Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Wacha kunifuata fuata na kuniletea nuksi we MATAGAGood message, kumbe sometimes huwa una akili?
Kwani kuna ubaya gani mtu kufurahia kifo cha mbaya wako? Hata Tanzania ilifurahia kifo cha Idd Amin!mimi nina wazazi,dada kama yeye na hata watoto wa kike ninao pia,naushangaa uanamke wake ulivyo tofauti tu,wala sina nia jambo jingine.
baada ya msiba wa mar rais magufuli aliandika wazi"sitaki kuwa mnafiki,nimefurahi kwa kifo hicho,sijui alifurahishwaje!!maana wanawake wakati kama huu,ndio utajua udhaifu wao.
leo tena anakuja na hitimisho lake kwamba kuna kitu baada ya kauli ile ya CDF!!!haya sio maoni ni muendelezo wa tabia ile ile ya kuwaza vitu kwa namna ya ajabu ajabu.
wakati mimi naonekana labda namdhalilisha inawezekana nikaka kueleweka baadae huko kwamba niliona tatizo mapema.
Vikwazo vya mkate wa kila siku vililetwa/wekwa na nani?Hayo ni mawazo ya huyo binti Sarungi.
Kwetu sisi watanzania wa kipato cha kawaida tunamuomba mama Samia atuondolee vikwazo kwenye njia zetu za kujitafutia mkate wetu wa kila siku.
Hoja hujibiwa kwa hoja
Kwani kuna ubaya gani mtu kufurahia kifo cha mbaya wako? Hata Tanzania ilifurahia kifo cha Idd Amin!
Usijifanye hamnazo hujui kuwa huyo baba wa mtu ameua na kujeruhi baba za watu wengi?kumkosoa maria tsehai bila kuzingatia jinsia yake ni kumosea adabu kabisa.yule ni mwanamke vipo vitu hapaswi kufanya kama mwanaharakati bali kama mama au dada au shangazi kama apendavyo kujiita.
leo hii unaandika umefurahi kwa kifo cha rais ambaye ni baba wa mtu,unaijua kesho yako wewe!!!au tunaendeshwa na ubinafsi tu!!!
ndio sababu tunaambiwa kwenye haki ya kutoa maoni unahakikishiwa uhuru kabla,ila uhuru baada ya maoni ni jambo jingine,kukosa uhuru baaa ya maoni sio lazima mamlaka,hata jamii inaweza kukusimanga kwa maoni uliyotoa.
Pia Kabudi sio kiongozi. Ni mlamba viatu. Inge wezekana hata Ndugai ni Snitcher. Hafai kuwa spika wa bunge la SSH. Mama mcha Munguaanze na Bashiru,hata leo
Usijifanye hamnazo hujui kuwa huyo baba wa mtu ameua na kujeruhi baba za watu wengi?
Baada ya vyama vingi Ccm iliamua ijilinde. Ndio hizi sheria za ajabu huanziaKikatiba hiyo nafasi aliyopo samia ni nafasi ya mtoto wa mzee ally hassan mwinyi kule zanzibar.
Kumbuka katiba na sheria za muungano zinaweka bayana kuwa makamo wa rais wa serikali ya jamhuri ya muungano ndie mkubwa wa serikali upande wa Tanzania visiwani......
Sasa sijui huu utaratibu tuliukorogaje hapo katikati na kuwa na makamo wawili yaani makamo bara na yule ambaye anapewa jina la raisi wa zanzibar badala ya makamo wa jamuhuri muungano.....
Huyo unayemshabikia alikuwa anabwabwaja hadharani wakati akijeruhi wenzake sasa kwa nini wengine wafurahi kimoyo moyo? Wacha watu watoe nyongo zao!hakuna ubaya,hata kufanya tendo la ndoa ni haki yako,shida ni pale unapopayuka wakati unashuka mpaka majirani wanasikia.
kwani akishukuru kimoyo moyo anapata hasara gani???
Wafikishie ujumbe wote wanaodhani wana uwezo wa kuhodhi madaraka kinyume cha katiba kwamba wasithubutu wala kujaribu. Yeyote atakaye thubutu au kujaribu kumkwamisha Amiri jeshi mkuu hatokuwa na mwisho mwema.Inshort, kuna genge halitaki kumtii RAIS MAMA SAMIA SULUHU. CDF na JWTZ hawataki huo upumbavu, wao watatii na atae leta fyoko fyoko cha moto atakiona
Watanzania tunawaamini sana waleta maneno kwenye mitandao kiasi wao wanakuwa kama dira yetu.View attachment 1735511
Mwanaharakati Maria Sarungi anaandika
Very unusual statement! Goes without saying that the sitting President is the Commander in Chief, yet Chief of Defence Forces goes out of his way to emphasize that the army will obey President @samia_suluhu_hassan
Kuna haja gani kusisitiza maana sisi wananchi tunajua vyema kuwa Amiri Jeshi Mkuu wetu ni Rais! Huu ujumbe siyo wetu ila kile kikundi alichosema Mama wanauliza “Huyu mama ataweza kuwa Rais” na si ajabu waliongea mengine huko ndani! Ni hivi: [emoji1428] Mh Rais Samia Suluhu Hassan - get used to it!
Asante CDF [emoji1421]
Clearly there must be a lot going on behind the scenes!
Sarungi ni rais wawapi mjomba?Sasa hii ni kumkosea Rais heshima. Tuwe wastaarabu hapa jukwaani.