Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Wadau hamjamboni nyote?

Mambo bado mazito huku maandalizi mazito yanazidi kufanywa. Jeshi la Marekani limeamua kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu huko Israel

Yadaiwa ni sehemu tu ya maandalizi ya Israel kuishambulia Iran. Mitambo hiyo aina ya Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) itasimamiwa na kuendesha na wanajeshi wa Marekani wenyewe.

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
US troops to reportedly operate THAAD anti-ballistic missile system in Israel

The US will deploy the THAAD anti-ballistic missile system in Israel, according to reports by Channel 12 news and Army Radio that describe the move as part of preparations for the expected Israeli response to Iran’s recent missile attack.

Channel 12 news says the advanced missile defense system will be operated by American troops on Israeli soil.
Wewe na hao vibaraka mtatawanywa fuvu na hao waarabu shauri yenu.
 
Kwenye ile vita USSR na USA wote walikuwa wanamuunga mkono Saddam dhidi ya Iran.

Wakomunisti wa USSR walikuwa wanawachukia MaAyatollah waIran kwa sababu MaAyatollah walikuwa wanaupiga vita ukomunisti sana.
Hawa maayatola wa siku hizi wanatumia msahafu tofauti wa wale wa kipindi hicho au, mbona hawaupigi vita ukomunisti?
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mambo bado mazito huku maandalizi mazito yanazidi kufanywa. Jeshi la Marekani limeamua kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu huko Israel

Yadaiwa ni sehemu tu ya maandalizi ya Israel kuishambulia Iran. Mitambo hiyo aina ya Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) itasimamiwa na kuendesha na wanajeshi wa Marekani wenyewe.

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
US troops to reportedly operate THAAD anti-ballistic missile system in Israel

The US will deploy the THAAD anti-ballistic missile system in Israel, according to reports by Channel 12 news and Army Radio that describe the move as part of preparations for the expected Israeli response to Iran’s recent missile attack.

Channel 12 news says the advanced missile defense system will be operated by American troops on Israeli soil.
Mungu ameshindwa mwenyewe kuilinda Israel yake hadi ategemee binadamu wamarekani wailinde Israel kwa niaba yake, sasa huyo ni Mungu ama kibwengo? Hayo makombora si angekua anayadaka tu yeye mwenyewe, ameshindwa hadi wamarekani wakaweke hizo anti missiles kuilinda Israel?
 
Kwa sababu za kiusalama najeshi hutoa
Habari zisizo sahihi
Habari zilizopitwa na wakati
Habari zisizoendana na uhalisia
Hii habari ya jews wa malagarasi na hii chini kuwa bado hawajaamua Biden administration ni Wayahudi wa Israel
Screenshot_20241013_090341_Chrome~2.png
 
Iran kavu sana wao wamelipua hiyo radar yenyewe mpaka Israel kachanganyikiwa kaona hawa watu ni wa kujiandaa sana sio kuwanyatia kama Hamas tutaisha.
🤣🤣🤣🤣 Mijitu inayo wa- underrate Iran hawajaijua vizuri Iran , Iran hawanaga uoga wame vurugwa mnooo imagine Iran waliwapelekea Moto USA ktk kambi zao za kijeshi kule Iraq baada ya general wao Qassem kuuliwa na drone za USA . So kama hawa muogopi USA Hao Israel ndio Nani !?
 
Israel peleka moto kweli kweli mpk waishe tu
All the best
 
Walisema Israel ni self sufficient na haitegemei msaada wowote walidai hata 6 day war kwamba nchi moja ya Israel ilipiga mataifa 6 ya kiarabu!! So hili uliloandika watapinga
Sidhani kama kuna nchi ya namna hiyo duniani. Sijafatilia sana hiyo vita ya the 6 days war, najua vipande vipande tu, najua jinsi mke wa mkuu wa majeshi wa Misri jinsi alivyo likisha information kwa IDF na Mossaid ya wakati huo BUT again kwa umri wao wakati ule bila Shaka Kuna baadhi ya silaha walipewa na mataifa yaliowasaidia kurudi kwao. Same as Iran, ikumbukwe serikali ya Kiislam imeingia madarakani mwaka 1978/79 by anymeans isingeweza kupigana na Iraq yenye support ya mataifa makubwa pekee yake while ilikua bado inajitafuta, Iran imeanza kujipata miaka ya katikati ya 90, hasa walipoaanza kujikita kwenye nuclear, wataalamu wengi wa nuclear wa Iran walitoka kwa Soviet iliovunjika, Iran and Russia they were friends and they are till todate
Walisema Israel ni self sufficient na haitegemei msaada wowote walidai hata 6 day war kwamba nchi moja ya Israel ilipiga mataifa 6 ya kiarabu!! So hili uliloandika watapinga
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mambo bado mazito huku maandalizi mazito yanazidi kufanywa. Jeshi la Marekani limeamua kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu huko Israel

Yadaiwa ni sehemu tu ya maandalizi ya Israel kuishambulia Iran. Mitambo hiyo aina ya Terminal High Altitude Area Defense (THAAD) itasimamiwa na kuendesha na wanajeshi wa Marekani wenyewe.

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
US troops to reportedly operate THAAD anti-ballistic missile system in Israel

The US will deploy the THAAD anti-ballistic missile system in Israel, according to reports by Channel 12 news and Army Radio that describe the move as part of preparations for the expected Israeli response to Iran’s recent missile attack.

Channel 12 news says the advanced missile defense system will be operated by American troops on Israeli soil.
Tuliambiwa na kuaminishwa kwamba Iron Dome ndio mfumo bora duniani kwa ulinzi wa anga, sasa mnaenda kuhangaika na THAAD, watu wanakuangalieni tu, Iran alijipigia Israel kama anavyotaka, wasijaribu tena mayahudi
 
Miafrika ni kama imelaaniwa aisee!! Yani jitu Zima pengine Lina Familia linakuja hapa kuandika Mungu ibariki Israel hali ya kuwa nchi yake ipo ktk kiza kinene cha mauaji na wasiojulikana wametamalaki.Israel wamekusaidia nini??
Ndo walokole wa nchi hii ni kinyaa kabisa mtu akishaaaoma biblia mistsri miwili anakuja na bendera ya isreali na eti mungu ibarik isreal
 
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini kama israel atakubali kupigana vita kamili na iran(an all out war). Iran ameprove kuwa anaweza kuishambulia israel from tehran this means iran ni powerful na israel analijua hilo. Je raia wa israel watakuwa tayari kupoteza uhuru wao?Amani yao?Utulivu wao? kuishi kwenye bunkers? Bila umeme?Intanenti? Jokofu maridhawa la kupooza viburudisho mbalimbali? Wafia dini wanadhani miundo mbinu na majengo ya israel hayataharibiwa kiuhalisia utatokea uharibifu mkubwa sana ndani ya israel maisha hayatakuwa kama mwanzo hata kidogo. Vita ni gharama,vita ni pesa. Je marekani atakuwa tayari kumwaga mabilioni ya dola israel na ukraine kusaidia vita ktk hali hii ya mdororo wa uchumi?Wakati kampuni ya boeing inataka kufa kifo cha mende?
Israeli anataka usa na nato apigane kwa niana yake
 
Back
Top Bottom