Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Yah mama na JK wapo karibu, na mkwere na wazungu (mabeberu) ni kama shuka na mmasai.Wewe hutazami tv? Huoni mabeberu yanavopishana ikulu kujipendekeza? Mama hayatafuti..yanamtafuta menyewe...sasa mtaenda kudeka na kulialia kwa nani mtapokula kichapo cha mama?
Ukiwa na maana gani?
Jidanganye hivyo hivyo siku damu ikugande ndo utajua ni “udugu” au “ukungu”.ahsante, Udugu wetu na Marekani hauna mashaka hata kidogo.
ahsante Rais wetu Mama Samia kwa kuimarisha zaidi ushirikiano wetu na USA
Mpuuzi kabisa,wewe ndiye unaye misinform Watanzania halafu unageuza kibao unasema mimi ndiye na-misinform!Hamna aibu kabisa,mnatusaliti Watanzania wenzenu kwa ujira wa Shetani!Shame on you.Lakini a day of reckoning for you is very close,Mungu hata waacha salama.Max @Mods wajibikeni kuzuia disinformation hatari kama hizi kwenye platform yenu.
Ok asante ila mimi sipigi nyungu wala sichomi chanjo.Piga nyungu uyeyushe futa
Pamoja na yote hayo bado haijazaidia kuzuia tozo ya miamalaSana, uhusiano wetu umeanza mbali. Hawa si mabeberu kama ambavyo wahafidhina wa CCM ya mwendazake inavyotaka kuuaminisha umma wa waTanzania.
CCM ya awamu ya 6 muache kuigiza siasa za kidhalimu za awamu ya 5 ili msiutie doa uhusiano wa Tanzania na wadau wa Maendeleo toka nje.
Hotuba yake waziri wa mambo ya nje wa Tanzania kuadhimisha uhuru wa Marekani, Mh. Liberata Mulamula alizungumzia masuala mengi ya jinsi uhusiano ulivyoanza tangu wakati wa Mwalimu Nyerere hadi changamoto za virusi vya covid-19 Delta Variant 2021 kupatia chanjo za kuzuia Covid-19, mazingira endelevu ya uwekezaji Tanzania kwa kuondoa zaidi ya sheria 154 za kodi vilivyoleta ukwamo kwa wafanyabiashara kuwekeza Tanzania n.k
4 Jul 2021
Hon Amb Liberata Mulamula Speech during the celebration of U.S. Independence in Dar es salaam on July 2nd, 2021
Source : USEmbassyTZ
Waziri Dr. Liberata Mulamula amezidi kuonesha jinsi mazingira ya kibiashara yanavyoweza kunoga ikiwa sera sahihi mtambuka zitafuatwa kwa kunuku takwimu hizi toka Idara ya Biashara ya Marekani Tanzania | United States Trade Representative. b:
Tanzania
AGOA Status: Tanzania is eligible for African Growth and Opportunity Act (AGOA) benefits this year. It also qualifies for textile and apparel benefits.
Trade Agreements: The U.S. signed Trade and Investment Framework Agreements (TIFA) with the East African Community (EAC) in 2008, and with the Common Market for Eastern and Southern Africa (COMESA) in 2001. Tanzania is a member of both the EAC and COMESA regional organizations. USTR’s Africa Office is also leading U.S. efforts to forge a new trade and investment partnership with the East African Community.
U.S.-Tanzania Trade Facts
In 2019, Tanzania GDP was an estimated $62.2 billion (current market exchange rates); real GDP was up by an estimated 6.3%; and the population was 56 million. (Source: IMF)
Tanzania is currently our 121st largest goods trading partner with $462 million in total (two way) goods trade during 2019. Goods exports totaled $333 million; goods imports totaled $130 million. The U.S. goods trade surplus with Tanzania was $203 million in 2019.
Exports
Imports
- Tanzania was the United States' 118th largest goods export market in 2019.
- U.S. goods exports to Tanzania in 2019 were $333 million, up 0.2% ($607 thousand) from 2018 and up 110.5% from 2009.
- The top export categories (2-digit HS) in 2019 were: aircraft ($175 million), machinery ($27 million), cereals (wheat) ($23 million), plastics ($19 million), and milling products ($9 million).
- U.S. total exports of agricultural products to Tanzania totaled $47 million in 2019. Leading domestic export categories include: wheat ($23 million), prepared food ($3 million), pulses ($3 million), vegetable oils (ex. soybean) ($3 million), and poultry meat & products (ex. eggs) ($2 million).
Trade Balance
- Tanzania was the United States' 119th largest supplier of goods imports in 2019.
- U.S. goods imports from Tanzania totaled $130 million in 2019, up 34.2% ($33 million) from 2018, and up 162.7% from 2009.
- The top import categories (2-digit HS) in 2019 were: precious metal and stone (other stones, not strung) ($41 million), knit apparel ($29 million), woven apparel ($23 million), coffee, tea & spice (coffee) ($10 million), and vegetable saps and extracts (pectates) ($6 million).
- U.S. total imports of agricultural products from Tanzania totaled $24 million in 2019. Leading categories include: unroasted coffee ($9 million), cocoa beans ($2 million), planting seeds ($2 million), tree nuts ($1 million), and spices ($321 thousand).
Investment
- The U.S. goods trade surplus with Tanzania was $203 million in 2019, a 13.8% decrease ($33 million) over 2018.
- U.S. foreign direct investment (FDI) in Tanzania (stock) was $1.5 billion in 2019, a 5.2% increase from 2018. There is no information on the distribution of U.S. FDI in Tanzania.
- Tanzania's FDI in the United States (stock) was $1 million in 2019, unchanged from 2018. There is no information on the distribution of Tanzania FDI in the U.S.
Kwani alisemaje?Kwani JPM alisema watu wasivae barakoa au alitoa angalizo aina za barakoa ambazo watu wake waepukane nazo?
Achaneni na mizahaNawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.
Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.
Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.
Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]
Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.
Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.
Hongera JPM, hongera watanzania.
Tumekwisha.Mpuuzi kabisa,wewe ndiye unaye misinform Watanzania halafu unageuza kibao unasema mimi ndiye na-misinform!Hamna aibu kabisa,mnatusaliti Watanzania wenzenu kwa ujira wa Shetani!Shame on you.Lakini a day of reckoning for you is very close,Mungu hata waacha salama.
Hivi CIA wanawalipa nini mpaka mnakubali kushiriki kwenye this ongoing genocide kuwahi kushuhudiwa kwenye historia ya Binadamu?Msishani hatujui mpo,tunajua.Watch this[emoji116].
Secret army of 60,000 CIA undercover operatives deployed worldwide
Pentagon uses world’s largest ‘secret army’ of 60,000 undercover operatives to carry out ‘domestic & foreign’ operations – media An aerial view of the Pentagon building in Washington, June 15, 2005 © Reuters RT.com The US military operates a vast network of soldiers, civilians, and...www.jamiiforums.com
Mizaha gani?Achaneni na mizaha
100Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.
Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.
Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.
Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi
Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.
Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.
Hongera JPM, hongera watanzania.
Unajielewa mkuu..Yaani mi nashangaa kila mtu anasingizia eti anasikia watu wanakufa..wanaokufa ni kina nani? Mtaani kwako majirani hawajafa, wafanyakazi wenzio hawajafa, ndugu 'ako hawajafa na kama hao kuna mtu kafa sio kwa corona. So who is dying???. Na watu wamefika kipinsi wanajidai kama vile vifo havikuwahi kuwepo kabla ya corona. Watu walikuwa wanakufa na wataendelea kufa kwa magonjwa tofauti tofauti pamoja na ajali. Hii corona kweli inaua lakini si kwa kiwango na speed ambayo wauza chanjo na madalali wao wanataka tuamini. Corona is survival of the fittest..ikikuta afya ilikuwa mgogoro itakubeba tu..So watu walokufa kqa corona walikufa kwa sababu tayari walikuwa na magonjwa mengine ambayo tanawafanya wasiweze kupambana na corona. Na ndio maana wengi sana wamekufa ulaya kwa sababu ya high life expectancy ambayo inafanya wazee wawepo wengi sana. Huku sie tunajifiaga mapema tu mjini wazee wachache sana..na walip vijijini kinga zao ziko vizuri mnoNawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.
Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.
Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.
Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]
Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.
Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.
Hongera JPM, hongera watanzania.
Nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kati ya mambo yanayonifurahisha katika hili igizo zima la UVIKO-19, ni kuona watanzania wameyapuuza mabarakoa na machanjo ya mabeberu.
Hii inathibitisha KWAMBA, UVIKO-19 ni igizo lililokosa wateja Tanzania, NA KWAMBA, uelewa wa watanzania kuhusu UVIKO uko katika viwango vya elimu ya juu — Hawababaishwi na maigizo.
Achana na hawa madalali wa chanjo wanaoposti majeneza yenye mchanga. Hao nao walishapuuzwa pia, wamebaki kuhaha tu hawajui wataambia nini wazungu baada ya kutafuna mapesa yao ya misaada.
Ukweli ni kwamba, watanzania walimuelewa vyema Jemedari Chuma John Pombe Joseph Magufuli. Walishamaliza na kufunga jalada. Wako bize wanachapa kazi [emoji818][emoji818][emoji818]
Mengine yote yanayoendelea kwa sasa ni maigizo ya futuhi tu. Tulishamalizana na hizo habari toka kitambo.
Tunadunda tu. Mabarakoa na machanjo uchwara tupa kule.
Hongera JPM, hongera watanzania.
Mizaha gani?
Muwe mnajiongeza basi kwenda kwenye mahospitali makubwa mkaone watu wanavyo pumua kwa shida na kwa msaada wa mitungi ya oxygen ili muone changamoto halisi za huo ugonjwa.100
Unajielewa mkuu..Yaani mi nashangaa kila mtu anasingizia eti anasikia watu wanakufa..wanaokufa ni kina nani? Mtaani kwako majirani hawajafa, wafanyakazi wenzio hawajafa, ndugu 'ako hawajafa na kama hao kuna mtu kafa sio kwa corona. So who is dying???. Na watu wamefika kipinsi wanajidai kama vile vifo havikuwahi kuwepo kabla ya corona. Watu walikuwa wanakufa na wataendelea kufa kwa magonjwa tofauti tofauti pamoja na ajali. Hii corona kweli inaua lakini si kwa kiwango na speed ambayo wauza chanjo na madalali wao wanataka tuamini. Corona is survival of the fittest..ikikuta afya ilikuwa mgogoro itakubeba tu..So watu walokufa kqa corona walikufa kwa sababu tayari walikuwa na magonjwa mengine ambayo tanawafanya wasiweze kupambana na corona. Na ndio maana wengi sana wamekufa ulaya kwa sababu ya high life expectancy ambayo inafanya wazee wawepo wengi sana. Huku sie tunajifiaga mapema tu mjini wazee wachache sana..na walip vijijini kinga zao ziko vizuri mno
Kichaa wewe, ni wapi huko "wanakopukutika"?Watu wanapukutuka kwa korona kila mahali Tanzania
Muwe mnajiongeza basi kwenda kwenye mahospitali makubwa mkaone watu wanavyo pumua kwa shida