Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Tatizo baadhi ya watu mnachukulia vita kama mashindano ya michezo mfano : hata kama ni wewe unapigana mtu alafu watu zaidi ya wanne wanakuchangia na hao watu lengo lao ni kukumaliza kabisa licha ya kwamba unajua kutembeza mkono lakini huna budi kutumia njia mbadala ili ushinde hiyo vita otherwise pumzi zitakuishia alafu adui zako watakutwanga kisawasawa.
 
Ilifeli David sling, Arrow2, Iron Dome, Aegis system, F-35. Hiyo THAAD inaenda kujitafutiaaibu tu.
THAAD mbona Israel anayo kitambo kwa Hypersonic mbona wanajisumbua tu kwa hizo Hypersonic missiles alizo tumia Iran zinachukua 8 to 12 minute kufika Israel hazikufanya kitu. Alizo nazo Iran hakuzitumia ni 4 to 5 minutes ziko Israel.
 
Si tuliambiwa Israel inajisimamia wenyewe mara oooh mzayuni ni mtu hatari tukiwaambia hawa walemavu wa kisiasa bila msaada wa mabeberu hawatoboi wiki mbili muwe mnaelewa

NEW:

[emoji1134][emoji631] The U.S. will deploy a THAAD air defense battery in Israel, after the failure during the attack from Iran

The THAAD (Terminal High Altitude Area Defense) air defense system is designed to intercept short, medium, and intermediate-range ballistic missiles during their terminal phase of flight at altitudes of 40 to 150 kilometers, with an operational range of 200 kilometers.

@MilitaryPOVView attachment 3123013

My take:Watapeleka tu na italipuliwa kama iran walivyolipua ile radar ya trilioni 3[emoji23][emoji23][emoji23]
Sometimes nikiwa nasoma michango yetu kuhusu ugomvi wa mashariki ya kati, huaga nahisi hua tunachangia tukiwa tayari tuna either upande or maandishi yetu yanakua na milengo ya kiimani. Naombeni mfano mmoja tu wa taifa lolote kubwa lililowahi kwenda kupigana na taifa lingine likiwa pekee yake, just one. Fatilia vita vyote ambavyo USA kapigana either direct or indirect utagundua kuna mataifa zaidi ya 5 yanakua nyuma yake. Mnaikumbuka ile Gulfwar ya mwaka 1990 wakati Sadaam Hussein analazimishwa kuondoka Kuwait? Marekani alilwenda na mataifa ya Ulaya 29, Saudia ikiwa ime provide viwanja vya ndege na mafuta same as Egypt, well what about vita iliomuondoa Sadam Hussein hadi kupelekea kifo chake? All European community were involved except France only, same as Libya etc. Kinacho endelea Russia na Ukraine je? NATO wote wapo against Russia but same Russia anapewa support kubwa na Iran, North Korea na kidogo from China, Iran nae kwenye vita hi hi yote na Russia plus Yemen, cha ajabu nini kwa Israeli?
 
Nakwambia Thad haiwezi kuzuia kifurushi cha buku never on earth, itaanza kupambana na drone za bei rahisi buku 2 zinamchosha battery alafu kina kuja kifurushi sasa cha ballistic buku sidhani kama atatoboa athari itakua kubwa mno
 
Nakwambia Thad haiwezi kuzuia kifurushi cha buku never on earth, itaanza kupambana na drone za bei rahisi buku 2 zinamchosha battery alafu kina kuja kifurushi sasa cha ballistic buku sidhani kama atatoboa athari itakua kubwa mno
Thaad yenyewe ina launchers 6 na kila launcher ina interceptors 8, na kila kila launchers inachukua dkk 30 ku reload, muda huo missile imetoka Tehran hadi Tel Aviv.
 
Nduguzangu.izi ni propaganda vita l aminini kuwa air defence system muimu zote zilikuwepo apo Israel system zote zipo.apo kuilinda Israel, lkn zimedukuliwa wkt.viuma.vinatua. so izi ni propaganda kuzitoa izo THAAD system kwaajili y soko ndio mana wenyekujua tunaamini Israel kwasasa awezi mchokoza Iran sababu kuuu israel kagundua.Iran.anaweza mpiga popote saaa yoyote nayeye atoweza kuzuiya chochote sababu hii ndio.imeinyang,anya Israel aki yake ya kulipiza kiakili uwez lipiza ngumu na unajua unaweza.pigwa tena n utoweza zuiya shida kubws.apa.ni.kuzuiya baada y apo Israel watapiga mikelele tu propaganda kuwa tutashambulia lkn sio sasa sasaivi ameufyata kimya.kimatendo. mdomo tu ndio utasema.kile.kile.lkn akuna matendo spika w Iran katua Lebanon na kaenda kusini kwenye shida na akatangaza wazi kuwaunga mkono hezbollah na kaondoka salama wazili w mambo y nje pia tuliona kafika. Muimu Israel awez shambulia wanasiasa w Iran yoyote mana anawajua.waIran.awanadogo.wanajibiwa fasta na.cheo.kama.kile wamekizulu,
Ndiomana waIran awaogopi kwenda Lebanon wanajua. awatoguswa,
 
Izo safari za wanasiasa w irani kwenda Israel ndio mwiba.waIran.wanajidai.wanapeleka msaada w kimatibabu lkn ktk.iyo mizigo kuchanganywa. Vifaa muimu vyakijesh wanavoitaji hezbollah So tutasikia waziri wa ulinzi.w Iran kaenda Lebanon au naibu wake watakuwa tu.wanapishanisha vyeo lkn lengo kupeleka mizigo y kijesh mawasiliano mapya y kijesh niwazi Iran anaitumia Lebanon kupigana.na Israel uku yeye akiwa kama sio muhusika,
Haki Israel kuzuiya ndege kutoka Iran lkn ndio tunaona talatibu Israel anazoeya maisha mapya ya unyonge kwa Iran lau.Ingekuwa Iran ananguvu kama.izi kaonesha km 2000+ kwa 8.tehra to tel aviv na kuwa anaweza piga ppte.ndani y Israel,, ingekuwa taifa.alina izo sifa.afu.ndio wazili wale atimbe Lebanon na iwe wazi.iyo.inch inaunga mkono hezbollah saai washapitanae asubui asubui ili kuzuiya wengine wasiende,,
 
Sometimes nikiwa nasoma michango yetu kuhusu ugomvi wa mashariki ya kati, huaga nahisi hua tunachangia tukiwa tayari tuna either upande or maandishi yetu yanakua na milengo ya kiimani. Naombeni mfano mmoja tu wa taifa lolote kubwa lililowahi kwenda kupigana na taifa lingine likiwa pekee yake, just one. Fatilia vita vyote ambavyo USA kapigana either direct or indirect utagundua kuna mataifa zaidi ya 5 yanakua nyuma yake. Mnaikumbuka ile Gulfwar ya mwaka 1990 wakati Sadaam Hussein analazimishwa kuondoka Kuwait? Marekani alilwenda na mataifa ya Ulaya 29, Saudia ikiwa ime provide viwanja vya ndege na mafuta same as Egypt, well what about vita iliomuondoa Sadam Hussein hadi kupelekea kifo chake? All European community were involved except France only, same as Libya etc. Kinacho endelea Russia na Ukraine je? NATO wote wapo against Russia but same Russia anapewa support kubwa na Iran, North Korea na kidogo from China, Iran nae kwenye vita hi hi yote na Russia plus Yemen, cha ajabu nini kwa Israeli?

Iran imewahi kupigana na Iraq yenye kusaidiwa na waarabu wenzie + Mabeberu wote wawili yaani USA na USSR ya wakati huo
 
Kwa sababu za kiusalama najeshi hutoa
Habari zisizo sahihi
Habari zilizopitwa na wakati
Habari zisizoendana
Ukijua haya. Ndo utakujua kusema ukweli na uhakika ni utopia stories.
Bora kujisomea nyaraka na vitabu vya wabudha hahahaha
 
Wadau hamjamboni nyote?

Mambo bado mazito huku maandalizi mazito yanazidi kufanywa. Jeshi la Marekani limeamua kufunga mitambo ya kisasa kabisa ya ulinzi dhidi ya makombora ya masafa marefu huko Israel

Yadaiwa ni sehemu tu ya maandalizi ya Israel kuishambulia Iran. Mitambo hiyo aina ya THAAD itasimamiwa na kuendesha na wanajeshi wa Marekani wenyewe.

Mungu ibariki Israel

Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo:
---
US troops to reportedly operate THAAD anti-ballistic missile system in Israel

The US will deploy the THAAD anti-ballistic missile system in Israel, according to reports by Channel 12 news and Army Radio that describe the move as part of preparations for the expected Israeli response to Iran’s recent missile attack.

Channel 12 news says the advanced missile defense system will be operated by American troops on Israeli soil.
Arrow 3 ni zaidi ya THAAD
 
Tulishuhudia kwa macho yetu vimondo vikikung'uta base ya kijeshi ya Yahudi. Ina maana hiyo Arrow3 nayo ilikuwa kwenye shelter imejificha?
Ya kwamba makombora haya kupenya?😃😃😃😃😀 acha utani basi.
Yalipenya baadhi ila hayakuleta madhara makubwa kwa maisha ya raia.

 
GXCPpXhWEAAhZkf.jpeg
 
Back
Top Bottom