YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Yote mawilijasiri amenasa au amenaswaaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote mawilijasiri amenasa au amenaswaaa?
Umenikumbusha wimbo wa Patricia Hillary anahoji "manahodha wa mashua kwanini wakae nyuma"Dereva wa mashua lazima akae nyuma
nadhani kanasishwa au kanatishwa huyoYote mawili
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia. [emoji23]Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.
Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoniNdo nani
Keshajimaliza.. Hapo ndio anaolewa yeyeMwamba kapiga goti kabisa.
kuna nini cha ajabu hapo mwanaume na mwanamke wakiamua kuoana? Au mpishi hastahili kuolewa?Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Mariam Birian ambaye ni mdada mpika birian maeneo ya Tabata na maarufu huko mitandaoni (wengi mnajua umaarufu wake) amevalishwa pete na anakaribia kuolewa.
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia.
Niwatakie ndoa njema kwa wawili hao.View attachment 2778121
Sahihi Biblia inatamka waziMtu hupewa wa kufanana nae.
Ndiyo kanuni.
Mhuni hupata mhuni mwenzie, muungwana hupata muungwana mwenzie.
Usutafute muungwana , anza kwanza wewe kujifunza na kuwa muungwana.
hapo ndiyo amekera. mambo ya kuiga wazungu hayo. How can a man submitt himself to a woman.Mwamba kapiga goti kabisa.
yaani hamtaki kukubali kabisa kuwa ni penzi la kawaida😀😀Uchawi upo
Akampe mume biriani 😁Kila la kheri kwake😀
Amewahiwa huyo... Bwagamoyo haijawahi kumuacha mtu salama😁Kama unahisi ushaona kila kitu katika dunia hii basi bado.
Huyu mwamba aliyemvalisha Mariam pete ni miongoni mwa wanadamu wenye ujasiri mkubwa sana kuwahi kutokea katika uso wa dunia. [emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Akampe mume biriani 😁
Sometimes ni hawa Marioo.. Maamuzi yote na faranga ni bimkubwaAmewahiwa huyo... Bwagamoyo haijawahi kumuacha mtu salama[emoji16]