Marekani yasema hakuna kusitisha vita. Nchi za kiarabu zasema hakuna kuhama. Wapalestina wasema bora kufa ndani ya majumba yao. Safari hii ni tofauti

Raha yake waziri mkuu kapigana vita kwa vitendo alipokua KIJANA.
Sasa ndio wakati wa kila kitu kubadilishwa against the odds ili watu wajue nani mwenye nguvu na akili za kweli.
 
Ni mfalme Abdalla mtoto wa king Hussein.Alitayarishwa zamani awe kibaraka daima.Sasa anaanza kuwageuka baada ya ubinadadamu kumrudia.
Huyu ni muhimu sana kwao.Akisema basi ndio itakuwa basi.
Waisrael wanaheshimu sana Jordan baba yeke aliwapa ardhi kubwa Israel.
 
Waisrael wanaheshimu sana Jordan baba yeke aliwapa ardhi kubwa Israel.
Aliwaachia ardhi kizembe sana.Tatizo la mayahudi hawaishi kiu yao na hawana ahadi kabisa.Baada ya kumega ardhi yote hayo wanataka nyengine zaidi.Kuna kipande wamekodishwa walime kwenye bonde la mto Jordana.Wakiambiwa muda umeisha wanaleta maneno na vitisho kwa Jordan.
 
Hayo matumaini tu lkn yy malengo yake yanatimia
Malengo ilikuwa ni kumdanganya Mahmoud Abbas kuwa kuna siku atapewa serikali huku ardhi yote ingekuwa ndio mipaka ya serikali inaliwa pole pole.Upande wa pili ilikuwa ni kuwashughulisha Hamas na utawala wa kpande cha Gaza.Kila wakikaribia kupatana anawagombanisha.Sasa mipango yote hiyo imevurugika mara moja na anatishiwa kutoka kila upande kwa sauti moja.Acha mauaji.
 
Huo ni Kwa mtazamo wako

Lkn ya jikoni huko Palestine na Israel wanayajua wao sisi kazi yetu ni kuskiliza DW na kuangalia BBC tuone nani mkali wa calculation
 

Nawatakufa sana tu,mpaka hamas waishe hapo gaza.
 
Safisha safisha kama ile ya kibiti

sio rahisi kama unavyofikiri wanajichanganya na raia ndo maana israel wameachana na ground bato hujui yupi raia yupi hamas. mwanzo netanyau alisema raia wahame kwasababu hiyoo. ili mkichanganywa msiseme taarifa hamkupata.

kibiti hapo ushirikiano wa raia ulikuwa wa asilimia mia ata mgambo wenye silaa nzuri walitosha kuwapeleka kuzimu.
 
Hao waarabu sio kweli kwamba wanawahurumia sana hao wapalestina ila hofu yao kubwa ni mzigo wa wakimbizi.

Kuna kipindi huko nyuma waliwahi kuwahifadhi hao wakimbizi wa kipalestina na adha waliyopata hawataki kabisa kuipata tena kwani jamii ya wapalestina wana asili ya ukorofi sana kiasi kwamba hawajui kushukuru mnapowapa hifadhi.

Miaka ya nyuma walipewa hifadhi na Jordan na kidogo wampindue aliyekuwa mfalme wa nchi hiyo marehemu Hussein na ndipo alipowafukuza na wakaenda Lebanon ambapo pia wakaingiza hiyo nchi kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 1975.

Nchini Misri mwaka 1981 walifanya njama na kumuua aliyekuwa rais wa Misri marehemu Jenerali Anwar Saddat kwa madai kwamba kwanini alisain mkataba wa Camp David na aliyekuwa waziri mkuu wa Israel marehemu Manahem Begin iliyopelekea Israel kuirejeshea Misri jangwa la Sinai waliyokuwa wameteka kwenye vita vya mwaka 1973. Wapalestina ni watu tabu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…