Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Waache yaani huu mwaka either tucheke wote au tulie wote
Ni wakati wa Tanzania kufanya maamuzi magumu kweli mwaka huu!! Magufuli dunia imemkataa na hata sie watanzania hatumtaki!! Tukiendelea kumkumbatia ni majuto makuu. Tutajuta kweli maana vikwazo vya kiuchumi havitatuacha salama, uwe tiss, jwtz, polisi , nec, magereza, mfanyakazi, mkulima, mstaafu, mfanyabiashara, mmama, kijana au mzee ni umasikini kupindukia na majuto makuu. Hakutakuwa na hela za pensheni, madawa hospitalini, mishahara itachelewa na wakati mwingine kutokuwepo kabisa na mwisho bidhaa zitapanda bei na kukosekana kwa vitu muhimu Kama sukari, sabuni na vingine vingi!!

TUACHANE NA JIWE ILI TUPONE AU TUMKUMBATIE JIWE ILI TUJUTE NA TUFE???
 
Ila humu kwa sasa sio huru tena, nimeshituka bora kupata habari twitter kwa huu muda, hii forum ni kama imebinasifishwa
Tatizo humu watu wengi wakiingia wanatumia miguu zaid kufikiri kuliko vichwa
 
Suspending campains of leading opposition candidate on Bogus charges ..hiyo statement imebeba uzito sana
Tusipoikemea hii tume italiangamiza taifa
 
Kunakaribia kukucha.

Jiwe katuharibia sana hii nchi, Tatizo watanzania wengi si waelewa.

Hii ni Dalili kuwa utawala wa Jiwe unapingwa kila kona Watanzania wengi hatumpendi Magufuri, Wazungu hawampendi Magufuri, watetezi wa haki za binadamu hawampendi Magufuli, mashirika ya umoja wa mataifa na msaada hayampendi Magufuli.

Kwaheli Magufuli, kwaheriCCM, kwaheri ukoloni, Kwaheri umasikini.
Mimi ni miongoni mwa WATANZANIA WENGI......

Nyie mnaojifanya waelewa mna mchango gani kwenye maendeleo ya nchi yetu?

Kutwa kuchwa tunawaona mkipinga na kuzomea hatua zote za maendeleo yetu.

Mnakuja na agenda za kishetani na kuwatafuta maadui wa nchi ili wawasaidie kuibana serikali ili hatimaye wawasaidie kushika usukani wa nchi.

Kiukweli sisi Watanzania walio wengi hatuwaamini wala hatutaingia mtego wa kuwapigia kura nyie mabozo
 
Kunakaribia kukucha.

Jiwe katuharibia sana hii nchi, Tatizo watanzania wengi si waelewa.

Hii ni Dalili kuwa utawala wa Jiwe unapingwa kila kona Watanzania wengi hatumpendi Magufuri, Wazungu hawampendi Magufuri, watetezi wa haki za binadamu hawampendi Magufuli, mashirika ya umoja wa mataifa na msaada hayampendi Magufuli.

Kwaheli Magufuli, kwaheriCCM, kwaheri ukoloni, Kwaheri umasikini.
Sisi darasa la 7 tutampa kura za kishindo JPM,mna madharau sana Chadema sasa jiandaeni October 28th.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI
 
Hawa hawa wanao mpamba Jiwe watamgeuka siku, Mugabe alikuwa na wapambe hawa wa Magu ni cha mtoto ila mwoshoni mara baada ya mambo kuwa magumu walimgeuka, it the matter of time
Mugabe walimbeba sana ikafika Muda wazimbabwe wakawa wanakufa kea kukosa huduma za msingi ila yeye akiumwa na familia yake wanaenda Singapore.
Ndo jeshi la Zimbabwe lilipokuja kupata akili kuwa kumbe adui wa Zimbabwe sio wazungu ila ni Mugabe mwenyewe.

Tanzania tuna nafasi adimu mwaka huu kumtoa huyu Jiwe kwa njia ya sanduku la kura. Tusipomtoa kweli mwaka huu tutajuta vizazi na vizazi
 
Siku nikipata fursa ya kuwa rais wa Taifa hili kitu chakwanza nitakachokifanya nikuvunja uhusiano wa Aina yeyote ule na hili Taifa linalosadikika Lina nguvu kuliko mataifa yote(Kwangu huwa naliona Kama Taifa la kishetani).

"Sitakubali kuachia madaraka katika Uchaguzi ujao" D. Trump.
Taifa tangu miaka na miaka Lina vyama viwili tu vya siasa na haliruhusu usajiri wa vyama vingine vipya halafu lisivyo na haya linajiita Taifa nguli la demokrasia ( Ni wajinga tu ndo wanaamini huu ujinga).

USA is the beast nation in the world,, I so hate it.
Ww Ni mtu au jini ?!
 
Ukitaka kuona kuwa hilo lilikuwa Ni njama, NRA na CCM Ni Lini wakawa na ushahidi kuwa Lissu alisema uongo kuhusu rais kuwaita wakurugenzi wote Ikulu ili kupanga nao njama za kuvuruga uchaguzi. NRA na CCM siyo watumishi wa Ikulu kwahiyo hapa wametumika kushawishi eti vyama vingine 13 kuweka ushahidi Lissu afungiwe siku 7. Hata yule ambaye Ni mbumbumbu ataelewa kuwa maamuzi ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi huu kwa ngazi ya urais Ni danganya Toto. Tutajionea mengi
 
Hii nchi inaogonzwa na kikundi cha kihalifu cha interahamwe!
JamiiForums1919549679.jpg
JamiiForums-1039153343.jpg
JamiiForums-962518783.jpg
JamiiForums-1466259782.jpg
JamiiForums-5386920.jpg
JamiiForums-263552358.jpg
JamiiForums2044119467.jpg
450908765.jpg
 
Mimi ni miongoni mwa WATANZANIA WENGI......

Nyie mnaojifanya waelewa mna mchango gani kwenye maendeleo ya nchi yetu?

Kutwa kuchwa tunawaona mkipinga na kuzomea hatua zote za maendeleo yetu.

Mnakuja na agenda za kishetani na kuwatafuta maadui wa nchi ili wawasaidie kuibana serikali ili hatimaye wawasaidie kushika usukani wa nchi.

Kiukweli sisi Watanzania walio wengi hatuwaamini wala hatutaingia mtego wa kuwapigia kura nyie mabozo
Umerogwa weye, sio bure!
 
Naona mnajipa moyo, mwaka huu tutacheka wote au tutalia wote
Nadhani lugha ya kiingereza ni tatizo, definition ya errors mnaijua vizuri? Errors maana yake ni vikosa vidogo vidogo sana, that means Mh. Magufuli in his past 5 years of leadership, amefanya vikosa vidogo vidogo sana, in other words hakufanya mistakes, yaani makosa makubwa, hivyo Mh. Magufuli ni kiongozi bora kwa msingi huo, hizo errors sio issue kabisa. Ufipa followers, did you hear me?
 
Nakuambiaje tutalia wote plus hao CCM, tukipigwa vikwazo tutalia wote
Ni wakati wa Tanzania kufanya maamuzi magumu kweli mwaka huu!! Magufuli dunia imemkataa na hata sie watanzania hatumtaki!! Tukiendelea kumkumbatia ni majuto makuu. Tutajuta kweli maana vikwazo vya kiuchumi havitatuacha salama, uwe tiss, jwtz, polisi , nec, magereza, mfanyakazi, mkulima, mstaafu, mfanyabiashara, mmama, kijana au mzee ni umasikini kupindukia na majuto makuu. Hakutakuwa na hela za pensheni, madawa hospitalini, mishahara itachelewa na wakati mwingine kutokuwepo kabisa na mwisho bidhaa zitapanda bei na kukosekana kwa vitu muhimu Kama sukari, sabuni na vingine vingi!!

TUACHANE NA JIWE ILI TUPONE AU TUMKUMBATIE JIWE ILI TUJUTE NA TUFE???
 
Ni wakati wa Tanzania kufanya maamuzi magumu kweli mwaka huu!! Magufuli dunia imemkataa na hata sie watanzania hatumtaki!! Tukiendelea kumkumbatia ni majuto makuu. Tutajuta kweli maana vikwazo vya kiuchumi havitatuacha salama, uwe tiss, jwtz, polisi , nec, magereza, mfanyakazi, mkulima, mstaafu, mfanyabiashara, mmama, kijana au mzee ni umasikini kupindukia na majuto makuu. Hakutakuwa na hela za pensheni, madawa hospitalini, mishahara itachelewa na wakati mwingine kutokuwepo kabisa na mwisho bidhaa zitapanda bei na kukosekana kwa vitu muhimu Kama sukari, sabuni na vingine vingi!!

TUACHANE NA JIWE ILI TUPONE AU TUMKUMBATIE JIWE ILI TUJUTE NA TUFE???
Tatizo hayo mataifa ya nje nayo hayaaminiki, kwa mtazamo wangu chini ya jpm wangetufungia kila kitu tu tujifunze, haiwezekani tuwe na rais katili kiasi hiki....
 
Vilevile kumekuwa na hours kuwa matokeo ya uchaguzi huo yatachelewa kutolewa kwa sababu uhesabuji kura katika baadhi ya majimbo utaendelea kwa siku 4 baada ya vituo vya kupiga kura kufungwa.
Yaana na teknolojia zote walizonazo wanadiriki kuja na sababu hii ya kuabisha!? Halafu wanapata morari eti wa kushauri namna ya kuendesha uchaguzi!!
 
Jiwe katuharibia sana hii nchi, Tatizo watanzania wengi si waelewa.
Hao wengi ndio watakaoleta ushindi wa kimbunga Kwa JPM, ingawa Kwa wewe unawaona si waelewa!

SASA utashangaa, prof mzima unalazimishwa kufuata matakwa Ya hao wengi ambao si waelewa kwako na mlio waelewa Kwa vile mko wachache, mnakuwa mnapata wapi ujasiri wa kujiaminisha eti mtashinda?

Huku mseme mko wachache, halafu mara mseme mtashinda ijapokuwa mnawatambua walio wengi ambao hawako upande wenu? Siwaelewi ujue!!
 
Hao wengi ndio watakaoleta ushindi wa kimbunga Kwa JPM, ingawa Kwa wewe unawaona si waelewa!

SASA utashangaa, prof mzima unalazimishwa kufuata matakwa Ya hao wengi, ambao si waelewa, na mlio waelewa Kwa vile mko wachache, Endeleni kuwaelimisha hao wengi
Amini nakwambia Magufuli hashindi uchaguzi wa mwaka huu!! Wajinga Tanzania ni wachache sana!!
 
Hakuna namna ni CCM kujiandaa kisaikolojia kukabidhi nchi kwa amani! Watambue kuwa hata nje ya kushika dola kuna maisha! Kuna kauli moja ya kizungu inasema"You Can't Lie All The Peaople All The Time! "!....Huwezi kudanganya watu wote siku zote, Lazima tu kuna wenye akili watang'amua!
 
Back
Top Bottom