Izo safari za wanasiasa w irani kwenda Israel ndio mwiba.waIran.wanajidai.wanapeleka msaada w kimatibabu lkn ktk.iyo mizigo kuchanganywa. Vifaa muimu vyakijesh wanavoitaji hezbollah So tutasikia waziri wa ulinzi.w Iran kaenda Lebanon au naibu wake watakuwa tu.wanapishanisha vyeo lkn lengo kupeleka mizigo y kijesh mawasiliano mapya y kijesh niwazi Iran anaitumia Lebanon kupigana.na Israel uku yeye akiwa kama sio muhusika,
Haki Israel kuzuiya ndege kutoka Iran lkn ndio tunaona talatibu Israel anazoeya maisha mapya ya unyonge kwa Iran lau.Ingekuwa Iran ananguvu kama.izi kaonesha km 2000+ kwa 8.tehra to tel aviv na kuwa anaweza piga ppte.ndani y Israel,, ingekuwa taifa.alina izo sifa.afu.ndio wazili wale atimbe Lebanon na iwe wazi.iyo.inch inaunga mkono hezbollah saai washapitanae asubui asubui ili kuzuiya wengine wasiende,,