Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Nchi ya mfano imekuwa kituko
Tanzania sasa hivi ni nchi ya mfano sana ndiyo maana wanapiga kelele hivyo. Zamani tukiwa shamba la bibi walikuwa hawasemi kitu; na hata nchi zote zinazotuzunguka kama Rwanda ambayo inaongozwa kimabavu sana hawaisemi kwa vile haina manufaa sana kwao. yeye anshiwndwa kuzungumzia jinsi wapiga kura wa Marekani wanavyobanwa wasipige kura anakuja kuongelea mambo ya Tanzania.
Yaani wanajikangaja sasa; balozi ambaye ndiye yuko Tanzania anaongea mambo mengine, wakati yeye yuko huko milimani Idaho anaongea mambo mengine ya kufikirika tu.
 
Nchi yetu itafanya uchaguzi na CCM tutashinda maana tumejipanga. Kama unategemea eti Seneta wa Marekani ndio amuingize Lissu madarakani na sio wananchi wa Tanzania, jiulize alivyoondolewa kwenye Ubunge ilikuwaje pamoja na kuzunguzuka dunia nzima akiloloma?
 
Marekani mfumo wao wa sheria ni madhubuti na hauingiliwi atakaeona ameonewa atapewa haki yake tofauti na sisi huku wanakuuwa bila aibu ukionyesha kutaka haki. Magufuli ni aibu kwa taifa kwavyovyote vile ameshatupa sababu ya kubadili katiba ili kumpunguzia rais madaraka vinginevyo maraisi wasio na aibu Kama yeye watakuwa hawadhibitiki waki messup.
 
Nchi yetu itafanya uchaguzi na CCM tutashinda maana tumejipanga. Kama unategemea eti Seneta wa Marekani ndio amuingize Lissu madarakani na sio wananchi wa Tanzania, jiulize alivyoondolewa kwenye Ubunge ilikuwaje pamoja na kuzunguzuka dunia nzima akiloloma?
Mnajisifu kwa uonezi sio hii ndio inatupa sababu za kupiga kura za hasira 2810 dhidi ya nduli.
 
Wajitahidi tu watende haki kusiwe na figisu zitakazoleta mushikeli, kwa mfano mambo ya kukata majina ya wagombea yameleta picha mbaya pia yakae sawa.

Hivi umeshapewa taadhali kwamba jitahidi kutenda haki maana yake unafatiliwa ,sasa issue za kuleta maswali hasa kwenye vitendo na matamko viwe sawa.

Mambo ya kusema mabeberu nayo waachane nayo wao watende haki maana mpaka waweke msisitizo hivyo maana yake ukijifanyia unavyojua utabeba hizo mushikeli kwa kupenda.
 
Mnajisifu kwa uonezi sio hii ndio inatupa sababu za kupiga kura za hasira 2810 dhidi ya nduli.
Hata sisi wenye mapenzi mema na nchi hii tutapiga kura za hasira dhidi ya mtu aliyetumwa na mabeberu. Na tutashinda!!
 
Siku nikipata fursa ya kuwa rais wa Taifa hili kitu chakwanza nitakachokifanya nikuvunja uhusiano wa Aina yeyote ule na hili Taifa linalosadikika Lina nguvu kuliko mataifa yote(Kwangu huwa naliona Kama Taifa la kishetani).

"Sitakubali kuachia madaraka katika Uchaguzi ujao" D. Trump.
Taifa tangu miaka na miaka Lina vyama viwili tu vya siasa na haliruhusu usajiri wa vyama vingine vipya halafu lisivyo na haya linajiita Taifa nguli la demokrasia ( Ni wajinga tu ndo wanaamini huu ujinga).

USA is the beast nation in the world,, I so hate it.
 
Lisu ameanza kutetea maskini wa nchi hii kabla hata wewe mjinga hujawa na akili nenda nyamongo kamuite lisu wakala wa mabeberu uone kama hawajakukata kichwa CCM ndio imeleta mikataba ya kifisadi toka tumepata Uhuru na Lissu ndio alikuwa anawatetea nyamongo Leo hii mnamuita waiala hamuoni hata aibu.
Hata sisi wenye mapenzi mema na nchi hii tutapiga kura za hasira dhidi ya mtu aliyetumwa na mabeberu. Na TUTASHINDA!!!
 
Wanaweza kuvimba kwa kutukaanga wananchi kwa kuwa pesa kiduchu watakopata itakuwa inawasaidia kulipana salaries but mfumo wa uchumi lazima ukolapse ,wakichokana huko ndani ndio huwa wanapinduana

Ukweli ni kwamba hawana misuli ya kiuchumi kushindana na mabeberu,imagine wasinunue madini itabakia magendo tu kwenda china nk, transaction zitakuwa magendo,utalii hakuna,bandari itacollapse kuingiza mizigo,bado misaada yoote ya kibajeti ,elimu na afya ambayo mabeberu wanasaidia vitapigwa chini.

Nakumbuka kipindi Cha JK Tzn ndio nchi pekee ya kiafrika ikiongoza kupata pesa nyingi kutoka Marekani kwenye sekta zote ambazo mabeberu wanasaidia Afrika .Baada ya Magu misaada mingi ilipunguzwa sasa kufidia gepu ndio maana amekopa kuliko kawaida.

Wenzie akina Nyerere pamoja na sera zao za kijamaa walijua kula na kipofu na hata aliponea mapinduzi kadhaa kwa msaada wa mabeberu tena kipindi Cha vita baridi na ukombozi ambapo viongozi wenzie walipinduliwa na wengine kuuwawa.

Duniani hapa tunapita hakuna haja ya kiburi kisicho na tija na kujua tu kula na mabeberu.Tena mabeberu ni wabaya Sana wakipata dikteta anayekula nao wananchi hasa wapinzani mtaumia hakuna wa kuwasikiliza unless mjioorganise muitimue serikali nao wanahamia upande wenu maana wao wako after maslahi tu
 
Lisu ameanza kutetea maskini wa nchi hii kabla hata wewe mjinga hujawa na akili nenda nyamongo kamuite lisu wakala wa mabeberu uone kama hawajakukata kichwa CCM ndio imeleta mikataba ya kifisadi toka tumepata Uhuru na Lissu ndio alikuwa anawatetea nyamongo Leo hii mnamuita waiala hamuoni hata aibu.
Wewe sio mjinga. Wazazi wako ndio wajinga walioweza kuzaa toto kama wewe. Unamlinganisha Lissu aliyewatetea watu wawili watatu wa Nyamongo na Rais Magufuli anayewatetea na kuwajengea misingi imara Watanzania wote (na wazazi wako wajinga wakiwemo) ili wawe matajiri kama wengine duniani!!??????
 
Tell them to mind their own business.
As a super power, they have a noble duty to speak for and defend the voiceless majority of Tanzanians that have been under the oppression of ccm dictatorship for 60 years now
 
Wewe sio mjinga. Wazazi wako ndio wajinga walioweza kuzaa toto kama wewe. Unamlinganisha Lissu aliyewatetea watu wawili watatu wa Nyamongo na Rais Magufuli anayewatetea na kuwajengea misingi imara Watanzania wote (na wazazi wako wajinga wakiwemo) ili wawe matajiri kama wengine duniani!!??????
Embu kawaeleze hayo wazazi na ndugu wa Ben Sa8, Azory Gwanda, Akwilina... na wale mamia wa kwny viroba, pia na wahanga wa ubomoaji wa Kimara kinyume na amri ya mahakama kuu!!!
 
Nchi yetu itafanya uchaguzi na CCM tutashinda maana tumejipanga. Kama unategemea eti Seneta wa Marekani ndio amuingize Lissu madarakani na sio wananchi wa Tanzania, jiulize alivyoondolewa kwenye Ubunge ilikuwaje pamoja na kuzunguzuka dunia nzima akiloloma?
He was just a mere mbunge hakuwa na maslahi ya urais,risasi zimemfanya ku build career ndio maana kapata jukwaa la kuongea na dunia sasa ana vie for post yenye maslahi na wazungu pia.Wazungu hawamuingizi mtu madarakani bali wanasapoti mtu wanaeweza fanya nae kazi,tutakaomuingiza madarakani ni sisi wapiga kura,ashinde au ashindwe kwa haki tofauti na hapo you will be in trouble
 
Ila humu kwa sasa sio huru tena, nimeshituka bora kupata habari twitter kwa huu muda, hii forum ni kama imebinasifishwa
 
Back
Top Bottom