Marekani yawatahadharisha raia wake wanaotaka kuitembelea Tanzania dhidi ya Ugaidi na uhalifu

Wanaanza taratibu halafu wanawapa silaha watu na kuanza kuingiza watu wao wa kuwafunza namna ya kulipua
Hawa ni wabaya kuliko tunavyowafikiria
Wapo wanaofurahia na inawezekana wapo wanaowasha moto huu bila kujua kuwa kuzima kwake ni miaka 30

Wachunguzwe wanafiki hao wanaolianzisha la sivyo itakuwa too late
Huwa wanaanza na kuwachanganya watu kwanza halafu kikiwaka watasema tuliwatahadharisha
 
Hii taarifa ni nzito mno!

Halafu mbona kama ni organized crime ambayo tayari jamaa wana data nayo za kutosha? Ina maana Ngosha kawabana kiasi cha jamaa kuamua kutaka kutugeuza Syria mapema hivi..

Yaarabi!
 
Wewe acha mnazidi kujidhalilisha. Classification za security level zimefanywa so kwa Tanzania pekee. Kenya na uganda ziko group moja na Tanzania sasa singling ya nini.Watulie dawa iwaingie Makonda anawaumiza vichwa mataifa makubwa.Yote ni chuki ya kunyimwa wizi wa madini.Wangekuwa wanapenda demokrasia wangehakikisha uchaguzi kongo unafanyika lakini wao ndiyo wanahujumu.poor wafadhili
 
Hii taarifa ni nzito mno!

Halafu mbona kama ni organized crime ambayo tayari jamaa wana data nayo za kutosha? Ina maana Ngosha kawabana kiasi cha jamaa kuamua kutaka kutugeuza Syria mapema hivi..

Yaarabi!
Mnajidanganya
 
Unakataa kwamba Tanzania hamna ugaidi?
 
Yani kwa akili yako ya kayumba unaamini Makonda anawanyima usingizi?
 
Watapoteza muda nchi iko imara. Mwisho wake watasalim amri kama walivyofanya kwa Kiduku. Mungu wa kweli anailinda Tanzania wahangaika lakini hawatashinda
 
Ningekuwa raisi WA tanzania huyo bzlozi WA marekani ningemuhita ili atoe ushaidi WA hayo ambayo yametolewa na nchi yake maana wanachafua taswira ya nchi yetu
 
Sielewi
 
Watapoteza muda nchi iko imara. Mwisho wake watasalim amri kama walivyofanya kwa Kiduku. Mungu wa kweli anailinda Tanzania wahangaika lakini hawatashinda
You sound worried!
 
Hawa wangese tu, Wangeenda moja kwa moja kwenye mada kwamba ni Gays tu ndio hawatakiwi. Vinginevyo wanafanya jambo ambalo hata kwao kupigwa risasi ni Zaidi ya hapa bongo. Bora uwe mkimbizi bongo kuliko USA.
 
Basi wapinzani hapa wanafurahiii, hahahaha. Acheni ujinga. Tz ni sehemu salama kabisa. Mungu wetu alishaamua kusimama na sisis, lazima tutoke hapa tulipo
 
Ulinganisha kwa matukio kwa mwaka jana peke yake Marekani wstu wameuawa wengi kuliko Tanzania Uganda na Kenya. Tena wahusika Domestic terrorism. Hawa watadanganya wafuasi wa UKAWA na hii habari
 
August 12, 2017 - One person is killed and 19 are injured when a speeding car slams into a throng of counterprotesters in Charlottesville, Virginia, where a "Unite the Right" rally of white nationalists and other far right organizations was coordinated to protest the city's decision to remove a statue of Confederate Gen. Robert E. Lee. James Alex Fields Jr., suspected of driving the deadly vehicle, is later indicted on 30 counts, including a hate crime resulting in death and bodily injury, and racially motivated violent interference with "federally protected activity" of using public streets. On September 14, 2017, President Donald Trump signs into law a congressional "joint resolution condemning the violence and domestic terrorist attack" that took place in Charlottesville.
October 31, 2017 - Eight people are killed and almost a dozen injured when a 29-year-old man in a rented pickup truck drives down a busy bicycle path near the World Trade Center in New York. The suspect has been identified as Sayfullo Habibullaevic Saipov. Authorities found a note near the truck used in the incident, claiming the attack was made in the name of ISIS, a senior law enforcement official says.
 
Hivi wale wa Rufiji tumewasahau au vipi? Walio angusha Askari wetu pale Rufiji. Jambo la msingi hili suala lifatiliwe isije wakarudi. Mimi sijaona kitu ambacho marekani ana interest na Tanzania.

Mambo walio yasema nchi yoyote duniani inapenda kuwatadharisha wananchi wake pindi wanapo ona Hali ya Hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…