Marekani yasema hakuna kusitisha vita. Nchi za kiarabu zasema hakuna kuhama. Wapalestina wasema bora kufa ndani ya majumba yao. Safari hii ni tofauti

Raia wanyonge wa Palestine ndio wanalipia gharama kubwa za uhai wao kwenye huu mzozo.

Mungu awakumbuke wanyonge hawa....🙏🙏🙏
 
Mtu Muhimu sana ni King wa Jordan kakataa Palestina wasiondoke pamoja na Misri, Saudia haya mataifa Marekani na Israel wanayaogopa sana.
Misri na Jordan hawapo tayari kwa mzigo mpya wa wakimbizi, isitoshe wapo Wapalestina wengi tu huko kwenye hizo nchi.
 
Misri na Jordan hawapo tayari kwa mzigo mpya wa wakimbizi, isitoshe wapo Wapalestina wengi tu huko kwenye hizo nchi.
Naona umekurupuka kujibu ufahamu hoja ni nini, mkutqno wa Arabic juzi fuatlia walichosema Rais wa Misri, Jordan, Saudiq Arabia, Qatar.
 
Saizi lazima wapate suluhisho la kudumu, ila sahizi nimependa umoja wa waarabu, wamegoma kutumika kipuuzi, na hio ndio imefanya mambo yawe magumu kwa USA na Israel
kwan huwa inajulikana mapema , subir mwishon mtatunga story zote
 
Si kila siku kuna watu wanasema ni nchi ya watu wenye akili sana.Wanasahau Allah ndiye mwisho wa akili zote.
mnasahau mapema [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila kitu na wakati wake kijana hata hao waisrael wako waliteswa sana na hitler na farao hadi mungu alipowaokoa, yeye ndio anajua kitu gani atafanya wakati gani na hana mshirika
Na bado hawakufanya shukrani.Allah akawalani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…