu.mwenyewe kashapelekewa moto na akurudisha majibu adi na leo .japo nae Tramp alituaidi majibu makali. Kaka akujibu na alifanywa ivi ivi kama Israel kwenye kambi zajesh iyo si vita.kabisa. lkn babake kasepa. Ndio mtoto asisepe!!! Karogwa nanani.
🤣🤣🤣 Marekani alipiga kimya baada ya Iran kujibu kisasi ktk kambi zao majeshi ya USA kule IRaq na mpaka Leo USA hawakujibu mapigo , sembuse Hao Israel kama Baba yao wanae mlamba makalio kashindwa wao ni Nani haswaa , wajichanganye waone kilicho mtoa kanga manyoya , wanaujua mziki wa Iran ndio maana mpaka Leo wanaogopa kujibu mapigo wamebaki na porojo tu
 
🤣🤣🤣🤣 Mijitu inayo wa- underrate Iran hawajaijua vizuri Iran , Iran hawanaga uoga wame vurugwa mnooo imagine Iran waliwapelekea Moto USA ktk kambi zao za kijeshi kule Iraq baada ya general wao Qassem kuuliwa na drone za USA . So kama hawa muogopi USA Hao Israel ndio Nani !?
Wale jamaa ni hatari sana na wengi wanajichanganya wanadhani ni Waarabu pure kumbe ni % kidogo tu kavu sana wale.
 
Iran angeamua kuyaelekeza kwenye makazi ya raia angeua kama kuku wazayuni lakin yeye Ali focus na military installation kama air base za north Israel Na huo ndiyo weledi sio kupiga piga hovyo tu kwenye makazi ya raia
Sasa kama magaidi yanajificha kwenye makazi ya watu ili kuwafanya ngao- ungekuwa wewe ungefanyaje? Magaidi yanajificha kwenye makazi ya watu, huku yakiendelea kushambulia. Msiwe mnatoa Comments kwa kuangalia upande mmoja wa shilingi.
 
[

Nduguzangu.izi ni propaganda vita l aminini kuwa air defence system muimu zote zilikuwepo apo Israel system zote zipo.apo kuilinda Israel, lkn zimedukuliwa wkt.viuma.vinatua. so izi ni propaganda kuzitoa izo THAAD system kwaajili y soko ndio mana wenyekujua tunaamini Israel kwasasa awezi mchokoza Iran sababu kuuu israel kagundua.Iran.anaweza mpiga popote saaa yoyote nayeye atoweza kuzuiya chochote sababu hii ndio.imeinyang,anya Israel aki yake ya kulipiza kiakili uwez lipiza ngumu na unajua unaweza.pigwa tena n utoweza zuiya shida kubws.apa.ni.kuzuiya baada y apo Israel watapiga mikelele tu propaganda kuwa tutashambulia lkn sio sasa sasaivi ameufyata kimya.kimatendo. mdomo tu ndio utasema.kile.kile.lkn akuna matendo spika w Iran katua Lebanon na kaenda kusini kwenye shida na akatangaza wazi kuwaunga mkono hezbollah na kaondoka salama wazili w mambo y nje pia tuliona kafika. Muimu Israel awez shambulia wanasiasa w Iran yoyote mana anawajua.waIran.awanadogo.wanajibiwa fasta na.cheo.kama.kile wamekizulu,
Ndiomana waIran awaogopi kwenda Lebanon wanajua. awatoguswa,




mkuu unadhani kudukua mtambo wakujirinda wa NCHI ni very easy
Mm ni pro IRAN kindakindaki
Ila Si IRAN wala RUSSIA mwenye uwezo wa kudukua mtambo wa kujirinda wa ISRAEL
even ISRAEL yenyewe haiwezi kudukua mtambo wowote wa kujirinda wa IRAN au URUSI
kilichotokea HEZBOLLAH vile vifaa kulipuka ni kwa mba kulitokea usaliti wa ndani kabla havijafika HEZBOLLAH vikafanyiwa MOD kuwa vilipuzi
Sio kwamba walidukua wakiwa navyo tauari HEZBOLLAH

alichofanya IRAN ni kujua madhaifu ya IRONE DOME kaika utendaji wake ndo ajatumia kuipiga na hii kutokana IRONE DOME kuwa inatumika sana mara kwa mara
Na km unavyojua wairan kwa HESABU wako vizuri so wakatumia mahesabu tu kuufanya mfumo kuwa OVERLOADING baada kuufanyia utafiti kwa muda mrefu
 
Safi jambo zuri
Kobazi lazima apanic
Mbona mmoja amevaa nyeus mwingine nyeupe wanamaana gani?
mkichokoza nyuki manundu yapo pale pale...IronDome imekuwaje tena???
halafu kombora za Iran si mnasemaga haziwahi leta madhara ndani ya israeli sasa mahangaiko yote haya ya nini...KWA MSAADA HUU WA U.S.A MTUAMBIE TENA ZILE KOMBORA OCTOBA 1 ZILILETA MADHARA AU LA
 
Zilifeli and then ICBM za Iran hazikuua hata mbu?
sasa hii THAAD ya nini!!!

yaani unawaona wenzio wapuuuzi kusaidiana kuziba ziba matundu wapate ahueni pindi kidume Iran atakapoamua kupenyeza dyudyu ndani ya Israeli???wazaramo wanasema kalagabaho
 
sasa hii THAAD ya nini!!!

yaani unawaona wenzio wapuuuzi kusaidiana kuziba ziba matundu wapate ahueni pindi kidume Iran atakapoamua kupenyeza dyudyu ndani ya Israeli???wazaramo wanasema kalagabaho
Vita ni ushirika mkuu wala sio sifa kufanya peke ako, mbona irani kapewa S-400 na baba yake Russia?
 
Lakini si yalipenya.?
Hiyo kutokuleta madhara ni hoja nyingine.
Ama unataka kusema
hayakuleta madhara kwa sababu yalipunguzwa nguvu ma Arrow-3?.
 
Hizo manati Iran anazirusha 180+ zinaishia kuua mpalestina na hizo ni teknolojia ya ya mchina na mrusi.
Mi naona duniani mchina hajawai kuwa serious kabisa. Kamsaidia Iran tech ya supersonic balistic missle Fake🤣.
 
Kinachomsaidia Urusi ni wingi wa silaha na idadi ya wanajeshi. Baada ya zile S500 advanced radar systems zake zikipigwa tena na drones, basi hakuna guarantee kwa hizi air defense systems.
Sasa hapo sijui umeandika Nini.
Ukisikia uwezo wa nchi Fulani kijeshi ndio huo Sasa.
Kua na jeshi kubwa,silaha nyingi na n.k
Sio S500 TU hata Patriot nazo zimezimepigwa sana.
ADS nyingi sana hazikudizainiwa ku counter drone.
Lakini kwa nchi kama Urusi hilo litapatiwa ufumbuzi.
 
Sasa mkuu bila kuzidukua.utazipigaje air defence system, kama azikudukuliwa zingeweza kujilinda.na kulinda kambi aitaji akili kubwa kuelezea.
 
▶︎•|၊|။||||။၊|။||။||||။||။|||။|။ 03:53
 
Marekani itatuma mfumo wa hali ya juu wa kukabiliana na makombora na wanajeshi wa Marekani kuuendesha - kwa Israel "ili kusaidia kuimarisha ulinzi wa anga wa Israel kufuatia mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel mnamo Aprili 13 na tena Oktoba 1," Pentagon.
Kutumwa kwa wanajeshi 100 wa Marekani kwa Israel kunadhihirisha mvutano mkubwa kati ya Israel na Iran wakati eneo hilo likijiandaa kwa shambulio linalowezekana la Israel dhidi ya Iran ambalo linaweza kuendelea kuzidisha uhasama.

Tunapoelekea tunaweza kuona full scale war kabisa
#iran #israeli
 
Marekani itatuma mfumo wa hali ya juu wa kukabiliana na makombora na wanajeshi wa Marekani kuuendesha - kwa Israel "ili kusaidia kuimarisha ulinzi wa anga wa Israel kufuatia mashambulizi ya Iran dhidi ya Israel mnamo Aprili 13 na tena Oktoba 1," Pentagon.
Kutumwa kwa wanajeshi 100 wa Marekani kwa Israel kunadhihirisha mvutano mkubwa kati ya Israel na Iran wakati eneo hilo likijiandaa kwa shambulio linalowezekana la Israel dhidi ya Iran ambalo linaweza kuendelea kuzidisha uhasama.

Tunapoelekea tunaweza kuona full scale war kabisa
#iran #israeli
Dalili zote zinaonyesha israel maji ya shingo, safari hii wqmekutana na wanaume
 
Sometimes nikiwa nasoma michango yetu kuhusu ugomvi wa mashariki ya kati, huaga nahisi hua tunachangia tukiwa tayari tuna either upande or maandishi yetu yanakua na milengo ya kiimani. Naombeni mfano mmoja tu wa taifa lolote kubwa lililowahi kwenda kupigana na taifa lingine likiwa pekee yake, just one. Fatilia vita vyote ambavyo USA kapigana either direct or indirect utagundua kuna mataifa zaidi ya 5 yanakua nyuma yake. Mnaikumbuka ile Gulfwar ya mwaka 1990 wakati Sadaam Hussein analazimishwa kuondoka Kuwait? Marekani alilwenda na mataifa ya Ulaya 29, Saudia ikiwa ime provide viwanja vya ndege na mafuta same as Egypt, well what about vita iliomuondoa Sadam Hussein hadi kupelekea kifo chake? All European community were involved except France only, same as Libya etc. Kinacho endelea Russia na Ukraine je? NATO wote wapo against Russia but same Russia anapewa support kubwa na Iran, North Korea na kidogo from China, Iran nae kwenye vita hi hi yote na Russia plus Yemen, cha ajabu nini kwa Israeli?
Mkuu vita unatumia kila kitu na rafiki yoyote ili ushinde, hakuna kumpangia adui atumie silaha gani au ashirikiane na nani
 
Nakwambia Thad haiwezi kuzuia kifurushi cha buku never on earth, itaanza kupambana na drone za bei rahisi buku 2 zinamchosha battery alafu kina kuja kifurushi sasa cha ballistic buku sidhani kama atatoboa athari itakua kubwa mno
Drones buku kumi yule kamanda alisema na missiles buku
 
Back
Top Bottom