Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Wameshindwa kumsaidia Ukraine huko Marekani kabakia na ubabe wa media tu Iran Wanaume hawapigi majumba wakitaka kuteketeza Tela Aviv yote wangefanya. Wamepiga Military base na Target za kijeshi wana makombora yanapenya mbele ya huo mfumo.
 
Mm nilihesabu zaidi ya makombora 70 yaliyo tua huku base ya Nevatim ikipigwa zaidi ya makombora 30.

Hayakuleta madhara kwa raia kwa sababu hayakuelekezwa walipo hao raia ,siku vita kamili vikizuka na yakaanza kuelekezwa kwenye miundo mbinu ya kiraia ndo utajua hujui.
Lakini sehemu ambazo makombora hayo yalielekezwa zilipata madhara tena sio madogo.
Mambo mengine tupunguze ushabiki.
 
Iran imewahi kupigana na Iraq yenye kusaidiwa na waarabu wenzie + Mabeberu wote wawili yaani USA na USSR ya wakati huo
Navikumbuka sana vita vile, najua pia kilicho sababisha Sadam Hussein na Hashim Rafsanjani kukaa na kuimaliza ile vita iliodumu kwa miaka 8. Wote walikua wanasaidiwa, kumbuka by that time kulikua na cold war duniani, Ukomunisti na Ubepari, Russia alikua akiongoza Ukomunisti while USA and his allies walikua wanatawala dunia kwa ubepari; ile vita ilikua inataka kuonesha nani mbabe. Anyway, yamepita yale. Baadae Sadam Hussein aliyekua akitumiwa na USA aliona kama kuendelea kupigana na jirani yake ni upuuzi baada ya moja ya makampuni ya silaha kutoka USA kuiuzia Iran silaha kwa mkataba mnono, hilo jambo lilimuudhi sana Sadam Hussein na chama chake cha Baath; vita ilikwisha kwa namna hiyo. And to prove kwamba Iran alikua anasaidiwa, jiulize.., kwaanza ndio Iran ilikua mpya kabisa, silaha na mafunzo ya kijeshi walipata wapi? Urafiki wa Russia na Iran haujaanza leo.
 
Yadaiwa ni sehemu tu ya maandalizi ya Israel kuishambulia Iran. Mitambo hiyo aina ya THAAD itasimamiwa na kuendesha na wanajeshi wa Marekani wenyewe.
Iran ni tishio na mbabe halisi wa ulimwengu huu. Halafu kuna nyumbu atakwambia Iran hana nguvu ya kupambana na Israel.

Yaani maandalizi yote haya kwa ajili ya Iran unadhani kama Iran sio mbabe pangekuwa na hekaheka zote hizi ewe kondoo wa bwana mchungaji?
 
Kuna ndugu yetu Bams anakwambia Marekani inaitegemea Israel kijeshi!
20241013_075842.png
 
Mm nilihesabu zaidi ya makombora 70 yaliyo tua huku base ya Nevatim ikipigwa zaidi ya makombora 30.

Hayakuleta madhara kwa raia kwa sababu hayakuelekezwa walipo hao raia ,siku vita kamili vikizuka na yakaanza kuelekezwa kwenye miundo mbinu ya kiraia ndo utajua hujui.
Lakini sehemu ambazo makombora hayo yalielekezwa zilipata madhara tena sio madogo.
Mambo mengine tupunguze ushabiki.
Uzuri Iran anajali sana haki za raia ndiyo maana hashambulii maeneo ya kiraia.

Sasa Israel asithubutu kushambulia maeneo ya kiraia pale Iran atakumbana na majibu yasiyoelezeka na utakuwa mwanzo wa raia wake kuanza maisha ya mashimoni rasmi.
 
Navikumbuka sana vita vile, najua pia kilicho sababisha Sadam Hussein na Hashim Rafsanjani kukaa na kuimaliza ile vita iliodumu kwa miaka 8. Wote walikua wanasaidiwa, kumbuka by that time kulikua na cool war duniani, Ukomunisti na Ubepari, Russia alikua akiongoza Ukomunisti while USA and his allies walikua wanatawala dunia kwa ubepari; ile vita ilikua inataka kuonesha nani mbabe. Anyway, yamepita yale. Baadae Sadam Hussein aliyekua akitumiwa na USA aliona kama kuendelea kupigana na jirani yake ni upuuzi baada ya moja ya makampuni ya silaha kutoka USA kuiuzia Iran silaha kwa mkataba mnono, hilo jambo lilimuudhi sana Sadam Hussein na chama chake cha Baath; vita ilikwisha kwa namna hiyo

Kwenye ile vita USSR na USA wote walikuwa wanamuunga mkono Saddam dhidi ya Iran.

Wakomunisti wa USSR walikuwa wanawachukia MaAyatollah waIran kwa sababu MaAyatollah walikuwa wanaupiga vita ukomunisti sana.
 
Kwenye ile vita USSR na USA wote walikuwa wanamuunga mkono Saddam dhidi ya Iran.

Wakomunisti wa USSR walikuwa wanawachukia MaAyatollah waIran kwa sababu MaAyatollah walikuwa wanaupiga vita ukomunisti sana.
Bro, tuanze kuorodhesha idadi ya matukio ya vita vile? Nyumbani kwetu tulikua tunatumiwa gazette linaitwa Sauti Ya Umma (SYU ) kila mwezi kutoka Iran, nakumbuka hadi ndege yao moja ya abiria ilikua ikitoka Tehran to Paris ilivopigwa na makombora ya Marekani, ilikua ndege ya abiria; kwa mara ya kwanza ndio nilijua kuna ndege zinaitwaga Airbus. I think it was 1987. By the way, Ayatollah Khomein na kundi lake wakati wanakuja kupindua walikua wanatokea nchi gani bro? Nenda katafute habari, zipo tu. Halafu unaweza kuamini kwamba USSR ya wakati ule ingeweza kua na common interest na USA? Miaka hiyo uadui wao ulikua kwenye pick ya hali ya juu; mwaka 1 baada ya hiyo vita Ukomunisti duniani ulianguka na USA kuishinda Russia
 
Umeelewa sasa kuwa bila msaada wa kijeshi wa US na nchi za Magharibi Israel haiwezi kupigana pekee yake?
Hii ni kufuatia Russia kupeleka sophiscated defensive missiles Iran!
Hata hivyo kwa maoni ya Waisrael wengi bado wanapinga kuwepo kwa majeshi ya US kwenye ardhi yake! Siyo utamaduni wa Israel.
Hapo ni pazito kijana!
 
Wenye kusubili Israel ijibu pengine wanadhani Israel inatumia akili kama zao kuwaza mambo makuu. IRAN kama ingepeleka missile kama zile za mwanzo masaa8 njian Israel saii ingeshapeleka moto tehran lkn km2000+ 8 iyo.kitu. marekani ulaya.Israel awana kwasasa uwezo w kudelete sasa mtu anawaza Israel atajibu Leo kesho mwez huu kapime akili ata.ingekuwa ww.ndio.umshauri kijesh kweli utaruusu majibu. Tusaau majibu marekani na.ulaya.walitegemea Iran awana ivo vitu vilivotua Israel, walitegemea.ni vitu vyamasaa 6 oh 4 so wayavizie angani wayatungue kwanjia nyingi ata tu f-16 singesaidia lkn km2000+ dakika 8 wakosome kwanza baada mwaka 1 oh2 ndio waje. Sasa Israel atatumia mipesa yake kununua wajuzi izo mambo km2000 kwa8 kwapesa yoyote adi nao uko marekani wetest iyo kitu. Wao watataka iwe chini zaid kupiga mkwara iwe 5 km2000 hatari sana lkn kwasasa atanunua wataalam.sio kujibu.ataweka pesa nyingi kwenye iyo program kimyakimya. Uku tukiimbiwa tunajibu Leo kesho na tutaiduaza dunia uku wao wakojikonii wakisaka majibu saiii
 
Tulishuhudia kwa macho yetu vimondo vikikung'uta base ya kijeshi ya Yahudi. Ina maana hiyo Arrow3 nayo ilikuwa kwenye shelter imejificha?
Dah aisee nimechelewa sana kuongeza mashambulizi kwenye mpambano huu. Ila sihaba, vijana mmenifurahisha kwa kuwadhibiti vilivyo hao wayahudi wa mwanjelwa Mbeya.

Maana mmekuwa kama koboko vile.. kila myahudi wa mwanjelwa akiinua kichwa mnakomoa anapotea harudi tena kunyanyuka 😂😂😂😂
 
Naam, na lengo la Iran siyo kuua raia, maana kulenga raia kimakusudi ni kinyume cha international law.

Israel yenyewe huwa inalenga raia kwa makusudi.
Kama lengo la iran sio kuua raia mbona aliua mpalestina mmoja sema israel haiwatumii raia kama human shield wamewekeza kulinda raia wao
 
Naam, na lengo la Iran siyo kuua raia, maana kulenga raia kimakusudi ni kinyume cha international law.

Israel yenyewe huwa inalenga raia kwa makusudi.
Irael kabla ya kushambulia hutoa taarifa raia wahame karibu na magaidi na husambaza mamilioni ya ujumbe na vipeperushi kuwaambia raia waondoke tatizo ni magaidi wenu hujificha kwenye miundombinu ya kiraia kama misikitini, shuleni, nyumba za raia, kanisani, vituo vya umoja wa mataifa na hutumia ambulance
 
Back
Top Bottom