Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

Mariam Birian avalishwa pete, anaolewa siku chache zijazo

Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.

Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.

Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.

Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121huyo mwamba nae ni mende?
 
Mtu hupewa wa kufanana nae.

Ndiyo kanuni.

Mhuni hupata mhuni mwenzie, muungwana hupata muungwana mwenzie.

Usitafute muungwana , anza kwanza wewe kujifunza na kuwa muungwana.
 
Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.

Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.

Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.

Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121
Wasukuma wanang'arisha nyota za watu mjini. Wasukuma ni watu na nusu, wamewatoa mrithi watu wengi sana.
 
Back
Top Bottom