Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Marian Schools huduma ya chakula, usafi ni ovyo sana

Naona unamsema mtu ila unashindwa kutaja jina. Basi kalalamike kwa Fr. BAYO.
Ft. Bayo hana shida ila kuna mtu mmoja tu ndiye anayeihujumu Marian hadi inazidi kuporomoka katika rank za shule bora. suala la uchafu wa vyoo na wanavyolazimishwa kufanya usafi wao wenyewe ilibidi nimpeleke shule nyingine ambayo wapo serious na Usalama wa Afya za wanafunzi.

Kwanini St Francis ya Mbeya wawe wasafi sana na chakula kizuri, kwanini Precious Blood au Maria goret ziwe vizuri kwa Milo na usafi.
Watoto wa Marian kila wanaporudi ni kutibu UTI tu. Yaani ada inayolipwa na wazazi ni zaidi ya mara 3 ya shule zingine halafu mnashindwa kuajiri watu wa usafi. Hopeless
 
Maharage yana shida gani? Mbona ni chakula kizuri sana kiafya? Wewe ulitaka ule nini mtoto wetu?

Unaposema ada haiendani na services unamaanisha nini? Service kuu ya shule ni kukufundisha kielimu na maadili. Ulikuwa huelewi? Tabia yako ni mbovu hata sasa?

Wewe ni Mwanafunzi wa Marian kweli? Ama afisa uhusiano wa shule zingine?
Unaposema service kuu ya shule ni kufundisha kielimu na kimaadili ina maana hata wasipokula ili mradi mnafundisha hamna shida duh
 
Tukuite mpumbavu tu wewe,yaani kwa hizo hela mnazolipa kama ada ndio mnataka watoto wenu wadekezwe???
Kama umezoea maisha ya mtiti na mikwamo usitake na watoto wa wenzako waka experience hizo hardship. Maana mnafikiri kuishi kwa tabu ndio sifa. Idiot
 
Ada ya huko bei gan? Mbona hamsemi? Ninavyofahamu mm shule nyingi ada zake hazivuki 4M. Sasa hiyo 4M ndiyo ulitaka ulishwe kama upo hotelini? Unajua Kuna Kodi na tozo kiasi gani kwenye haya mashule?
Nakazia.

Zinasifiwa ni shule kubwa lakini ada ndogo. 3-5M ndogo watu wanasahau kuna mashule ya 30M
 
Africa kaz sanaaaaa, yan wanafunzi kusafisha vyoo vyao leo ni tatizo? Baadae mje mlalamike watoto hawapewi skills za maisha ,[emoji23][emoji23][emoji23] Btw, najua wew umetumwa na washindani wao wa kibiashara tu
Sipingi watoto kufundishwa skills za maisha, ila napinga kupewa huduma tofauti na makubaliano. Hapo una haki ya kulalamika.

Ni ni sawa na ulipie nauli ya VIP halafu baadae kakutana na huduma sio za VIP. Hapo utasema hakuna kulalamika na badala yake ndio unafunzwa skills kutokana na hiyo hali?
 
Ndo shule za shirika la holy ghost fathers zilivyo, nimesoma mojawapo. Wanahamasisha sana kwenye kujitegemea nakumbuka kuna kipindi tulikua hadi tunamenya ndizi...

Hawadekezi mkuu niliposoma kulikua na viziwi nao walikua wanapigishwa kazi kama kawaida

Kwenye chakula sawa maarage kwa sana, ila sio kibaya kama cha kayumba aisee, wewe unachukia tu maharage. Halafu unashiba, usiposhiba unaenda kwa father lazima ushibe...
Sasa ulitaka nani akumenyee ndizi? Inaonekana nyie mlilelewa kimayai mayai sana kenge nyie!!!
 
Nimefuatilia kwa muda mrefu ubora wa shule za Marian hasa Marian Girls iliyopo Bagamoyo nikagundua kuwa ubora wao upo kwenye Masomo tu. Kuhusu huduma ya chakula ni duni sana Kulinganisha na Fedha wazazi wanazolipa ni mwendo wa harage mwanzo mwisho, chakula wanachokula hakina tofauti na wanachokula Tabora boys.

Pili ni kuhusu suala la USAFI, kwa kweli Marian girls wanatakiwa kuhakikisha Mazingira ya wanafunzi yanaendana na sifa ya Shule, kiukweli mazingira hayaridhishi hasa mabwenini na kwenye vyoo.

Halafu pamoja na kwamba watoto wanatakiwa kufundishwa usafi lakini isiwe ndio shule imefanya hao watoto kuwa ndio resources za kufanyia kazi, mzazi anapoamua kulipa fedha nyingi kwa ajili ya mtoto mjue pia anategemea kuwa maisha yake ya shuleni yatapata urahisi fulani, hii ya kuwatumia watoto 100% kusafisha vyoo sio sahihi, ni kwanini msiajiri watu kama wanavyofanya Precious blood, Bright future nk.

Kumbe ndio maana watu wanasema Marian haina kitu kikubwa zaidi ya umaarufu tu.
We fala kweli!!! Ulitaka nani asafishe vyoo!!!! Pumbavu kabisa!!!!
 
Nimesomea Marian, Ile shule wamenifanya niape nikiingia mtaani nisile maharage . Yani mnakula maharage mchana na jioni mwaka mzima ? Ile shule ni wabahili balaa. Ada haiendani na services za pale . Wali una chuya za kutosha. Yani utafikiri mnalipa milioni Moja. Bado mnachangishwa laki laki Kwa ajili ya kusupport walimu. [emoji706][emoji706]. But Kwa elimu wako poa.
Hivi kuna mtu aliwahi kufariki kwa kula maharage mwaka mzima? I am just asking!!!
 
Tukuite mpumbavu tu wewe,yaani kwa hizo hela mnazolipa kama ada ndio mnataka watoto wenu wadekezwe???
We ndio mjinga, ada na hela iendane na huduma.. tumelipa pesa ndefu mtoto apewe huduma stahiki sikulipa ada mtoto wangu akafanye usafi chooni
 
We ndio mjinga, ada na hela iendane na huduma.. tumelipa pesa ndefu mtoto apewe huduma stahiki sikulipa ada mtoto wangu akafanye usafi chooni
Mtoe kama hujaridhika. Kwani umelazimishwa??

Milioni 3-5 ndiyo unaita hela ndefu?? Kama ulijua una hela za mawazo kwann uliamua kumpeleka mwanao kwenye shule za zisizo za level yako?

Kuna wenzako wanasomesha IST huko, ada sh milioni 70. Lkn wamejaa kimya!!!

Wewe uliyeuza mpk kiwanja ndiyo ukapata milioni 3 ndiyo unatupotezea muda hapa.
 
Back
Top Bottom