Mbolabilika
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 2,128
- 2,867
Sifa ya kihere here atabiriki leo yupo kwako huku akienda Kwa mwengine anakugeuka ndio maana us anataka watu wenye misimamobeberu hataki shobo za kishoga.
anataka watu wazinguaji wasiofagilia mtu[emoji38][emoji38], ndio mtaenda sawa.
Mk254 yuko wapi aje kusema Ile SAFIII PIMA PIMA PIMA PIMA SASA NYUMBA KWA NYUMA MWENDO WA KUPIMA TU. uwez ukaona mtu yeyote mwenye akili timamu anatamka maneno haya
[emoji3][emoji3]
Serikali ya Marekani imewaonya raia wake kutotembelea Kenya Sababu ya ongezeko la wagonjwa wa Covd19 na hatari ya ugaidi kutokea.
Hii itakuwa pigo kubwa sana kwa sekta ya utalii ambapo Jana Waziri Balala na Rais Uhuru Kenyatta walizindua kampeni kababe ya kuvutia watalii kutembelea nchi hiyo.
Reconsider Travel to Kenya - US Embassy Advises
Wako sahihi, maana sisi hatufichi hali ya corona kwetu na hautasikia tukilialia na kujichokea kama Watanzania kila tukitajwa, yeyote anayekuja kwetu afahamu namba zetu za waathirika zimepandisha na huwa tunazitaja bila uwoga. Hatua za kwanza na muhimu kwenye kupambana na huu ugonjwa ni kuondoa uwoga na kukumbana nawo, kupima na kujua hali yako na kuitolea taarifa pia.
Nyie ma bwege kweli mtabaki hivyo hivyo hao wazungu wa KLM kama wasinge jiridhisha wasinge leta RAIA wao sehem ambayo ni hatarishiWako sahihi, maana sisi hatufichi hali ya corona kwetu na hautasikia tukilialia na kujichokea kama Watanzania kila tukitajwa, yeyote anayekuja kwetu afahamu namba zetu za waathirika zimepandisha na huwa tunazitaja bila uwoga. Hatua za kwanza na muhimu kwenye kupambana na huu ugonjwa ni kuondoa uwoga na kukumbana nawo, kupima na kujua hali yako na kuitolea taarifa pia.
Hahahahaha naona corona inawanyoosha pamoja na kutangaza kwenu wakati sisi tunapeta tu. Haya marafiki zetu USA wamewakataa hawataki kuja kwenu mna corona ila sisi tusiopima wameruhusiwa kuja!! Mmezidi kujipendekeza kwa mabeberu ona sasa yanawanyoosha!!Wako sahihi, maana sisi hatufichi hali ya corona kwetu na hautasikia tukilialia na kujichokea kama Watanzania kila tukitajwa, yeyote anayekuja kwetu afahamu namba zetu za waathirika zimepandisha na huwa tunazitaja bila uwoga. Hatua za kwanza na muhimu kwenye kupambana na huu ugonjwa ni kuondoa uwoga na kukumbana nawo, kupima na kujua hali yako na kuitolea taarifa pia.
Duh wana watupa tuHapana mmarekani kaongea kweli.kuhusu kenya Hali ni mbayaa sanaa. Watu wanakufa sana.hadi wengine wanakosa sehemu za kuzikiwa wanatupwa tu
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Duh wana watupa tu
Duh chief upo kenya au unawashakizia tuKila sehemu huko kenya maiti..
Corona itawamaliza
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Duh chief upo kenya au unawashakizia tu
wakenya wanapenda kusikia hivyo ili waongezewe mkopo na IMF toka ile usd 1 billion waliopewa.,..mbaya zaidi ela yote inaishia kwa kenyata na ukoo wake ...shameDuh chief upo kenya au unawashakizia tu
Duh kama hali ipo ivyo kweli wanahitaji maombi ..nq pale Nairobi si pana ofisi ndogo ya WB ya kanda bila shakawakenya wanapenda kusikia hivyo ili waongezewe mkopo na IMF toka ile usd 1 billion waliopewa.,..mbaya zaidi ela yote inaishia kwa kenyata na ukoo wake ...shame
Akili mbovu za kikenya mzungu akiingia kenya akai karantini ila mwafrika mnampeleka karantini,mmefunga shule na vyuo hadi mwakani lkn mkafungulia utalii sasa hiyo akili au matope!Kenya tungekua na akili finyu kama zile za jiwe tungeban ndege za US kutua Kenya sababu Trump ameban Kenya kwenda US [emoji23][emoji23]
Danganyika ni kituko cha nchi.
Duka la Mangi lipo karibu majirani ni kukopakopa tu subiri waje uziwa nyumba wako ndani World Bank Approves $1 Billion Financing for Kenya, to Address COVID-19 Financing Gap and Support Kenya’s EconomyDuh kama hali ipo ivyo kweli wanahitaji maombi ..nq pale Nairobi si pana ofisi ndogo ya WB ya kanda bila shaka
Sorry iyo ni mkopo au msaadaDuka la Mangi lipo karibu majirani ni kukopakopa tu subiri waje uziwa nyumba wako ndani World Bank Approves $1 Billion Financing for Kenya, to Address COVID-19 Financing Gap and Support Kenya’s Economy
Wakenya kuongea kizungu wanajionaga kama wao ni wazungu watu wa west..kumbe ni ka nchi kamoja maskin sana dunian..wakenya wanaringia kuongea kizungu.hahahahah...mkikaribia vifo 500 utupe mrejesho...mbona takwimu za ukimwi.malaria.kipindupindu kifua kikuu hamwek hadharan...pum.bafu kwelWako sahihi, maana sisi hatufichi hali ya corona kwetu na hautasikia tukilialia na kujichokea kama Watanzania kila tukitajwa, yeyote anayekuja kwetu afahamu namba zetu za waathirika zimepandisha na huwa tunazitaja bila uwoga. Hatua za kwanza na muhimu kwenye kupambana na huu ugonjwa ni kuondoa uwoga na kukumbana nawo, kupima na kujua hali yako na kuitolea taarifa pia.
ah ah mzungu akupi bure kila mtu angetaka...lazima wailipeSorry iyo ni mkopo au msaada