Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Kumbe dr ulimboka alitekwa kipindi cha magu?? 🤔 🤔 🤔Kwel asee ata dr ulimboka jamaa alimteka yeye bulllshit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe dr ulimboka alitekwa kipindi cha magu?? 🤔 🤔 🤔Kwel asee ata dr ulimboka jamaa alimteka yeye bulllshit
Ukaribu wa dikteta na bwana kasongo ulisaidia kurahisisha mambo, Basigye akanyanyuliwa mzobe mzobe bila kujali kelele za yeyote.Besigye aliweza kufikishwa Kampala.. Maria imeshindikana
Hoja kuchukua nchi au hoja zenu za kipumbavu? Piganieni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya msiibe kura kama uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita, msiandikishe watoto na wafu halafu uje na hoja zako.Kuwaambia kuwa nyie Bado saaaana kuchukua nchi ndo upumbavu?!!! Sasa nchi hiyo achukue nani, lissu au mbowe?!!!!!!
Hawa wa sasa Wanaotekwa na kuuawa wanafanyiwa hvy na JPM kwa njia ya online akiwa kaburini au?
Bado haibadilishi upumbavu uliokujaaa, wewe beba mimba ya mumeo lakini JPM alikuwa muuaji, nijibu Ben Saanane yuko wapi? Au na wewe ulikuwa kimada wa JPM?Ipo siku mtashindwa kubeba mimba za mume zenu na kuanza kumsingizia JPM
Watanzania mnapenda habari za ngono sana.Hawajamlawiti?
Kamuulize mama yako mkuu atakueleza vizuri Ben aliko!Bado hoja ya kipumbavu, kati ya wote ambao walitekwa wakati wa utawala wa JPM ni yupi ambaye serikali yake ilifanya uchunguzi kujua nini kilichotokea? Ushahidi kitabu cha Eric Kabendera kuwa JPM alimbangua risasi ya kichwa, kama unabisha tuambie Ben Saanane yuko wapi?
Marejeo ya mambo yanayoendelea sasa yanarelate vipi kumsafisha muuaji JPM?
Bado haibadilishi upumbavu uliokujaaa, wewe beba mimba ya mumeo lakini JPM alikuwa muuaji, nijibu Ben Saanane yuko wapi? Au na wewe ulikuwa kimada wa JPM?
Inawezekana kuna kitu hukielewi vizuri, hao wanaofanya hayo ni walioasisiwa na JPM. Samia anatakiwa kuwazuia kufanya hayo.JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
View: https://youtu.be/VbRMFq6s_P8?si=bn2t-JTMSFsys_T6
Lissu alikemea fasta lakini Mbowe yuko kimya.
Hapana nimeweka (sarcasm) maana kasema JPM ndo alianzisha utekaji nika mkumbusha ajue ukimboka alitekwa kipindi ganiKumbe dr ulimboka alitekwa kipindi cha magu?? 🤔 🤔 🤔
Wewe ni kilaza!Nashangaa wanaomtetea JPM ,JIWE alifanya ufirauni mwingi.....inasikitisha mtu kuchallenge elimu then unamtoa roho ,mbona aliwaita watoto wa watu ni VILAZA?
Wewe ni kilaza!
yupo anachomwa moto huko kaburiniJPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Mi sizingukagi, kwangu huyu ni katili zaidi plus hana chembe chembe hata ya uzalendo. Waje waniteke.😂 JPM mlisema katili, amekufa ila mambo yanaendelea ety bado katili 😂 labla huo ukatili anafanya online akiwa kaburini
Hapana, ukweli ni kwamba Lissu anauchungu sana na kutekwa na kuuwawa kwa Watanzania.Kwa sababu anamuunga mkono msaliti mwenzie!