Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020

Naye huyo mwenyekiti ni mjinga kama wengine asemee ya Donald atuache na yetu kama kweli demokrasia wanaijua
 
Hii ndo demokrasia we kilaza. Kama Rais mwenyewe anaogopa upinzania maana yake demokrasia imekomaa sana. Anaogopa kuibiwa wakati hapa Tanzania JPM ana uhakika wa kuiba.
 
Hakika JPM kawashika mabeberu. Mungu mbariki Magufuli
 
Kuna watu wanaamini Marekani, Umoja wa Ulaya na Wakili Robert Amsterdam wanatania mwaka huu ila napenda tu kuwaambia sio mbali dunia inaanza kusoma makala za Kuanguka kwa Tanzania Kama ilivyosoma kwa miaka mingi makala za kuanguka kwa Zimbabwe!

Ni tukubali ujinga wa Magufuli na watu wake then nchi yetu ianguke vibaya kiuchumi na watu wawe mafukara kupindukia ikiwemo wazazi na ndugu zetu??? Au tukubali matakwa ya demokrasia ili nchi yetu istawi vizuri kiuchumi na iwe mfano bora Africa?
 
We huna unacho jua, Marekani ndo Baba wa Dunia, internet hii unayo jidai nayo ni ya kwao wao, Google ni ya kwao, faceboom ya kwao, Insta ya kwao twitter ya kwao, whataspo ya kwao, wewe una nini zaidi ya makende na kuzaliana tu kama nyoka?
Naye huyo mwenyekiti ni mjinga kama wengine asemee ya donald atuache na yetu kama kweli demokrasia wanaijua
 
Kichaa katika ubora wako
 
Waache yaani huu mwaka either tucheke wote au tulie wote
 
We huna unacho jua, Marekani ndo Baba wa Dunia, internet hii unayo jidai nayo ni ya kwao wao, Google ni ya kwao, faceboom ya kwao, Insta ya kwao twitter ya kwao, whataspo ya kwao, wewe una nini zaidi ya makende na kuzaliana tu kama nyoka?
Wanadhani Marekani ni Amber Rutty!! Achana nao vilaza wa Lumumba hawa
 
Hawa hawa wanao mpamba Jiwe watamgeuka siku, Mugabe alikuwa na wapambe hawa wa Magu ni cha mtoto ila mwoshoni mara baada ya mambo kuwa magumu walimgeuka, it the matter of time
 
Nyota njema inaanza kuonekana.
 
Nadhani lugha ya kiingereza ni tatizo, definition ya errors mnaijua vizuri? Errors maana yake ni vikosa vidogo vidogo sana, that means Mh. Magufuli in his past 5 years of leadership, amefanya vikosa vidogo vidogo sana, in other words hakufanya mistakes, yaani makosa makubwa, hivyo Mh. Magufuli ni kiongozi bora kwa msingi huo, hizo errors sio issue kabisa. Ufipa followers, did you hear me?
 
Kwa uelewa wako Marekani ina biashara gani kubwa na Tanzania?Nyie mliongelea mambo ya kwao wakakataa?Balozi ni senator?Think big.
 
Ufahamu wako umenihuzunisha mnoo.Neno dogo kiasi hicho linakupiga chenga maana,sasa wawezaje kujisema mbele za watu unajua kiingereza?
 
Upumbavu wako!! Yaani tuna mfano katika lipi? BINADAM ukinyimwa uhuru huna zuri lolote utakalofanyia lika replace utu na uhuru wako chukua mfano km Mwalimu Nyerere angekuwa hai leo unafikir angeunga Mkono hoja??una kumbuka alivomzodowa MWINYI baada utawala wa sheria kupuzwa ktk Kipindi chake ?? Dunia Ina hitaji nn kwenu??
Walumumba si bure mmerogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…