Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
not well kivipii kaka...jamaa kala shavuu hapoo maana hata zungukaa sanaa ni kuingia sodomaaa jumlaaWORLD FUCKS , GET MARRIED EVEN IF YOU ARE NOT WELL.....,.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa katoka zake bush kavamia mji kwa pupa na Pesa zake za machungwa huyu hapa Mariam akasema acha atundike daruga
nasikia ndo yule imma aliekuwa anakulaa kituuuu...sema kama sioo ndugu wa jamaa watawashaa motoo aiseee ile video ilaaniwe maana daahMganga wake mkali sana aisee 🤭
Hahaha hii imeendaDereva wa mashua lazima akae nyuma
The same to me.huyuu atakuwa hamjui huyoo demu. mbaya zaidi anakuja kupata video akiwa kashaoa ndo inakuwa mtiti. ata mimi mwenyewe ningekamatika maana nilikuwa sijui kama anavideo chafuu. comment ndo zimenifungua.
Kama ni yule yule basi hakuna hasara haponasikia ndo yule imma aliekuwa anakulaa kituuuu...sema kama sioo ndugu wa jamaa watawashaa motoo aiseee ile video ilaaniwe maana daah
Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.
Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121huyo mwamba nae ni mende?
Shit happens na maisha lazima yaendeleee,
Bora yeye lake moja lilijulikana kuliko hao wengine mnaowaoa wakiwa wameshajivesha ngozi ya Kondoo.
Nini kinakujia kichwani ukisikia jina la amber rutty
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza kuta jamaa ni mdau wa hizo mambo na sio kavamia mji kwa pupa mkuu.Jamaa katoka zake bush kavamia mji kwa pupa na Pesa zake za machungwa huyu hapa Mariam akasema acha atundike daruga
Wanabinyabinya nyanya wananunua bogaWanaminya minya nyanya wananua bilinganya
KabisaUchawi upo
Shida ya watu wa shamba huingia mjini bila hodi kujifanya wajuaji ,mjini na choo cha uswahilini vinaendana kabla kuingia choo uswahilini unapiga hodi hata kama ndani hamna mtu.Jamaa katoka zake bush kavamia mji kwa pupa na Pesa zake za machungwa huyu hapa Mariam akasema acha atundike daruga
Wasukuma wanang'arisha nyota za watu mjini. Wasukuma ni watu na nusu, wamewatoa mrithi watu wengi sana.Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.
Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121