ofisa
JF-Expert Member
- May 15, 2011
- 4,340
- 4,069
Tafuteni kazi,tafuteni mitaji mfanye kazi au biashara.Hao mnao wafuata wanafurahi kuona mnawafuata lakini si hivyo.pigeni kazi,
JPM PIGA KAZI.wapiga mayowe wachache wasitusimamishe.
JPM PIGA KAZI.wapiga mayowe wachache wasitusimamishe.
Asante! Namshukuru Mzee Sarungi kwa kutupatia damu ya Kizungu, ni damu zenye akili na Jasiri itatusaidia kuliokoa Taifa hili.
Hata damu ya Kizungu iliyoko mwilini mwa Lissu baada ya kuwekewa damu ya kitasha huko Ubelgiji hospitali, imeongeza ujasiri wake na akili mara dufu, ndiyo maana vilaza wa Lumumba wanamshindwa kwenye kila move yao!
Vijana, mnaoenda huko nje masomoni, oeni wazungu mtuchanganyie damu tupate vizazi vya magenius na majasiri, viiokoe nchi hii kutoka kwa Interahamwe!