Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

Kulingana na Katiba yetu mahakama ni mhimili ulio huru japo majaji huteuliwa na kiongozi wa mhimili mwingine (Rais).
Je, huoni hapo rais anauwezo wa kuteuwa jaji atakaye kuwa ana obey matakwa yake kwa kulinda kibarua chake.
 
Kulingana na Katiba yetu mahakama ni mhimili ulio huru japo majaji huteuliwa na kiongozi wa mhimili mwingine (Rais).
Siku Rais anaongea na Majaji&wanasheria akawaambia kwny mihimili mitatu kuna mhimili mmoja uliojichimbia chini zaidi ya yote na mhimili huo ndio unatafuta hata pesa za kuendesha hizo mahakama hukumsikia mkuu?
 
Sizijui, naomba nifahamishe.
Kimsingi huwezi kuisanction Government either way ndo maana hata kwenye Civil Procedure Code inakuelekeza kwamba huwezi ku attach Government properties, whatsoever wala huwezi kuilazimisha Serikali kitu chochote basically huwezi kuiwajibisha serikali kwa kutumia mahakama za ndani
 
Siku Rais anaongea na Majaji&wanasheria akawaambia kwny mihimili mitatu kuna mhimili mmoja uliojichimbia chini zaidi ya yote na mhimili huo ndio unatafuta hata pesa za kuendesha hizo mahakama hukumsikia mkuu?
Lakini suala la mahakama kuwa huru ni takwa la kikatiba mkuu.
 
Huyu hafi wajomba zake wa -Swiss, Wazungu hawaloganiani wanpendana, akifa tu, wa-scandinavia wanainakata misaada. hkn kunua wala kuuza gharama yake ni kubwa.

Jiwe Bishi halinaga aibu linaweza simama kizimbani ICC likasema ''Niueni basiii! nalifwanya kwa nia njema'' tena linatamka kwa kiswahili. Mburaaa!!!
 
Ni Tanzania pekee ambapo wanaojiita wasomi ndio wajinga wa kiwango cha juu zaidi

Hili nalo litapita bila chochote Kwa kuwa ni mtu mjinga kachukua Jambo la kijinga kuwapelekea welevu!!

Upumbavu ni vigumu Sana kuukwepa ikiwa kiwango cha cha mtu kufikiri kitakuwa chini
 
Maria na Fatma Karume wanatuinua sana wanawake.
Safari hii lazima jitu litinge ICC, ngoja tukamilishe na ile petition...
Tunahitaji sana Iron Ladies hawa nchini kwetu.

Kaamua kufanya kweli, hajaishia kulalamika chinichini tu.

Halafu kaweka mambo wazi bila woga, katika nchi ambayo karibu kila mtu anakubali kutawaliwa na woga.

Halafu utashangaa hizo familia zenye privilege kima Sarungi na Karume wanalalamika, wakati watu wanaoumizwa wengi wamenyamaza tu, au hata wanautetea mfumo dhalimu.
 
Back
Top Bottom