Maria Sarungi amemharibia babake: mazishi yake si ya kuongozwa na Ridhiwani

Sahihi kabisa, mzee amezikwa na hakuna kitakachobadilika
 
Kwani Mtoto ni Maria Tu, ficha Ukonga wako
 
U hawa umekuondolea busara kabisa.What a waste of a sperm?
Babako angekupiga nyeto kuliko alivyokuleta duniani kupata fedheha!
 
Angeongoza Rais, Mzee angezikwa huku anajisikia Raha?
 
RUBISH!
 
Kwamba kuzikwa na viongozi wa serekali ndio heshima sana ama? Anayetetemekea kuzikwa ma serekali ndio ataona kuzikwa kama Sarungi ni kupungua hadhi. Endeleeni kutishia wanaoona fahari ya kuzikwa na serekali.
 
Mazishi mazuri ni yapi?....yana msaada gani kwa marehemu?....
Hivi kumbe wewe ni mpumbavu sana...unasifia mazishi?....
 
Punguza jaziba mkuu
 
Nyie watu wa aina hii huwa mnaokotwa wapi? Nimesikitika sana.
 
TOTO JINGA SANA HILO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…