Maria Sarungi amemharibia babake: mazishi yake si ya kuongozwa na Ridhiwani

Wajinga wengi sana. Kwahiyo wamemkomoa maiti kisa mtoto wake,🚮🚮🚮🚮🚮
 
Rejea mawe uliyorushiwa na wanajukwaa kisha ujitafakari. Ningekuwa mimi ningewaomba moderators wafute uzi
 
Uhai ni jambo la msingi bora baba yake kazikwa , naye huko aliko anapewa rambirambi katika wakati huu mgumu wa majonzi anamwombolezea baba yake huko huko aliko na baba yake hata kama amekufa lakini roho yake inamwombea Maria Sarungi maisha marefu na yenye mafanikio.
 
Umeandika UPUMBAVU
Kwa hiyo kuisifia CCM na kujiunga na serikali kandamizi ndiyo fahari ya mtoto kwa Baba yake?

Nina Hakika Baba huko alipo anafuraha kuona mwanaye anapambana kwa kila namna kuhakikisha serikali kandamizi ya Samia inaondoka.
 
Walaaniwe waliomsusa Professor Sarungi, mbona hao ngedere hawajamsuma Amani Karume kwa sababu za Fatma Karume na upumbavu wake.
 
Kwani hata msiba usingesuswa Sarungi angefufuka??? Na je kwann huu utamaduni wa kijinga kuhukumu watu kwasababu ndg zao ni wapinzani unaota mizizi??? Huu ubaguzi utakuja kujutiwa mtu ahukumiwe kwa kosa lake sio uonevu na kujumlisha jumlisha
 
Marehemu huwa hawana kosa.
Lakini najiuliza, hivi kwa nafasi yake kifamilia, Mzee Sarungi alishingwa kumkanya mwanawe ?
 
Hivi mawaziri wastaafu wangapi wamefariki bila maziko yao kugeuzwa suala la taifa? Kwa mawazo yangu bila yeye kuwa mzazi wa Maria, marehemu angezikwa kama alivyoishi. Minding his own business na kutojihusisha na mambo ya jamii. Inabidi tuheshimu faragha za wale waliokuwa viongozi. Hamna sababu yeyote ya kumzungumzia Maria katika wakati huu mgumu nje ya kumpa pole na kumuomba Mwenyezi amfariji yeye na ndugu zake katika wakati huu wa majonzi kwao.

Tunachokifanya ni pathetic.

Amandla...
 
Idiot
Ndio nyie mkiwa mwenye maamuzi mnauza nyumba ya mzazi kisa m



Sarungi sio mkuu kuliko Yeshua Masihi au Yesu au Issah .
Yesu alizikwa na mtu mmoja .
Pilato hakuhudhuria mazishi ya Masihi Yeshua .
Makuhani na pia Herode hawakuhudhuria mazishi ya Yesu , kwa sababu ulikua ni utawala wa Shetani.
 
Kama kweli viongozi wamesusia wafiwa na miati kwa sababu tu ya mtoto wao (wafiwa) kutetea haki, kuitaka serikali itende haki kwa raia wake hawana utu, ubinadamu na hawatufai .
 
Hayo Mazishi ilitakiwa aongoze Binam Bananga
 
Mbona we unatoa ushauri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…