Ingawa mimi si muumini wa chanjo yoyote, ila siku si nyingi mkuu wako alishauri eti chanjo iwe lazima na hata baadhi ya BAVICHA huwa wanadai chanjo ziletwe wao wakachanje maana wao sio Sukuma Gang. Chanjo zimeletwa mnaiponda tena CCM,nikuulize sasa mnataka chanjo au hamtaki? Na kama mnataka nendeni mkachanje maadam zimetoka kwa mabwana wenu mnaowaamini kwa kila kitu.
AiseeeeMtu mzima hovyo kabisa. Watu wanachanja hiyo chanjo kila siku na wewe unaandika mataputapu ya kuokoteza hapa?
Get COVID-19 Vaccine Answers | How do I get vaccinated
Fact-based information on vaccination citizenship requirements, cost of getting vaccinated, and general Q&A on vaccine benefits & types.getvaccineanswers.org
Haahaahaaah..lakini mataga si mlikuwa mnapinga chanjo?
..sasa kwanini mnapokea chanjo toka kwa mabeberu wanaozitolea mate rasilimali zetu?
Sijaona popote hapo kwenye hiyo link yako panaposema hiyo chanjo imepigwa marufuku Marekani!
Acha uongo wewe, shame on youWaswahili wanasema, ukiwa mjanja sana jitahidi usiwe limbukeni. Serikali ya Wanyonge walijifanya hawataki Chanjo, sasa ubishi wao wamejikuta wanapokea Chanjo ambayo nchi nyingine kama US waliipiga marufuku.
ujanja mwingi kumbe hamna kitu
View attachment 1868000
View attachment 1868001
View attachment 1868002
Ndiyo, lakini haijapigwa marufuku Marekani!Ilisimamishwa kutumika kwa muda baadaye ikaruhusiwa tena. Sasa hivi anayetaka kupiga hii J & J hupewa onyo kuhusu madhara yanayoweza kutokea ili kama akiathirika asije kugeuka ná kufungua law suit dhidi ya kampuni na sehemu aliyochomea. Wengi mwanzo I waliipenda hii Kwa sababu ni chanjo moja si mbili kama nyingine lakini baada ya onyo wengi wanaikimbia.
Utakuwa unadanganya. USA zinatumika aina tatu Pfizer, Moderna na hii JohnsonNina rafiki zangu wamarekani wamekuja hapa two weeks ago kikazi.Wao walishachanjwa huko kwao.
Nimewaambia kuhusu hii chanjo ya Johnson wametahamaki vibaya na wameniambia nisithubutu kusogeza bega langu!Nisubiri chanjo nyingine.Mimi nimeamua kuwasikiliza.Sichwanjwi Johnson &Jonhson
Ndiyo, lakini haijapigwa marufuku Marekani!
Hii chanjo ingekuwa ina shida kubwa Marekani wasingeiruhusu kuendelea kutumika. Kitendo cha kuiruhusu maana yake madhara yake si makubwa kivile na watu wanaendelea kuichoma dailyIlisimamishwa kutumika kwa muda baadaye ikaruhusiwa tena. Sasa hivi anayetaka kupiga hii J & J hupewa onyo kuhusu madhara yanayoweza kutokea ili kama akiathirika asije kugeuka ná kufungua law suit dhidi ya kampuni na sehemu aliyochomea. Wengi mwanzo waliipenda hii Kwa sababu ni chanjo moja si mbili kama nyingine lakini baada ya onyo wengi wanaikimbia.
Kwahiyo leo chanjo za wazungu haziaminiki tena kama mlivyokuwa mnadai? Maana humu jukwaani kila aliekuwa anajaribu kuhoji usalama wa hizo chanjo alioneka kituko,wengine wakadai kwamba mzungu hawezi kutuletea kitu chenye madhara kwakua kama angetaka kutudhuru angefanya hivyo kupitia chanjo nyingine tunazipokea utotoni.Nina rafiki zangu wamarekani wamekuja hapa two weeks ago kikazi.Wao walishachanjwa huko kwao.
Nimewaambia kuhusu hii chanjo ya Johnson wametahamaki vibaya na wameniambia nisithubutu kusogeza bega langu!Nisubiri chanjo nyingine.Mimi nimeamua kuwasikiliza.Sichwanjwi Johnson &Jonhson
OkAcha uongo wewe, shame on you
Huna hata aya kudanganya umma
OoghhKwahiyo leo chanjo za wazungu haziaminiki tena kama mlivyokuwa mnadai? Maana humu jukwaani kila aliekuwa anajaribu kuhoji usalama wa hizo chanjo alioneka kituko,wengine wakadai kwamba mzungu hawezi kutuletea kitu chenye madhara kwakua kama angetaka kutudhuru angefanya hivyo kupitia chanjo nyingine tunazipokea utotoni.
Vipi leo zimekuwa na kupitiswa mmeanza kuwa selective,au ndo kusema huwa mnatafuta mijadala ya kisiasa tu? Maana kitu kabla haiijafanywa na serikali huwa mnakishupalia kweli ila kikifanywa tu,kunageuka na kuwa kibaya ilimradi mpate cha kupinga tu, aiseeh 😂
Eti ana marafiki zake wamarekani😂.Utakuwa unadanganya. USA zinatumika aina tatu Pfizer, Moderna na hii Johnson
Hao unaweza kukuta wamelamba dili la ubalozi wa chanjo, wamedungwa Johnson & Johnson wakiwa Marekani halafu ndio hiyo tumeletewa kama msaada kutoka Marekani....what a coincidence 😊Huyo jamaa kachoma juzi huko huko MarekaniView attachment 1868040
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana rais Samia ingawa gaidi mbowe anafanya kila njia kukuchafua
Hizo chanjo wachanjwe chadema wote kwanza.
Ni kweli mkuu.Niko serious.Jamaa walistuka nilivyowaambia taifa lao limetuletea hiyo chanjo.Wanaishangaa serikali yao!Nimeona hii mada hapa basi majibu nishayapata yote.Sichanjwi aisee.Labda walete Sputnik.Nayo pia ntachanjwa siku nikitoka bongo.Kwa sasa sina safari yoyote zaidi ya kkoo,posta,Tandale,Mbagala!Barakoa nnazo sita!Acha nitulize wenge kwanza!Karibuni tule pweza wa mezani hapa!Hongera
Kwa hiyo hao viongozi walikufa kwa korona???? au waliuawa.Magaidi Chadema wakipokea Chanjo ya Johnson & Johnson
View attachment 1868016
View attachment 1868017
View attachment 1868019
Kwa maelezo haya hata mm nitasubiri nyingineIlisimamishwa kutumika kwa muda baadaye ikaruhusiwa tena. Sasa hivi anayetaka kupiga hii J & J hupewa onyo kuhusu madhara yanayoweza kutokea ili kama akiathirika asije kugeuka ná kufungua law suit dhidi ya kampuni na sehemu aliyochomea. Wengi mwanzo waliipenda hii Kwa sababu ni chanjo moja si mbili kama nyingine lakini baada ya obnyo wengi wanaikimbia.